Saturday, May 12, 2007

Mrs. South America/ Miss Guyana wa Zamani ni Muuaji?



Anayeshika taji la Mrs. South America kwa sasa, Bibi Carolan Lynch anashikiliwa na polisi huko Guyana kwa shutuma la kumwua mume wake.

Mume wake, mfanyabiashara maarufu wa Guyana, Farouk Razac, alikutwa amekufa kwenye chumba chao cha kulala. Ama kweli duniani kuna mambo!
Kwa habari zaidi soma:

No comments: