Showing posts with label Mzee Kipara. Show all posts
Showing posts with label Mzee Kipara. Show all posts

Monday, January 07, 2013

Tanzania Yapoteza Wasanii wengi katika Kipindi Kifupi

Katika kipindi kifupi tuepoteza wasanii wengi, wengine vijana wengine wazee.  Mungu apumzishe roho zao mahala pema mbinguni. Amen.

Juma Salum Kilowoko a.k.a Sajuki (1986-2013)

John Stephano Maganga  (1988- 2012)

Hussein Ramadhani Mkieti  aka.Sharo Milonea (1985 -2012)
Steven Kanumba  (1984 -2012)

 Fundi Saidi aka. Mzee Kipara (192? -2012)

Rose Thomas (1980 -2012)

Tuesday, October 30, 2007

Mjue Msanii Mkongwe wa Bongo - Mzee Kipara


Msanii wa siku nyingi Tanzania, Fundi Saidi aka. Mzee Kipara yumo kwenye sinema ya Bongoland II.
Kwa habari zake zaidi Bofya Hapa!