Showing posts with label Umalaya. Show all posts
Showing posts with label Umalaya. Show all posts

Saturday, March 08, 2014

Barbershop Girls - Umalaya kwa Kinyozi

Mdau TJK ameleta hoja hii. Mnasemaje wadau? Je, ni kweli hao barabershop girls wanavunja ndoa za watu? Navyoona midume ndo inashindwa kujizuia!


 ******************************



Mwanzo ilikuwa ni vita na wahudumu wa bar. Wanawake walio kwenye ndoa
waliishi kwa hofu ya ndoa zao kuingiliwa na wadada warembo wanaovaa nusu
uchi kweye bars zilizopo karibu kila sehemu ya Dar es Salaam. Lakini sasa,
mambo yamehamia kwenye babaershops/salon za kiume.

Nadhani kila mtu anajua babershop ni nini, na pia anajua barbershop za siku
hizi sio kukata nywele peke yake,bali inajumuisha angalau lisaa limoja la
kufanyiwa scrub, massage, manicure, pedicure etc.

Tunajua wasichana hao wakati wa kutoa huduma hawawezi kuepuka kugusa wateja
wao so gently usoni wakati wa kufanya scrub na massage. huduma wakati
mwingine huenda zaidi ya huduma za kinyozi , wakati mwingine wateja
wanauliza kukutana na wasichana hawa baada ya saa za kazi. " Wakati
mwingine wasichana hulipwa fedha za ziada kwa kisingizio cha kuthamini
huduma waliyotoa.

Barbershops nyingi zimegeuka kuwa mahala pa biashara ya ngono. Wanaume
hawana muda tena na wahudumu wa baa, na hii ni tishio kwa ndoa nyingi hapa
mjini.

Je unalo la kusema kuhusu hili? Karibu tujadiliane!

Saturday, October 05, 2013

Yule Dada Anayefanya Umalaya Ajibu Haters

Wadau, yule dada anayeishi Ulaya kwa kufanya Umalaya ametoa jibu kwa wenye blogu walioandika juu yake.  Anasema, Flora Lyimo Sexy Photos. 



Kuona na kusoma vituko vya Flora Lyimo BOFYA HAPA:

Friday, September 27, 2013

Si Huyo Tu, WaBongo Wengi Wanakuwa Malaya Ughaibuni!!!

Yaani ni bora kubaki nyumbani kulkioni kujingiza kwenye biashara ya umalaya. Na si wanawake tu, hata wanaume siku hizi malaya. Wanaume wanatembea na vizee wa kizungu ili wapate hela ya chapuchapu!  Wengine wananyonya dhakari a wasenge na hata kuamua kifrwa kwa ajili ya dola!  Hao wanaojiuza wanajikuta wantumia madawa ya kulevya pia.  

Anayofanya huyo dada chini si modelling bali ni kujiuza kwenye site za wanaotaka kupiga punyeto, au kukutana na mtu kama malaya! 

***************************************************
Kutoka gazeti la Mpekuzi

Sakata zima la mwanamke wa kitanzania aliyeamua kuugeuza mwili wake kuwa KITEGA UCHUMI huko ughaibuni

 
Ni  mwanamke  anayejulikana  kwa  jina  la  Florah Lymo  ambaye alijipatia  umarufu  mkubwa  baada  ya  kujitokeza  hadharani  na  kudai  kubakwa  na  mbunge  Lema....

Wengi  waliyaamini  madai hayo kutokana  na  ujasili  aliokuwa  nao wakati  akiieleza  dunia  kuhusu  tendo  la  ubakwaji  alilotendewa....

Hakika  jambo  usilolijua  ni  kama  usiku  wa  giza...Amini  usiami, mwanamke  huyu  hakubakwa  .Ujasili  wake ulikuwa  ni  mchezo  wa  kuigiza na  tayari  mtandao  huu  umefanikiwa  kupata  sehemu  ya  mchezo  huo ambao  ni  komedi  tupu.

Baada  ya  mchezo  huo  kukosa  mafanikio  na  hali  ya  maisha  kuwa  ngumu  kifedha, mtandao  huu umedokezwa kuwa   Florah  amejikuta  akiwa  ni mtumwa  wa  mwili  wake ndani  ya  nchi  za  watu....

Utumwa  huo  unadaiwa  kutokana  na  kitendo  cha  yeye  kuugeuza  mwili  wake  kuwa  kitega  uchumi..

Zifuatazo  ni  picha  chafu  za  mwanamke  huyo  ambazo  zimekuwa  zikitundikwa  katika  mtandao  wake  kwa  lengo  la kujiongezea  wateja....

PICHA  YA  KWANZA: <<  BOFYA  HAPA>>

PICHA  YA  PILI:         << BOFYA  HAPA >>

PICHA  YA  TATU:      << BOFYA  HAPA>>

Picha  si  nzuri  na  hatuwezi  kuzianika  moja  kwa  moja.Bofya  hapo juu  kuziona( kwa  watu  wazima  tu )

Friday, April 12, 2013

Saturday, April 06, 2013

UMalaya Umezidi Dar

 Wadau, Daily News imetoa story kuhusu biashara ya umalaya mjini Dar es Salaam. Lakini umalaya ni tatizo nchi nzima.  Mchana na mnajua lunch ndefu (saa 6-saa 8) gesti zote zimejaa! Bukoba gesti zote wanaweka maplastiki kwenye godoro shauri ya katerero.  UKIMWI/AIDS na magonjwa mengine yanazidi kuwa tatizo sugu kwa nchi yetu.   Lakini hii tatizo la umalaya haikuanza leo, upo miaka mingi sana.  Sijui joto ndo inafanya watu wawe na nyege sana. Doh!

Commercial sex business flourishes in Dar es Salaam

AT LEAST 15,000 male clients meet female sex workers every night in Dar es Salaam. Findings have revealed that there are 7,500 female sex workers, a research by the Ministry of Health and Social Welfare on HIV Behavioural and Biological Surveillance (2010) has revealed.
The study conducted through National AIDS Control Programme (NACP) aimed at providing information on the prevalence of HIV infection, Sexually Transmitted Infections (STIs), Reproductive Tract Infections (RTIs) and associated risk factors among commercial sex workers. A total of 537 samples of sex workers aged between 15 and older were collected and the respondents also provided blood specimens for HIV, Hepatitis B (HBV), Hepatitis C and Syphilis among other infections.
Dr Hezekiah Owenya, a seasoned psychologist, says as long as frustrations in life are there, and love relationships are constantly in dilemma, extra marital affairs are inevitable. “Marriage, for example, continues to face challenges, misunderstanding and bitterness. Under such circumstances male clients will not stop meeting female sex workers,” Dr Owenya says. He adds; “It is, therefore, very unfair to accuse female sex workers alone and leave the male clients who go out to look for girls in the streets and pay as much as they could. Some of the frustrated which they eventually get addicted to and make it a way of life.
Sex workers are there to stay despite the fact that they earn a living in a very dangerous manner,” Dr Owenya warns But the ‘Daily News on Saturday’ wanted to assess the situation further. A world of its own guiding regulations was uncovered. Different groups of sex workers, for example, operate under different ‘philosophy.’ Daring girls are permanently stationed near Kinondoni Makaburini area.
They would stop every passing vehicle. Skilful swaying of the body appears to be part of the training before joining the business to attract customers. Asked if not afraid of being assaulted by thugs while waiting for customers late at night, another lady CDE (real name withheld) says she had nothing to worry about because the ‘loot’ was also shared with the potential aggressors.
The road section between Sinza kwa Remy, Mori to Africa Sana in Kinondoni district is another hotspot ‘conquered’ by a ‘generation’ of teens. Anyone above 23 is not welcome there. Starting as early as 9:00pm the girls descend at the scene dressed in miniskirts with pleasant perfumes. “Potential customers will always slow down their vehicles ready to talk to us.
We stand a distance apart to avoid clashes. Lucky ones for the day reap handsomely,” explains OPQ (identity withheld). More than 30 girls line up both streets of the road. Some of them appear weak but not unwell, slender but not malnourished but majority obviously not above 18 years old. Judging from the youthfulness of the girls, one might think that customers expected should be of particular age, predominantly young men but this is not the case. “Come on, you are not serious. Age of a client does not matter.
Although some prove to be stubborn or too strong in action and too demanding, we accommodate them pleasingly. They need us and we need them. The payments must be agreed upon in advance,” she explains. The peculiarity of Sinza site is that older females already with children are not welcome. “Number one disqualification from the ‘membership’ here (Sinza) is child bearing. Customers flock to this place to pick us every night. They say they like girls more than older women. This is good because it helps set a good price ranging between 20,000/- and 50,000/- per night.
On lucky days one gets up to 100,000/- or more,” OPQ explains. Asked if not afraid of the police surveillance, she smiles, looks at the roof of the colourful sparkling ceiling of Corner Bar decorated with flash lights. She picks up a glass of beer offered for the talk and takes deep sip and says; “Night patrol policemen are our friends. Those in white Land-Rovers, popularly known as defenders and those in blue Land-Cruisers are our companions as we appease them with whatever we gathered the previous night.
“They (police) stop for a friendly chat,” she takes a deep breath and poses. We usually make contributions to calm them down. They leave us uninterrupted because they too benefit from our presence,” briefly explains the girl and runs away back to the street. The investigation team also visited another location known as Rozana in Buguruni, Ilala district.
The locality is another world of its kind. This is the place where ‘service providers’ of different ages meet. Again, the location offers perhaps the cheapest deal as low as 2,000/- per round. Asked about awareness in Aids preventive measures, a woman there says; “Aids is not the only killer disease on earth. There are so many causes of death. Besides, better die of Aids than hunger.” Another setting is Manzese kwa Mfuga Mbwa where local brews are sold nearly in every household. Rooms furnished with dim kerosene lamps for the business are rented at a cost of 1,000/- and chances for HIV/ Aids infection are equally high.
Other social groups known to be pushed to the business without their consent include students especially from higher learning institutions. Some of commercial sex workers are employed but admitted to have grown interest in the business to supplement their income. For example, there are ‘secret’ houses in Dar es Salaam specifically known as ‘Dada Poa Danguro’ meaning that ladies especially from upcountry regions are accommodated and ‘sold’ but the income goes to the business owner. This paper revealed the trick employed by sex workers at a place known as ‘Kwa Babu’.
At this location, educated girls gather and employ the following trick to ‘milk’ clients. This is the trick; a sex worker would invite a customer for a “quick service.” But secret communication with the police stationed in tinted cars parked in the vicinity goes on for timely ‘arrest’.

Monday, March 10, 2008

Gavana wa New York achunguzwa baada ya kukutana na Malaya!

Gavana Spitzer na Mke wake leo baada ya kukutana na waandishi wa habari
DOH! Leo tumesikia mchapo wa aibu wa Gavana Eliot Spitzer, wa New York kukutana na malaya akiwa kwenye safari Washington D.C. . Kwa kweli hapa Marekani ni jambo la aibu kwa kiongozi kufanya upuuzi kama huu.
Na kama kawaida ailiitisha Press Conference na kuongea na waandishi wa habari. Lakini nauliza hivi, kwa nini hao viongozi wakifanya maovu ,wake zao wanatoka pamoja nao na wanapigwa mapicha. Kweli hutakuwa na hasira na aibu kusikia jambo la aibu kama hili?
Aliomba msamaha kwa watu wa New York na familia yake. Lakini hajajiuzulu. Leo ndo kwanza tumesikia hizi habari chafu za Gavana Spitzer ambaye nickname yake ni 'Mr. Clean' (asiye na kasoro). Nadhani siku zinavyoenda tutasikia habari zaidi za aibu na itabidi aachie ngazi.
FBI wanasema kuwa wametepu! Kwenye tepu zao wanamwita 'Client No. 9' Pia wanasema huyo malaya sijui kalipwa dola $5,000 kwa saa! Sijui kazilia yeye au walipe kodi wa New York!
MAKUBWA!
Kwa habari zaidi someni: