Mdau TJK ameleta hoja hii. Mnasemaje wadau? Je, ni kweli hao barabershop girls wanavunja ndoa za watu? Navyoona midume ndo inashindwa kujizuia!
******************************
Mwanzo ilikuwa ni vita na wahudumu wa bar. Wanawake walio kwenye ndoa
waliishi kwa hofu ya ndoa zao kuingiliwa na wadada warembo wanaovaa nusu
uchi kweye bars zilizopo karibu kila sehemu ya Dar es Salaam. Lakini sasa,
mambo yamehamia kwenye babaershops/salon za kiume.
Nadhani kila mtu anajua babershop ni nini, na pia anajua barbershop za siku
hizi sio kukata nywele peke yake,bali
inajumuisha angalau lisaa limoja la
kufanyiwa scrub, massage, manicure, pedicure etc.
Tunajua wasichana hao wakati wa kutoa huduma hawawezi kuepuka kugusa wateja
wao so gently usoni wakati wa kufanya scrub na massage. huduma wakati
mwingine huenda zaidi ya huduma za kinyozi , wakati mwingine wateja
wanauliza kukutana na wasichana hawa baada ya saa za kazi. " Wakati
mwingine wasichana hulipwa fedha za ziada kwa kisingizio cha kuthamini
huduma waliyotoa.
Barbershops nyingi zimegeuka kuwa mahala pa biashara ya ngono. Wanaume
hawana muda tena na wahudumu wa baa, na hii ni tishio kwa ndoa nyingi hapa
mjini.
Je unalo la kusema kuhusu hili? Karibu tujadiliane!
Showing posts with label Umalaya. Show all posts
Showing posts with label Umalaya. Show all posts
Saturday, March 08, 2014
Saturday, October 05, 2013
Yule Dada Anayefanya Umalaya Ajibu Haters
Wadau, yule dada anayeishi Ulaya kwa kufanya Umalaya ametoa jibu kwa wenye blogu walioandika juu yake. Anasema, Flora Lyimo Sexy Photos.
Kuona na kusoma vituko vya Flora Lyimo BOFYA HAPA:
Friday, September 27, 2013
Si Huyo Tu, WaBongo Wengi Wanakuwa Malaya Ughaibuni!!!
Yaani ni bora kubaki nyumbani kulkioni kujingiza kwenye biashara ya umalaya. Na si wanawake tu, hata wanaume siku hizi malaya. Wanaume wanatembea na vizee wa kizungu ili wapate hela ya chapuchapu! Wengine wananyonya dhakari a wasenge na hata kuamua kifrwa kwa ajili ya dola! Hao wanaojiuza wanajikuta wantumia madawa ya kulevya pia.
Anayofanya huyo dada chini si modelling bali ni kujiuza kwenye site za wanaotaka kupiga punyeto, au kukutana na mtu kama malaya!
***************************************************
Kutoka gazeti la Mpekuzi
Ni mwanamke anayejulikana kwa jina la Florah Lymo ambaye alijipatia umarufu mkubwa baada ya kujitokeza hadharani na kudai kubakwa na mbunge Lema....
Wengi waliyaamini madai hayo kutokana na ujasili aliokuwa nao wakati akiieleza dunia kuhusu tendo la ubakwaji alilotendewa....
Hakika jambo usilolijua ni kama usiku wa giza...Amini usiami, mwanamke huyu hakubakwa .Ujasili wake ulikuwa ni mchezo wa kuigiza na tayari mtandao huu umefanikiwa kupata sehemu ya mchezo huo ambao ni komedi tupu.
Baada ya mchezo huo kukosa mafanikio na hali ya maisha kuwa ngumu kifedha, mtandao huu umedokezwa kuwa Florah amejikuta akiwa ni mtumwa wa mwili wake ndani ya nchi za watu....
Utumwa huo unadaiwa kutokana na kitendo cha yeye kuugeuza mwili wake kuwa kitega uchumi..
Zifuatazo ni picha chafu za mwanamke huyo ambazo zimekuwa zikitundikwa katika mtandao wake kwa lengo la kujiongezea wateja....
PICHA YA KWANZA: << BOFYA HAPA>>
PICHA YA PILI: << BOFYA HAPA >>
PICHA YA TATU: << BOFYA HAPA>>
Picha si nzuri na hatuwezi kuzianika moja kwa moja.Bofya hapo juu kuziona( kwa watu wazima tu )
Anayofanya huyo dada chini si modelling bali ni kujiuza kwenye site za wanaotaka kupiga punyeto, au kukutana na mtu kama malaya!
***************************************************
Kutoka gazeti la Mpekuzi
Sakata zima la mwanamke wa kitanzania aliyeamua kuugeuza mwili wake kuwa KITEGA UCHUMI huko ughaibuni

Ni mwanamke anayejulikana kwa jina la Florah Lymo ambaye alijipatia umarufu mkubwa baada ya kujitokeza hadharani na kudai kubakwa na mbunge Lema....
Wengi waliyaamini madai hayo kutokana na ujasili aliokuwa nao wakati akiieleza dunia kuhusu tendo la ubakwaji alilotendewa....
Hakika jambo usilolijua ni kama usiku wa giza...Amini usiami, mwanamke huyu hakubakwa .Ujasili wake ulikuwa ni mchezo wa kuigiza na tayari mtandao huu umefanikiwa kupata sehemu ya mchezo huo ambao ni komedi tupu.
Baada ya mchezo huo kukosa mafanikio na hali ya maisha kuwa ngumu kifedha, mtandao huu umedokezwa kuwa Florah amejikuta akiwa ni mtumwa wa mwili wake ndani ya nchi za watu....
Utumwa huo unadaiwa kutokana na kitendo cha yeye kuugeuza mwili wake kuwa kitega uchumi..
Zifuatazo ni picha chafu za mwanamke huyo ambazo zimekuwa zikitundikwa katika mtandao wake kwa lengo la kujiongezea wateja....
PICHA YA KWANZA: << BOFYA HAPA>>
PICHA YA PILI: << BOFYA HAPA >>
PICHA YA TATU: << BOFYA HAPA>>
Picha si nzuri na hatuwezi kuzianika moja kwa moja.Bofya hapo juu kuziona( kwa watu wazima tu )
Friday, April 12, 2013
Saturday, April 06, 2013
UMalaya Umezidi Dar
Wadau, Daily News imetoa story kuhusu biashara ya umalaya mjini Dar es Salaam. Lakini umalaya ni tatizo nchi nzima. Mchana na mnajua lunch ndefu (saa 6-saa 8) gesti zote zimejaa! Bukoba gesti zote wanaweka maplastiki kwenye godoro shauri ya katerero. UKIMWI/AIDS na magonjwa mengine yanazidi kuwa tatizo sugu kwa nchi yetu. Lakini hii tatizo la umalaya haikuanza leo, upo miaka mingi sana. Sijui joto ndo inafanya watu wawe na nyege sana. Doh!
Commercial sex business flourishes in Dar es Salaam
- Published on Sunday, 07 April 2013 04:00
- Written by BILHAM KIMATI
AT LEAST 15,000 male clients meet
female sex workers every night in Dar es Salaam. Findings have revealed
that there are 7,500 female sex workers, a research by the Ministry of
Health and Social Welfare on HIV Behavioural and Biological Surveillance
(2010) has revealed.
The study conducted through National
AIDS Control Programme (NACP) aimed at providing information on the
prevalence of HIV infection, Sexually Transmitted Infections (STIs),
Reproductive Tract Infections (RTIs) and associated risk factors among
commercial sex workers. A total of 537 samples of sex workers aged
between 15 and older were collected and the respondents also provided
blood specimens for HIV, Hepatitis B (HBV), Hepatitis C and Syphilis
among other infections.
Dr Hezekiah Owenya, a seasoned
psychologist, says as long as frustrations in life are there, and love
relationships are constantly in dilemma, extra marital affairs are
inevitable. “Marriage, for example, continues to face challenges,
misunderstanding and bitterness. Under such circumstances male clients
will not stop meeting female sex workers,” Dr Owenya says. He adds; “It
is, therefore, very unfair to accuse female sex workers alone and leave
the male clients who go out to look for girls in the streets and pay as
much as they could. Some of the frustrated which they eventually get
addicted to and make it a way of life.
Sex workers are there to stay despite
the fact that they earn a living in a very dangerous manner,” Dr Owenya
warns But the ‘Daily News on Saturday’ wanted to assess the situation
further. A world of its own guiding regulations was uncovered. Different
groups of sex workers, for example, operate under different
‘philosophy.’ Daring girls are permanently stationed near Kinondoni
Makaburini area.
They would stop every passing vehicle.
Skilful swaying of the body appears to be part of the training before
joining the business to attract customers. Asked if not afraid of being
assaulted by thugs while waiting for customers late at night, another
lady CDE (real name withheld) says she had nothing to worry about
because the ‘loot’ was also shared with the potential aggressors.
The road section between Sinza kwa Remy,
Mori to Africa Sana in Kinondoni district is another hotspot
‘conquered’ by a ‘generation’ of teens. Anyone above 23 is not welcome
there. Starting as early as 9:00pm the girls descend at the scene
dressed in miniskirts with pleasant perfumes. “Potential customers will
always slow down their vehicles ready to talk to us.
We stand a distance apart to avoid
clashes. Lucky ones for the day reap handsomely,” explains OPQ (identity
withheld). More than 30 girls line up both streets of the road. Some of
them appear weak but not unwell, slender but not malnourished but
majority obviously not above 18 years old. Judging from the youthfulness
of the girls, one might think that customers expected should be of
particular age, predominantly young men but this is not the case. “Come
on, you are not serious. Age of a client does not matter.
Although some prove to be stubborn or
too strong in action and too demanding, we accommodate them pleasingly.
They need us and we need them. The payments must be agreed upon in
advance,” she explains. The peculiarity of Sinza site is that older
females already with children are not welcome. “Number one
disqualification from the ‘membership’ here (Sinza) is child bearing.
Customers flock to this place to pick us every night. They say they like
girls more than older women. This is good because it helps set a good
price ranging between 20,000/- and 50,000/- per night.
On lucky days one gets up to 100,000/-
or more,” OPQ explains. Asked if not afraid of the police surveillance,
she smiles, looks at the roof of the colourful sparkling ceiling of
Corner Bar decorated with flash lights. She picks up a glass of beer
offered for the talk and takes deep sip and says; “Night patrol
policemen are our friends. Those in white Land-Rovers, popularly known
as defenders and those in blue Land-Cruisers are our companions as we
appease them with whatever we gathered the previous night.
“They (police) stop for a friendly
chat,” she takes a deep breath and poses. We usually make contributions
to calm them down. They leave us uninterrupted because they too benefit
from our presence,” briefly explains the girl and runs away back to the
street. The investigation team also visited another location known as
Rozana in Buguruni, Ilala district.
The locality is another world of its
kind. This is the place where ‘service providers’ of different ages
meet. Again, the location offers perhaps the cheapest deal as low as
2,000/- per round. Asked about awareness in Aids preventive measures, a
woman there says; “Aids is not the only killer disease on earth. There
are so many causes of death. Besides, better die of Aids than hunger.”
Another setting is Manzese kwa Mfuga Mbwa where local brews are sold
nearly in every household. Rooms furnished with dim kerosene lamps for
the business are rented at a cost of 1,000/- and chances for HIV/ Aids
infection are equally high.
Other social groups known to be pushed
to the business without their consent include students especially from
higher learning institutions. Some of commercial sex workers are
employed but admitted to have grown interest in the business to
supplement their income. For example, there are ‘secret’ houses in Dar
es Salaam specifically known as ‘Dada Poa Danguro’ meaning that ladies
especially from upcountry regions are accommodated and ‘sold’ but the
income goes to the business owner. This paper revealed the trick
employed by sex workers at a place known as ‘Kwa Babu’.
Monday, March 10, 2008
Gavana wa New York achunguzwa baada ya kukutana na Malaya!
DOH! Leo tumesikia mchapo wa aibu wa Gavana Eliot Spitzer, wa New York kukutana na malaya akiwa kwenye safari Washington D.C. . Kwa kweli hapa Marekani ni jambo la aibu kwa kiongozi kufanya upuuzi kama huu.
Na kama kawaida ailiitisha Press Conference na kuongea na waandishi wa habari. Lakini nauliza hivi, kwa nini hao viongozi wakifanya maovu ,wake zao wanatoka pamoja nao na wanapigwa mapicha. Kweli hutakuwa na hasira na aibu kusikia jambo la aibu kama hili?
Aliomba msamaha kwa watu wa New York na familia yake. Lakini hajajiuzulu. Leo ndo kwanza tumesikia hizi habari chafu za Gavana Spitzer ambaye nickname yake ni 'Mr. Clean' (asiye na kasoro). Nadhani siku zinavyoenda tutasikia habari zaidi za aibu na itabidi aachie ngazi.
FBI wanasema kuwa wametepu! Kwenye tepu zao wanamwita 'Client No. 9' Pia wanasema huyo malaya sijui kalipwa dola $5,000 kwa saa! Sijui kazilia yeye au walipe kodi wa New York!
MAKUBWA!
Kwa habari zaidi someni:
Subscribe to:
Posts (Atom)