Saturday, January 09, 2016

Picha Rasmi ya Rais John Pombe Magufuli

Picha Rasmi ya Rais Magufuli (Official Portrait)



Picha rasmi ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli imetoka leo (Januari 8, 2016) katika Ofisi ya Idara ya Habari (Maelezo) Dar es Salaam.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) Zamaradi Kawawa, amesema kuwa Picha hiyo ya Rais Magufuri kwa kila moja itauzwa kwa shilingi 15,000 ya Kitanzania (bila fremu), huku picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ikiuzwa kwa sh. 5,000/=.

Chanzo cha habari: http://www.channelten.co.tz/rasmi-picha-ya-rais-magufuli-itakayotumika-katika-ofisi-za-serikali/

No comments: