PICHA ZA HABARI : UZINDUZI WA WASATU NORTHAMPTON , UINGEREZA
Na Freddy Macha
Jumuiya ya wasanii Watanzania Uingereza (WASATU) ilizunduliwa kwa vigelegele
na muziki mjini Northampton , katikati ya Uingereza jumamosi iliyopita. Tafrija
hiyo ndogo lakini iliyowakutanisha zaidi ya Watanzania mia moja na wenzao
wa Kenya, Uganda, Kongo , Nigeria, Uingereza nk, ilihudhuriwa na Mheshimiwa
Balozi Dk Asha Rose Migiro.
WASATU ilibuniwa mwaka jana kati ya wasanii wakiongozwa na mwanamuziki na
mcheza sarakasi Fab Moses na promota wa vyakula vya Kitanzania, Bi Neema
Kitilya.
Asilimia 20 ya kipato cha onesho zilitolewa na WASATU kwa walio Northampton; kwa maafa ya
mafuriko ya maji karibuni Tanzania.
Pichani: Watanzania na wasanii wenzao wakijimwaga ukumbi wa The Eastern District Social
Club, Northampton
Showing posts with label WASATU. Show all posts
Showing posts with label WASATU. Show all posts
Saturday, April 08, 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)