Showing posts with label Democrats. Show all posts
Showing posts with label Democrats. Show all posts

Thursday, November 08, 2012

Website ya Rais Romney ilikuwa Hewani Leo Asubuhi!


Yaani hadithi za Gavana Romney haziishi. Leo asubuhi Website ya "Rais Romney" ilikuwa hewani. Imeshatolewa. Nadhani walikuwa na Timer kwenye hiyo site na walisahau kuizima aliposhindwa uchaguzi.

Romney alivyokuwa anajua kuwa atashinda uRais aliandika hituba ya kukubali ushindi na hakuandaika ya kushindwa. Ndo maana ilichukua muda kukukabli kushindwa.

Rais Barack Obama  wa chama cha Deomcrats alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani kwa miaka minne zaidi katika Uchaguzi wa Novemba 6, 2012.

Mnaweza kusoma habari zaisi kwa KUBOFYA HAPA:


Wednesday, August 27, 2008

Obama Ateuliwa Rasmi!


Senator Barack Obama wa Illionois, leo ametuliwa rasmi kuwa mgombea rais wa Marekani kupitia chama cha Democrats. Ni jambo la kihistoria maana yeye ni mtu mweusi wa kwanza kuteuliwa na chama kikubwa hapa Marekani kuwa mgombea rais.

Kesho Obama atakubali kuteuliwa kwake. Watu wanangojea kwa hamu kusikia atasema nini.

Mungu amlinde yeye na familia yake maana wabaguzi bado wamejaa hapa Marekani. Hata juzi tuklisikia wazungu watatu walikamtwa wakiwa na mpango wa kutaka kumwua kesho akienda kutoa hotuba yake huko Colorado.
Kwa habari zaidi soma: