
Showing posts with label Godwin Kaduma. Show all posts
Showing posts with label Godwin Kaduma. Show all posts
Tuesday, October 02, 2007
Friday, September 28, 2007
Heshima za Mwisho - Mzee Godwin Kaduma (1938-2007)





Thursday, September 27, 2007
Rest in Peace Mzee Godwin Kaduma (1938-2007)

Nimepata habari za kusikitisha sana. Mzee Godwin Kaduma amefariki dunia. Nilikuwa namfahamu miaka mingi sana, alikuwa na kipaji ya ajabu katika usanii. Ninalia. Mungu Amlaze mahali pema mbinguni. AMEN.
*****************************************************************************
*****************************************************************************
Dear Friends,
Mzee Godwin Zilaoneka Kaduma is no longer with us. Godwin Kaduma passed away at the Muhimbili National Hospital this afternoon the 27th September 2007 due to a severe stroke. I will update you with the funeral arrangements once I get information from relatives. May God rest him in eternal peace!
Ghonche Materego.
CEO - EATI
27th September 2007
************************************************************************
From BongoCelebrity.com
Habari za kusikitisha zilizotufikia ni kwamba gwiji la sanaa za maonyesho nchini Tanzania Mzee Godwin Zilaoneka Kaduma hatunaye tena duniani.Habari hizo zinazidi kupasha kwamba mauti imemfika Mzee Kaduma katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa ajili ya matibabu zaidi.Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza(stroke).
Msiba upo nyumbani kwake Bagamoyo jirani na Chuo Cha Sanaa Bagamoyo. Heshima za mwisho kwa walio Dar-es-salaam zitatolewa kesho (Ijumaa) saa nne asubuhi habari zaidi zinasema heshima za mwisho kwa marehemu mzee Kaduma kwa walio Dar es salaam zitatolewa kesho saa nne asubuhi hospitali ya Muhimbili kabla mwili wake kusafirishwa kwenda nyumbani kwake Bagamoyo na kisha baada ya kuagwa saa nane mchana utapelekwa kijijini kwake Itamba, Iringa, kwa mazishi.
Thursday, July 26, 2007
Mjue Msanii Mkongwe wa Bongo Mzee Godwin Kaduma

http://www.grisgrisfilms.com/html/marriage_of_mariamu.html


Monday, May 21, 2007
Sinema ya Arusi ya Mariamu

Umewahi kuona sinema iitwayo, ‘Arusi ya Mariamu’? Sinema hiyo ilitengenezwa 1985 nchini Tanzania na Ron Mulvihill na marehemu Nangayoma Ng’oge.
Sinema hiyo ni fupi, dakika 36. Lakini ni hadithi tamu sana. Mariamu (Amadina Lihamba) ana funga ndoa na Sekondo (Godwin Kaduma). Wanapendana sana, lakini Mariamu anaanza kuugua ugonjwa ambao madaktari wanashindwa kumtibu. Sekondo anashauriwa ampeleke kwa mganga wa kienyeji atiibiwe. Huko inakuwa balaa maana kumbe Mariamu ana waoga wa waganga wa kienyeji. Kwani alishuhudia kifo cha baba yake ambaye naye alikuwa mganga wa kienyeji. Alifariki akikusanya mitishamba kwa ajili ya kutibu wagonjwa. Je, Mariamu atapona?
Sinema hiyo inapatikana http://www.grisgrisfilms.com/html/marriage_of_mariamu.html
Sinema hiyo ni fupi, dakika 36. Lakini ni hadithi tamu sana. Mariamu (Amadina Lihamba) ana funga ndoa na Sekondo (Godwin Kaduma). Wanapendana sana, lakini Mariamu anaanza kuugua ugonjwa ambao madaktari wanashindwa kumtibu. Sekondo anashauriwa ampeleke kwa mganga wa kienyeji atiibiwe. Huko inakuwa balaa maana kumbe Mariamu ana waoga wa waganga wa kienyeji. Kwani alishuhudia kifo cha baba yake ambaye naye alikuwa mganga wa kienyeji. Alifariki akikusanya mitishamba kwa ajili ya kutibu wagonjwa. Je, Mariamu atapona?
Sinema hiyo inapatikana http://www.grisgrisfilms.com/html/marriage_of_mariamu.html
Ron Mulvihill alirudi Tanzania 1994 kutengeneza sinema ya Maangamizi the Ancient One.
Labels:
Amandina Lihamba,
Arusi ya Mariamu,
Godwin Kaduma
Subscribe to:
Posts (Atom)