Showing posts with label Chatu. Show all posts
Showing posts with label Chatu. Show all posts

Tuesday, October 09, 2012

Afariki Mara Baada Ya Kushiriki Katika Mashindano ya Kula Mende na Minyoo!


pichani - Edward Archbold akila mende dakika chache kabl ya kufariki dunia

Mzungu amefariki dunia huko Florida baada ya kushinda mashindano ya kula mende na minyo.  Zawadi kwa mshindi ilikuwa chatu (nyoka)!  Kweli kabisa!  Unajiuliza mtu anakula mende na minyoo? Ndiyo, duka la kuuza wanyama aina ya Reptiles huko Florida ilifanya hiyo shindano na zawadi ilikuwa chatu mwenye thamani ya dola $800. Tena hao mende na minyoo walikuwa hai wakiliwa!

Walioshiriki walisema kuwa walimtaka huo chatu na hela hiyo hawakuwa nayo hivyo waliaamu kula hao mende na minyoo. Mtu mwenye akili timamu lazima utapike ukisikia habari hiyo.

Mungu ailaze roho yake mahala pema mbunguni. Amen.

******************************************************

Kutoka  Yahoo.com

MIAMI (AP) — The winner of a roach-eating contest in South Florida died shortly after downing dozens of the live bugs as well as worms, authorities said Monday.

About 30 contestants ate the insects during Friday night's contest at Ben Siegel Reptile Store in Deerfield Beach about 40 miles north of Miami. The grand prize was a python.

Edward Archbold, 32, of West Palm Beach became ill shortly after the contest ended and collapsed in front of the store, according to a Broward Sheriff's Office statement released Monday. He was taken to the hospital where he was pronounced dead. Authorities were waiting for results of an autopsy to determine a cause of death.

The medical examiner's office said Tuesday it has sent samples of Archbold's remains for testing, but results are not expected for another week or two.

"Unless the roaches were contaminated with some bacteria or other pathogens, I don't think that cockroaches would be unsafe to eat," said Michael Adams, professor of entomology at the University of California at Riverside, who added that he has never heard of someone dying after consuming roaches. "Some people do have allergies to roaches," he said, "but there are no toxins in roaches or related insects."

None of the other contestants became ill, the sheriff's office said.

There was no updated phone number listed for Archbold in West Palm Beach.

"We feel terribly awful," said store owner Ben Siegel, who added that Archbold did not appear to be sick before the contest. "He looked like he just wanted to show off and was very nice," Siegel said, adding that Archbold was "the life of the party."

Siegel said Archbold was selling the exotic prize to a friend who took him to the contest.

The grand prize has been put aside in Archbold's name and will be given to his estate, Siegel told the AP.

A statement from Siegel's attorney said all the participants signed waivers "accepting responsibility for their participation in this unique and unorthodox contest."

The bugs consumed were from an inventory of insects "that are safely and domestically raised in a controlled environment as food for reptiles."

Wednesday, March 16, 2011

Nyoka Auma Titi la Supamodo...Afa Dunia!

Wadau hebu cheki jinsi huyo supamodo wa Israel, Orit Fox, anayojaribu kulamba na kubusu nyoka! Kwanza anajifanya kama anataka kufanya mapenzi na huyo nyoka aina ya boa (kama chatu). Nyoka anachukia anamwuma kwenye titi. Kumbe titi ni zile puto zilizojaa silicone. Siku hizi ni fesheni kwa wazungu na hata weusi wenye matiti madogo kwenda kwa daktari ili wawekewe hizo puto matiti yao yawe makubwa zaidi. Nasikia zinauma. Wanasema hiyo silicone ilimwua nyoka baadaye! BORA! Bi Fox ni mzima ila inabidi abadilishwe puto kwenye titi.



Kwa habari zaidi someni:

http://www.hindustantimes.com/Snake-bites-model-s-breasts-dies/Article1-673607.aspx#

Saturday, May 24, 2008

Waliomsulubu Chatu Watafutwa Boston!


Huko Lawrence, Massachusetts nyoka aina ya chatu alikutwa kwenye nguzo ya simu amepigiliwa misumari mitano. Waokoa wanyama hapa wanasema kuwa angebaki huko muda mrefu zaidi angekufa.

Hivi sasa huyo chatu yuko kwenye hospitali ya wanyama hapa Boston akipewa dawa ya kupunguza maumivu.

Kuna reward ya dola $5oo kwa ambaye atamwumbua aliyemtesa nyoka huyo. Wanasema aliyemtesa nyoka huyo ana roho mbaya kupindukia! Unaweza kupiga simu namba 617-522-6008 kutoa ripoti kama unajua aliyemtesa!

*****************************************************
Python found nailed to telephone pole

May 24, 2008

LAWRENCE, Mass., May 24 (UPI) -- A 2-foot python found nailed to a telephone pole in Lawrence, Mass., is recovering at a Boston animal hospital.

The snake was discovered Wednesday, attached to the pole by six 2-inch roofing nails, the Boston Herald reported. Investigators say it may have been there for as long as 20 hours.Brian Adams of the Massachusetts Society for the Prevention of Cruelty to Animals said the snake is still in considerable pain."

People seem to think that animals don't feel pain," he said. "They absolutely do, and snakes are no different."The snake has been nicknamed Trent by its caretakers at the Angell Memorial Animal Medical Center.

Veterinarians said none of its internal organs were damaged.The MSPCA has offered a $500 reward for information leading to the arrest of the person who nailed the snake.
Kwa habari zaidi someni: