Monday, February 22, 2016

Punguzeni Make-Up msije mkaonekane kama Sanamu!


 Wadau, nimeona hii picha Facebook, watu wakicheka wingi wa Make-up kwenye uso wa huyo dada. Kavaa vizuri lakini kapaka make-up usoni usiolingana na rangi yake.  Hebu mtizame shingoni, unaona rangi yake ya ukweli.  Aliyempaka kakosea hiyo foundation na kumpaka ya ngozi ya kizungu. Matokeo yake dada wa watu anaonekama kama kinyago.

3 comments:

Anonymous said...

Doh! Mbona kaharibu uzuri Wake!!!

Anonymous said...

Hahahaha! Gee wiz! She was probably trying to look like a GEISHA girl. Absolute MADNESS!

Anonymous said...

Looks like a ghost! Scary!