Thursday, December 22, 2016

Zanzibar ilitoa Msaada Kwa Uiingereza!!!!

Jamani tumezoea kuwa wapokea misaada. Lakini je, mlikuwa na habari kuwa wakati wa Vita Kuu ya pili vya dunia (World War 2) Zanzibar ilitoa msaada wa chakula Kwa waingereza wenye nja? Wakati Ile Zanzibar ni Sultanate.




No comments: