TAMBI UNAOTA KWENYE MITI HUKO USWISI!
Mwaka 1957 BBC walitangaza kuwa Uswisi inavunwa Tambi kwa wingi. Walisema kuwa wamefanikiwa kumwua mdudu anayeua miti ya tambi (spaghetti weevil) na pia msimu wa baridi (winter) haukuwa mbaya sana, hivyo tambi unaota kwa wingi. Watu waliaamini na wengine walidiriki, kuuliza wanawezaje kupata mtu wa tambi, ili walime wenyewe!
Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:
Showing posts with label Spaghetti. Show all posts
Showing posts with label Spaghetti. Show all posts
Monday, April 01, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)