Wednesday, October 22, 2014

Ibada ya Kiswahili Ottawa - Ottawa Swahili Fellowship

Wadau, Pastor Edith Mwita, wa Ottawa, Canada anafurahi kuwatangazia kuwa kutakuwa na Ibada ya Kiswahili jumapili hii Oktoba 26th, kuanzia saa 11 hadi saa 1 jioni (5:00pm to 7:00pm) mjini Ottawa.

Anwani ni 36 Bentley Avenue, Ottawa.

Pia, Ibada ya Kiswahili itafanyika kila jumapili ya mwisho wa mwezi.

Wote Mnakaribishwa!

2 comments:

kurindoo mallya said...

safi sana naona kiswahili kina kuwa dili

kurindoo mallya said...

safi sana naona kiswahili kina kuwa dili