Friday, September 27, 2013

Si Huyo Tu, WaBongo Wengi Wanakuwa Malaya Ughaibuni!!!

Yaani ni bora kubaki nyumbani kulkioni kujingiza kwenye biashara ya umalaya. Na si wanawake tu, hata wanaume siku hizi malaya. Wanaume wanatembea na vizee wa kizungu ili wapate hela ya chapuchapu!  Wengine wananyonya dhakari a wasenge na hata kuamua kifrwa kwa ajili ya dola!  Hao wanaojiuza wanajikuta wantumia madawa ya kulevya pia.  

Anayofanya huyo dada chini si modelling bali ni kujiuza kwenye site za wanaotaka kupiga punyeto, au kukutana na mtu kama malaya! 

***************************************************
Kutoka gazeti la Mpekuzi

Sakata zima la mwanamke wa kitanzania aliyeamua kuugeuza mwili wake kuwa KITEGA UCHUMI huko ughaibuni

 
Ni  mwanamke  anayejulikana  kwa  jina  la  Florah Lymo  ambaye alijipatia  umarufu  mkubwa  baada  ya  kujitokeza  hadharani  na  kudai  kubakwa  na  mbunge  Lema....

Wengi  waliyaamini  madai hayo kutokana  na  ujasili  aliokuwa  nao wakati  akiieleza  dunia  kuhusu  tendo  la  ubakwaji  alilotendewa....

Hakika  jambo  usilolijua  ni  kama  usiku  wa  giza...Amini  usiami, mwanamke  huyu  hakubakwa  .Ujasili  wake ulikuwa  ni  mchezo  wa  kuigiza na  tayari  mtandao  huu  umefanikiwa  kupata  sehemu  ya  mchezo  huo ambao  ni  komedi  tupu.

Baada  ya  mchezo  huo  kukosa  mafanikio  na  hali  ya  maisha  kuwa  ngumu  kifedha, mtandao  huu umedokezwa kuwa   Florah  amejikuta  akiwa  ni mtumwa  wa  mwili  wake ndani  ya  nchi  za  watu....

Utumwa  huo  unadaiwa  kutokana  na  kitendo  cha  yeye  kuugeuza  mwili  wake  kuwa  kitega  uchumi..

Zifuatazo  ni  picha  chafu  za  mwanamke  huyo  ambazo  zimekuwa  zikitundikwa  katika  mtandao  wake  kwa  lengo  la kujiongezea  wateja....

PICHA  YA  KWANZA: <<  BOFYA  HAPA>>

PICHA  YA  PILI:         << BOFYA  HAPA >>

PICHA  YA  TATU:      << BOFYA  HAPA>>

Picha  si  nzuri  na  hatuwezi  kuzianika  moja  kwa  moja.Bofya  hapo juu  kuziona( kwa  watu  wazima  tu )

13 comments:

Anonymous said...

Mbona mbaya hana shepu huyo! Arudi Moshi huyo akalime kahawa.

Anonymous said...

Wengine wanaringa oh niko Ulaya naishi maisha mazuri kumbe mambo ndo hayo!

Anonymous said...

anatia aibu ukichukulia wa TZ nje wanaonekana watu wa heshima,afanye kwa siri badala ya kuweka kwenye blog mwanamke kajiremba bado anaonekana ka shetani ni kuiga? ama na viza alipata ya kufanya kazi hiyo?mwanamke ana heshima ya kuitwa mama

Anonymous said...

Make-up yake ni kama za miaka ya kaaaaale saaaaana. Looooooooo hio figure nzuri.... not!

Anonymous said...

JAMANI MUACHENI ASHEREHEKEE MAISHA YAKE KWANI YEYE NDIO MTZ WA KWANZA KUFANYA UFUSKA? KWANZA ASIFIWE KWA KUTANGAZA TEKNOLOJIA YA KISASA KATIKA BIASHARA YAKE BADALA YA KUJIFICHA KAMA WAKE ZA WATU BONGO KUFANYA KWA SIRI SIRI. KWA MTINDI KWANZA KAJALIWA BADO UMESIMAMA KAMA MAPAPAI YA SINGIDA, MWILI UPO NA ANATANGAZA KUWA YEYE NI FIT HEATHLY, HANA MAAMBUKIZI AND SHE IS PROUD OF.
MBONA ANGELUWA BEYONCE AU RIHANNA MNGESIFIA MPAKA KUFA MTU?

GO SIS GO! USISIKIE YA WASWAHILI KUOSHA VINYWA KWA WABONGO NDIO MAANA HATA MAENDELEO YETU YAKO NYUMA BADO SANA

Lyimo said...

Uwii amaeiaibisha ukoo wa Lyimo. Wanawake wa kichagga kwa kutafuta pesa hawajambo!

Anonymous said...

Chemi hizi picha zina ubaya gani? Mbona ni za kawaida tu? This is nursery school stuff ukilinganisha na mambo tunayoyaona katika blog moja ya Kibongo.

Anonymous said...

Kuna wengine wanajiuza kwa wabongo wenzie ugahaibuni.

Anonymous said...

If she's a prostitute~ she's like a "social worker" who provides a "service" for some men who don't have partners. No big deal! How she advertises (on the internet) shows, how far the "profession" has moved with the times. Having said that, maybe she just gets paid for "shoots", and that she's probably NOT even a professional prostitute.

Anonymous said...

Jamani mwacheni huyo dada. Huo mwili ni wake mwenyewe na ana uhuru wa kuutumia atakavyo.

Anonymous said...

Bongo tunauza nje vitu vingi. Sio pamba, kahawa na karafuu tu.

Anonymous said...

Hana uzuri wowote. Malaya huyo. Aibu kweli.

Anonymous said...

Kweli, kuna wanaume ambayo ni malaya pia. Shida ya pesa inaumiza watu!