Showing posts with label Makongoro. Show all posts
Showing posts with label Makongoro. Show all posts

Thursday, August 09, 2007

Baada ya kazi burudika na...

Baada ya kazi ngumu ya kuwa kwenye seti ya Bongoland II, nilikuwa naburudika na NDOVU baridi. Kati ya bia nilizoonja huko Bongo, nilipenda sana Ndovu.
Huyo ni Antoine Kibira, ndugu yake Josiah Kibira. Alitusaidia sana kwenye maswala ya Usafiri.

Star wa Bongoland II Peter Omari aliamua kuburudika na Tusker baridi na supu ya Makongoro.