Showing posts with label Meli. Show all posts
Showing posts with label Meli. Show all posts

Saturday, October 15, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Asindua Meli Mpya ya Kisasa MV Nyehunge 2

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa pili kushoto), jana amezindua Meli mpya na ya kisasa (Kivuko) ya MV NYEHUNGE II yenye uwezo wa kubeba abiria 500 pamoja na mizigo inayofanya safari zake kati ya Jiji la Mwanza na Wilaya ya Ukerewe.

"Naamini kivuko hiki kitakuwa ni mkombozi kwa wakazi wa Ukerewe kwani uhitaji wa wakazi wa Ukerewe kuhitaji huduma nzuri na salama ya usafiri ni mkubwa hivyo tunaamini  kivuko hiki kitatumika kwa maeneleo ya wanaUkerewe". Alisema Mongella na kuongeza kwamba hiyo ni fursa kwa wafanyabiashara wa Ukerewe kutumia Kivuko hicho katika shughuli mbalimbali za kibiashara.
Na BMG
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa pili kushoto), jana amezindua Meli mpya na ya kisasa ya MV NYEHUNGE II yenye uwezo wa kubeba abiria 500 pamoja na mizigo inayofanya safari zake kati ya Jiji la Mwanza na Wilaya ya Ukerewe.
Mmoja wa watoto akisalimiana na viongozi waliohudhuria uzinduzi wa meli hiyo
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo
Mama  Gertrude Mongella (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Bi.Mary Tesha, wakati wa uzinduzi huo.


Mama  Gertrude Mongella (katikati), akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Bi.Mary Tesha (kulia), pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dkt.Leonard Masale (kushoto) wakati wa uzinduzi wa Meli hiyo.
"Naamini kivuko hiki kitakuwa ni mkombozi kwa wakazi wa Ukerewe kwani uhitaji wa wakazi wa Ukerewe kuhitaji huduma nzuri na salama ya usafiri ni mkubwa hivyo tunaamini  kivuko hiki kitatumika kwa maeneleo ya wanaUkerewe". Alisema John Mongella (katikati) na kuongeza kwamba hiyo ni fursa kwa wafanyabiashara wa Ukerewe kutumia Kivuko hicho katika shughuli mbalimbali za kibiashara.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nyehunge, Said Mohamed (kushoto), alisema Meli hiyo itakuwa mkombozi kwa wasafiri wa Ukerewe ambapo kutakuwa na Meli tatu kwa siku zitakazokuwa zikifanya safari zake za Jiji la Mwanza na Ukerewe huku nauli ikiwa ni nafuu kabisa.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, George Nyamala, akielezea umuhimu wa meli hiyo kwa wakazi wa wilaya yake.
Mmoja wa wakazi wa Ukerewe akielezea furaha yake baada ya uzinduzi wa Meli ya Mv Nyehunge II
Mwonekano wa ndani wa Meli ya Mv Nyehunge II
Abiria wakiingia kwenye Meli ya Mv Nyehunge baada ya uzinduzi kwa ajili ya kusafiri kutoka Jijini Mwanza kuelekea Ukerewe.

Sunday, December 07, 2014

Kamanda wa Ujerumani Ajivunia Usalama Bahari ya Hindi

DSC_0001

Balozi wa Ujerumani nchini Mh. Egon Kochanke (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania kwenye hafla maalum ya kuwakaribisha na kuwapongeza wanajeshi wa kikosi cha wanamaji wa meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck, inayofanya doria katika ukanda wa Bahari ya Hindi kama sehemu ya jeshi la kimataifa linaloendesha operesheni Atalanta chini ya kamanda Peter Christian Semrau (kulia) iliyofanyika ndani ya meli hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi wetu

KAMANDA wa meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck, inayofanya doria katika ukanda wa Bahari ya Hindi kama sehemu ya jeshi la kimataifa linaloendesha operesheni Atalanta, Peter Christian Semrau, amesema jumuiya ya kimataifa imepata mafanikio makubwa kwa kuwezesha njia inayotumika sana na meli kuwa salama.

Akizungumza katika mahojiano ndani ya meli hiyo ambayo imetia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Kamanda Semrau alisema kwamba kwa mwaka huu hapakuwepo na tukio kubwa ambalo limetikisa eneo hilo la Pwani ya Pembe ya Afrika inayopakana na Somalia na Yemen.

Alisema kuanzia shughuli za kimataifa kukabili uharamia na ujambazi baharini kuanza mwaka 2009 kumekuwepo na ushindi wa kimataifa kutokana na kuendelea kupungua kwa matukio katika eneo hilo ambapo awali ilikuwa ni tishio kubwa.

Alisema pamoja na kupungua kwa matukio ya kijambazi na utekaji nyara kazi ambayo inatarajiwa kufanywa mwakani ni kuhakikisha kwamba mataifa yanayopakana na bahari ya Hindi yanawezeshwa kujilinda yenyewe dhidi ya matukio ya baharini.

DSC_0004

Pichani juu na chini baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania na mabalozi mbalimbali waliojumuika kwenye hafla hiyo wakisiliza risala ya Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mh. Egon Kochanke (hayupo pichani).

Meli hiyo ambayo inafanya doria kuanzia kaskazini mwa Afrika hadi Kusini imetia nanga Dar es salaam ikitokea Madagascar ambako nako ilipata mapokezi makubwa.

Operesheni Atalanta inaendeshwa na vikosi vya Umoja wa Ulaya vikilinda eneo la bahari ambalo lina shughuli nzito kwa meli za biashara

Meli hiyo ambayo itakuwa katika operesheni hadi februari mwakani itapokewa kazi hiyo na meli nyingine ya FGS Bayern.

Naye Balozi wa Ujerumani nchini Mh. Egon Kochanke akizungumza na waandishi wa habari akiwakaribisha katika melivita hiyo alisema kwamba amefurahishwa na mchango wa taifa lake katika kuhakikisha pwani ya Bahari ya Hindi upande wa Afrika inakua salama na watu wanapata huduma zinazotakiwa.

DSC_0005

Alisema moja ya kazi kubwa ya meli hiyo ni kusindikiza meli zenye vyakula au huduma mbalimbali za kijamii kwa mataifa ambayo yanashida ili kupunguza maumivu.

Alisema pamoja na meli hiyo kutia nanga Dar es Salaam kuonesha ushirikiano wa kutosha kati ya taifa lake na Tanzania, anatarajia mwakani mahusiano ya Tanzania na Ujerumani yatazidi kuimarika hasa katika nyanza za hifadhi na maendeleo ya jamii.

Aidha balozi huyo alisema kwamba taifa lake linaongeza fedha zaidi kwa ajili ya uanzishaji wa mamlaka ya wanyamapori nchini Tanzania kwa lengo la kuifanya iwe na nguvu na uwezo wa kulinda wanyama hao.

Pia alisema inafikiria namna ya kufanya na meli ya MV Liemba ambayo alisema ni moja ya vielelezo hai vilivyopo vyenye maana kubwa katika uhusiano wa Tanzania na Ujerumani.

DSC_0006

Alisema meli hiyo inafaa kufanyiwa ukarabati ili kuweza kutoa huduma kandoni mwa ziwa Tanganyika.

Aidha alisifu ukuaji wa demokrasia nchini Tanzania hasa kwa kuzingatia uhuru uliopo wa vyombo vya habari na majadiliano yenye afya bungeni yenye lengo la kujenga taifa lenye nguvu.

Aidha alisema Ujerumani itaendelea kukuza uhusiano na Tanzania ambayo ni nanga ya usalama kwa mataifa ya Afrika Mashariki na ukanda wa Bahari ya Hindi kwa upande wa Afrika.

DSC_0015

Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mh. Egon Kochanke akifanya cheers na mmoja wa makamanda wa jeshi la wanamaji kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika ndani ya meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck inayofanya doria ya kubaini maharamia kwenye pwani ya ukanda wa Bahari ya Hindi.

DSC_0017

Baadhi ya wanajeshi wa kikosi cha maji wa meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck kwenye hafla maalum ya kuwapongeza na kuwakaribisha nchini Tanzania iliyoandaliwa na ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania.

DSC_0022

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mh. Ali Davutoglu (kushoto) akibadilishana mawazo na mmoja wa maafisa wa bandari ya Dar es Salaam.

DSC_0029

Sehemu ya muonekano wa meli ya kivita ya ya Ujerumani FGS Lübeck wakati hafla ya kuupongeza msafara wa kikosi cha wanamaji wa jeshi la Ujerumani kilichoongozwa na Kamanda Peter Christian Semrau.

DSC_0030

Baadhi ya makanda wa kikosi cha wanamaji wa jeshi hilo wakilinda lango kuu la kuingia ndani ya meli hiyo.

DSC_0036

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akibadilishana mawazo na mmoja wanakikosi cha maji wa meli ya kivita ya ya Ujerumani FGS Lübeck iliyotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

DSC_0038

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne McIntosh akihoji jambo kwa mmoja wa wanakikosi cha maji wa meli ya kivita ya ya Ujerumani FGS Lübeck ambaye jina lake halikuweza kufahamika kiurahisi.

DSC_0032

Pichani juu na chini ni baadhi ya wageni waalikwa wakibadilishana mawazo kwenye hafla hiyo.

DSC_0071

DSC_0065

Kamanda Peter Christian Semrau anayeongoza kikosi cha wanamaji wa meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck, inayofanya doria katika ukanda wa Bahari ya Hindi kama sehemu ya jeshi la kimataifa linaloendesha operesheni Atalanta akiwa kwenye picha ya pamoja na wageni waalikwa.

DSC_0057

Wageni waalikwa wakiendelea kupata picha ya kumbukumbu na Kamanda Peter Christian Semrau anayeongoza kikosi cha wanamaji wa meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck, inayofanya doria katika ukanda wa Bahari ya Hindi kama sehemu ya jeshi la kimataifa linaloendesha operesheni Atalanta kubabili maharamia.

DSC_0059

Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mh. Egon Kochanke katika picha ya pamoja na Afisa wa kitengo cha habari Ubalozi huo, John Meirikion.

DSC_0069

Pichani ni baadhi ya wageni waalikwa wakipata picha ya pamoja ndani ya meli hiyo ya kivita.

DSC_0070

Afisa wa kitengo cha habari Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania, John Meirikion akipata picha ya pamoja na mmoja wa wageni waalikwa ndani ya meli ya kivita ya Ujerumani FGS Lübeck iliyotia nanga bandari ya Dar es Salaam.

Friday, July 20, 2012

Ajali ya MV Skagit

Wadau, yaani ajali za meli zinatokea Tanzania lakini hatuoni Improvements katika ukoaji wa maisha wa binadamu. Lini serikali ya Tanzania itathamini maisha ya watu wanaosafiri na meli?  Nadhani kwa saa Tanzania inaongoza kwa ajali ya meli na vifo vya watu baharini na maziwani! Viongozi wa Tanzania hebu acheni uchu wa kununua magari ya fahari etc.! 

Mboreshe jeshi la Navy ( Wanamaji), mboreshe hospitali zetu pia kusudi watu wasiwe na haja ya kwenda kutibiwa nje za nje!!!

Waliotengeza hiyo melihapa Marekani wanasema kuwa meli ilijengwa kwa kubea watu 230 tu! Yaani Maximum capacity ni 230.  Inakuaje ilikuwa imebeba karibu watu 400 na mizigo!!!!!

********************************************











Kutoka REUTERS:

(Reuters) - Rescue workers fought rough seas on Thursday to search for survivors after an overcrowded ferry sank near the Indian Ocean archipelago of Zanzibar, but hopes of finding people alive were slim.


At least 68 people were confirmed dead and 145 were rescued after the MV Skagit/Kalama capsized around midday on Wednesday near Chumbe island, west of Zanzibar.

The vessel had set sail from mainland Tanzania to the semi-autonomous archipelago, a popular tourist beach destination. One U.S. citizen was among the dead.

Hundreds of people gathered at the Maisara Grounds park near Zanzibar's historic Stone Town area on Thursday to identify bodies laid out in a tent.

Tatu Kwiyela, a 35-year-old woman from mainland Tanzania, survived the accident but her nine-month-old son died.

"I was swept away by strong waves and lost my son, Saidi Jumanne. I tried to hang on to him but he disappeared into the sea," said Tatu, who managed to identify his remains.

Police said more than 10 foreign tourists, including a group of Dutch holidaymakers, were among the rescued passengers.

"One of those killed in the ferry accident is an American citizen. The body has been recovered and is being preserved at a mortuary," Zanzibar police spokesman Mohammed Mhina said.

The ferry, with a maximum carrying capacity of 250 people according to Zanzibar marine authorities, was carrying 290 people, officials said.

"Out of the 68 dead victims, 54 bodies have been identified so far by their relatives and taken for burial," Mhina said.

"We will continue with the search and rescue operation tomorrow morning, although it is becoming increasingly difficult to find any survivors now."

There were at least 145 survivors.

Rescue teams battled heavy winds and rough seas in their search effort. Divers trying to pluck more bodies from the wreckage said they were not able to reach the vessel.


"The sunken boat is below depths of 25 meters (82 ft) ... we tried to go as deep as we could but could not locate it," Ali Ramadhani, one of the divers, said.

"All we've seen today are bodies floating in the sea. I don't think we are going to find anyone alive. The sea is very rough, it is difficult for anyone to survive in such conditions."

Some of the victims' relatives said they were angry at authorities for lax safety regulations, especially after more than 200 people were killed in a ferry accident in September in Zanzibar's worst maritime disaster.

"The government has killed all these people. They must bring the owner of the boat to us," said Abdallah Sadick whose brother was among the missing passengers.

Zanzibar residents said passenger ships are notoriously overcrowded and there are few safety inspections.

Tanzanian President Jakaya Kikwete ordered an investigation into the incident and announced three days of national mourning.

Kwa habari zaidi someni:

http://news.yahoo.com/31-dead-over-100-missing-zanzibar-ferry-disaster-064550620.html

http://www.iol.co.za/news/africa/zanzibar-ferry-was-seaworthy-1.1345841

Mnaweza kuona Video HAPA:



MV Skagit wakati inafanya kazi Seattle, Washington USA kabla ya kwenda Tanzania.  Hapa MArekani wansema kuwa meli hiyo ilijengwa kwa ajili ya kusafirisha watu 230 tu!!!!  Inakuaje ilikuwa na watu 400 na mizigo!!!  Uchu wa pesa itafanya watu waende motoni!

Thursday, July 19, 2012

Watu Zaidi ya 100 wahofia Kufa - Ajali ya MV Skagit

Baadhi ya wananchi wakiwa katika Foleni ili kwenda kuzitambua Maiti zao katika Viwanja vya Maisara kutokana na  kuzama kwa Meli ya  skagit hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar.
 Kutoka BBC.com BOFYA HAPA KUONA VIDEO

A naval search operation resumed at first light to find an estimated 100 people missing after a Tanzanian ferry sank near Zanzibar's main island.
The boat had left the city of Dar es Salaam on mainland Tanzania on Wednesday with 290 people on board.
So far 34 bodies have been recovered and more than 150 people rescued.
Zanzibar's police spokesman told the AFP news agency he feared there was now little hope of finding survivors from the MV Skagit ferry.
"Search operations continue but it is now almost impossible survivors will be found," the agency quotes him as saying.
Three days of mourning Survivors said they fear some of the passengers became trapped in vessel when it capsized in strong winds.
Some complained that they had initially been told everything would be OK and were not shown how to put on life jackets.
Then as the ferry went down, they jumped overboard clinging to life boats that automatically inflated, before being rescued by a passing tug boat.
Map
Ali Mohamed Shein, president of the semi-autonomous archipelago of Zanzibar, has declared three days of national mourning.
The ferry left Dar es Salaam at 12:00 local time (09:00 GMT) on Wednesday bound for the main island of the Zanzibar archipelago.
Hamza Kabelwa, director of the Tanzania Meteorological Agency, told the BBC's Swahili service that a warning had been issued for vessels not to make the crossing because of the rough seas.
Zanzibar's transport minister told reporters that two Europeans were among the dead.
The rescue operation had to be abandoned on Wednesday evening because of bad weather.
The BBC's Hassan Mhelela in Dar es Salaam says on Thursday morning there were many anxious relatives of missing MV Skagit passengers at the airport waiting to fly to Zanzibar.
The route between Dar es Salaam and Zanzibar is a busy crossing, popular with both Tanzanians and foreign tourists.
Last September, nearly 200 people died when an overcrowded boat with 800 people aboard sank off Zanzibar.

*************************************

Baadhi ya maiti ya watoto waliokufa katika ajali ya MV Skagit.  Mungu alaze roho zao mahala pema mbinguni.  Jamani lini serikali itadhibiti usalama wa usafiri wa meli Tanzania!!!!!



Maiti zikihifadhiwa katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar tayari kwa utambuzi wa ndugu na jamaa. 

Wednesday, July 18, 2012

Meli Yazama Zanzibar Leo! Watu Zaidi ya 15 wahofia Kufa!

Hata mwaka haijapita  tangu ajali mbaya ya MV Spice Islander na kuna habari kuwa meli nyingine imezama pwani ya Zanzibar! Watu zaidi ya 15 wamekufa.  Hiyo meli ilikuwa imebeba wageni pamoja na wazawa.

Natoa pole kwa wafiwa wote.  Lini serikali ya Tazania itaingilia usalama wa meli na ferry zetu? Itabidi watu wangapi wafe?

********************************************************

Baadhi ya Wageni Kutoka nchi za Nje walioponea ajali ya meli leo pwani ya Zanzibar. Picha na Reuters

Kutoka Reuters:

Vessel said to have been hit by high winds


By Ally Saleh

STONE TOWN, Zanzibar, July 18 (Reuters) - A ferry with more than 280 people on board, including some foreigners, sank off the east African coast of the Zanzibar archipelago on Wednesday, killing at least 15 people, the government said.

The ferry, MV Skagit/Kalama, set sail from the mainland Tanzania at around midday heading to Zanzibar, Tanzania's semi-autonomous archipelago and a popular tourist destination.

Rescue boats and divers were searching for any remaining survivors on the mostly submerged vessel.

"So far 15 bodies have been recovered," Mwinyihaji Makame, a state minister in the president's office, told reporters.

Government spokesman Yusuf Chunda added: "One foreigner, a woman is among the dead. Thirteen other foreigners were rescued and are in hospital."

It was not clear how many other foreigners had been on board. Zanzibar police spokesman Mohammed Mhina said by telephone that many passengers were missing.

"More than 200 people are believed to have been on board the boat when it capsized. We don't know how many of them sank with the boat," Mhina said.

"The rescue operation is ongoing as we speak but almost the entire boat has been submerged in water ... only a small part of the boat is now visible."

Preliminary reports indicated the vessel had capsized after being hit by strong winds and waves, he said.

Police said the vessel was carrying 250 adult passengers and 31 children when it capsized near Chumbe island, west of Zanzibar.

The ferry is owned by a company named Seagull, which also runs a number of other ferries. Previous reports had indicated the vessel was called MV Salama.

More than 200 people were killed when a crowded ferry sank in September off the coast of east Africa in the worst maritime disaster in the history of Zanzibar. (Additional reporting by Fumbuka Ng'wanakilala in Dar es Salaam; Editing by James Macharia, Yara Bayoumy and Alison Williams)

Wednesday, July 11, 2012

MBunge wa Marekani Atoa Onyo Kwa Rais Kikwete - Mafuta ya Iran

Rep. Howard Berman (D-CA)

Haya mazito! Wanatisha kusimiamisha misaada kutoka Marekani. Duh!  Pia ametoa tishio kwa nchi ya Tuvalu.

*********************************************************
Kutoka Site Bunge la Marekani

Berman Calls on Tanzanian President to Cancel Reflagging of Iranian Vessels

Berman Writes Tanzanian President, , Warns U.S. Assistance in Jeopardy

Washington, DC – Congressman Howard L. Berman, the top Democrat on the House Foreign Affairs Committee, today called on the Tanzanian President to cancel the reflagging of Iranian vessels following reports that the National Iranian Tanker Company (NITC) vessels are being reflagged under his nation’s flag.

Berman added that US assistance to Tanzania would be in jeopardy if these actions persisted.

In the letter, Rep. Berman writes, “It is profoundly disappointing to me to learn that your government has acted in contravention of the broad international coalition that is working together to use peaceful means, including economic sanctions, to change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision to accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over Tanzania’s international reputation.”

Rep. Berman has been a champion of Iran sanctions in Congress, building broad coalitions in support of ending Iran’s nuclear weapons program. In January, Rep. Berman, joined by Senator Menendez (D-New Jersey) introduced stiffer sanctions aimed at the NITC and the National Iranian Oil Company (NIOC) if they are determined to be affiliated with Iran’s Islamic Revolutionary Guard Corps. The sanctions would penalize foreign financial institutions that facilitate financial transactions involving NITC or NIOC.

The letter to President Kikwete follows:

Dear President Kikwete,

I am writing to express my deep dismay that Tanzania has permitted the National Iranian Tanker Company (NITC), to reflag at least 6 and as many as 10 of its vessels under the Tanzanian ship registry, allowing them to remain under NITC ownership and continuing to transport Iran’s crude oil exports. This action by your government has the effect of assisting the Iranian regime in evading U.S. and EU sanctions and generating additional revenues for its nuclear enrichment and weapons research programs and its support for international terrorism.

It is profoundly disappointing to me to learn that your government has acted in contravention of the broad international coalition that is working together to use peaceful means, including economic sanctions, to change the threatening behavior of the Iranian regime. The decision to accept the re-flagging of NITC vessels casts a shadow over Tanzania’s international reputation.

I respectfully request that Tanzania cancel the re-flagging of the NITC vessels. Given the close and cooperative relationship that our two governments now enjoy, it would be unfortunate if this action were permitted to stand.

It would be preferable that Tanzania take this action of its own accord. However, your government should take note of President Obama’s Executive Order 13608, signed May 1, 2012, which provides for the imposition of sanctions on any entity worldwide, including foreign governments, that assists Iran in evading U.S. sanctions. In my view, reflagging Iranian oil tankers falls within the scope of sanctionable activity under that Executive Order. In addition, if Tanzania were to allow Iranian vessels to remain under Tanzanian registry, we in the Congress would have no choice but to consider whether to continue the range of bi-lateral U.S. programs with Tanzania.
Sincerely,

Howard Berman

Ranking Democrat, House Foreign Affairs Committee

Saturday, January 14, 2012

Ajali ya Meli Costa Concordia - Titanic 2012

Mwaka 1912 meli ya fahari, Titanic, ilizama katika bahari ya Atlantic.  Titanic iligonga kipande kikubwa cha barafu (iceberg) na sehemu ya chini ikachanywa hivyo maji yaliingia kwa wingi na kusababisha meli kuzama. Watu 1,600 walipoteza maisha yao. Baada ya Titanic kuzama sheria za kusafirsha abiria baharini zilibadilika sana zikizingatia usalama wa wasafiri.


Usiku wa kuamkia leo karibu miaka 100 tangu ajali ya Titanic,  meli ya fahari Costa Concordia imezama kwenye pwani ya Italia. Meli iligonga kitu baharini na sehemu yake ya chini kachanwa. Kwa bahati nzuri ilizama karibu na ardhi. Meli hiyo ilikuwa na wasafiri zaidi ya 4,000. Kati yao watatu wamethibitishwa kufa na 70 wamepotea hawajuliani walipo.

Walioponea ajali  ya Concordia wanasema kuwa zile boat za kuokoa abiria zilikuwa bure maana meli ilizama upande ambao ilikuwa zirushwe majini. Aibiria wengi waliamua kujitosa baharini na kuogelea hadi wafike kwenye ardhi.  


Pia, wanasema kuwa hawakuwahi kufanya zoezi ya jinsi ya kushuka kwenye meli kama ikipata ajali, hivyo watu wengi hawakujua wafanye nini!


Wadau, kila ukipanda kwenye ndege Mhudumu  (au video) anakuonyesha milango ya kutokea ikitokea dharurua na jinisi ya kuvaa zile life vests. Kwenye meli hawafanyi hivyo kweli?


Kwa habari zaidi someni: 


http://www.bbc.co.uk/news/world-europe-16558910

http://www.bbc.co.uk/news/uk-england-dorset-16560737
Meli Costa Concordia baada ya ajali na kabla ya kuzama.



Waokoaji

Meli Costa Concordia ikiwa imelala ubavuni kwenye pwani ya Italia

Saturday, December 17, 2011

Meli Yazama Nigeria

Meli nyingine imezama barani Afrika. Safari hii imet0kea nchini Nigeria.

*******************************************************
LAGOS, Nigeria (AP) - A rescue official says at least 30 people died after an overloaded boat capsized in Nigeria's oil-rich southern delta.

Emergency manager Napoleon Ezekiah told The Associated Press on Friday that at least 14 others are feared dead after the boat going from Eagle Island to Mgbuodohia in Rivers state capsized Tuesday night.

Ezekiah says the engine-powered wooden boat had a capacity of about 35 people, but is believed to have been carrying as many as 55 passengers on the journey that usually takes about 5 minutes.

  He says six people survived, including a woman who gave birth Thursday to "a bouncing baby boy."
 
People rely largely on boat travel in rural parts of Nigeria's oil-rich but impoverished delta, a region of swamps, mangroves and creeks, roughly the same size as South Carolina.

Saturday, September 17, 2011

Wanne Washitakiwa! Ajali ya meli MV Spice Islanders

Haya wadau, watu wanne wameshitakiwa mahakamani. Naona kama hao ni watu wadogo. Nahodha wa hiyo meli yuko wapi?  Kwa nini alikubali kuondoka na meli ambayo kila mtu aliona imejaa kupindukia. Pia, kwa nini meli iliruhusirwa kuondoka bandarini.  Huko Dar walilazimishwa kushusha mizigo kabla ya kuruhusiwa kuondoka bandarini na kuelekea Zanzibar. Au Nahaodha alikufa katika ajali. Kuna ule usemi Nahodha anakufa na meli yake! (The Captain always goes down with his ship). Au anakataa mitaa ya Dar?

*************************************************************
STONE TOWN, Tanzania (AP) - Tanzanian authorities have charged four men with negligence over a ferry sinking that cost more than 240 lives a week ago.
 It's unclear how many passengers were aboard, but more than 800 people survived by clinging onto pieces of wood or crowding onto lifeboats.

 "It is a relief to us to hear that a handful of people were charged, but we believe the real culprits remain untouched," said survivor Suleiman Malik. "We wish to see some big fish fished out and face the long arms of the law."

The ferry owner Yusuf Suleiman Jussa, 47, first officer Abdallah Mohamed Ali, 30, and Zanzibar Ports Authority employee Silima Nyange Silima, 27, all were charged with contravening the Maritime Act by allowing the heavily overloaded M.V. Spice Islander to leave port.

Captain Said Abdullah Kinyanyite, who remains missing, was charged in absentia.

Ramadhan Nassib from the Directorate of Public Prosecution said the four were responsible for the deaths after the ferry sank at night in an area of deep seas and strong currents.
The suspects were not allowed to enter a plea after the charges were read out to a packed courtroom late on Friday.

MV Spice Islander bandarini Zanzibar photo by Photo by Nipun Srivastava

Monday, September 12, 2011

Meli MV. Spice Islander Ulikuwa Mkweche/TakaTaka!

MV Spice Islander ikiwa Honduras kabla ya kufika Tanzania

MV Spice Islander ikijazwa mizigo katika bandari ya Dar au Zanzibar?

MV Spice Islander bandarini Zanzibar mwaka jana
Wadau, habari ya kuzama kwa meli MV Spice Islande imekuwa habari ya kimataifa. Inaelekea kuwa hiyo meli MV Spice Islander ilikuwa meli ambayo isingeruhusiwa kufanya kazi katika nchi za magharibi kutokana na ubovu wake. Meli iliundwa mwaka 1967 huko Ugiriki. Imefanya kazi katika nchi kadhaa na kuhribika mara kadhaa kabla ya kufika Tanzania. Ilikuwa na majina, Mariana, na Apostolos P kabla ya kuitwa Spice Islander I nchini Honduras. Hapa Tanzania, uchu wa pesa  na kujaza hiyo meli nzee kupindukia imesabisha meli iseme, mie basi tena, bora nizame kuliko niendelee!   Halafu cha kuchekesha zaidi eti serikali ya Zanzibar inasema kuwa hawajui nani anamiliki hiyo meli!   Kwa hiyo hela ya nauli, mizigo ilikuwa inaenda kwa nani? Mwenye meli alikuwa halipi kodi? Soma habari zifuatazo.

Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema mbinguni. AMEN.

*************************************************************
"We have regularly featured disasters such as this, usually in the poorer regions of the world when vessels, often rejected by Western countries for reasons of safety, unreliability or age, are snapped up for use in areas unsuited to them. In this case it seems clear that safety measures regarding maintenance and load levels were simply ignored, presumably in the name of profit, leading to yet another avoidable tragedy. "

MV Spice Islander Debris Field off the coast of Zanzibar
Awful Tanzanian Vessel Death Toll Could Have Been Worse

TANZANIA – Once again we are witness to tragedy when the MV Spice Islander, a freight and passenger RoRo (roll on/roll off) ferry travelling between the offshore islands of Unguja and Pemba in the Zanzibar archipelago lost power whilst traversing the dangerous waters off the coast of Zanzibar. The strong currents in the area apparently caused the overloaded vessel to capsize and the current death toll stands at around 200.

The disaster however could have been much worse as reports state that the ferry was carrying a complement of in excess of 800 souls plus a quantity of cargo, her official capacity is reported as 645 plus 45 crew. The bodies, recovered from the water are being taken to a local football stadium, include many children. Some reports state that the vessel was listing before she embarked causing some passengers to leave her prior to departure from Unguja. There are no reported tourist deaths as yet, most prefer local speedboats to the slower ferry service.

We have regularly featured disasters such as this, usually in the poorer regions of the world when vessels, often rejected by Western countries for reasons of safety, unreliability or age, are snapped up for use in areas unsuited to them. In this case it seems clear that safety measures regarding maintenance and load levels were simply ignored, presumably in the name of profit, leading to yet another avoidable tragedy.

Spice Islander is a Ro-Ro ferry of 836 gross tonnes was built in Greece in 1967 as Marianna. She was renamed Apostolos P following a sale in 1988 before being sold to a Honduran company in 2007 and renamed. She had been in trouble before when, in 2007, she broke down off the Somali coast reportedly due to fuel contamination. On that occasion she was aided by a patrolling US naval vessel which resupplied her with fuel. Speaking earlier today, the UK’s Minister for Africa Henry Bellingham said:

“I was deeply saddened by news of the ferry disaster off Tanzania earlier today which claimed the lives of so many people. On behalf of the British Government, I would like to extend my deepest sympathy to those affected and their families.

“When I visited Tanzania in May I was struck by how close the relationship is between our countries and the warmth and friendship of the Tanzanian people. At this difficult time, our thoughts are with the people of Tanzania as they come to terms with this terrible tragedy.”

SOURCE: http://www.handyshippingguide.com/shipping-news/another-major-freight-and-passenger-roro-ferry-disaster_3063

****************************************************

Kutoka IPPMedia.com

Death toll reaches 240, search continues


By Mwinyi Sadallah

12th September 2011
Zanzibar residents bury the body of one of the passenger who died after MV Spice Islanders capsized on Saturday. The burial ceremony took place in Kama area in the Isles, yesterday. (Photo: Khalfan Said)The death toll in the Zanzibar marine accident which involved MV Spice Islander boat yesterday rose to 240 people, as more bodies were pulled from the ocean.

The Zanzibar Police Commissioner Mussa Ali Mussa gave the figure here yesterday when briefing the Inspector General of Police Said Mwema on the accident who was accompanied by Tanzania People’s Defence Forces Chief General Davis Mwamunyange.

IGP Mwema said the government has decided to bring in rescuers from abroad to assist in the search for any more bodies trapped in the boat.

Zanzibar government said MV Spice Islander was overloaded before it capsized at Nungwi area in Zanzibar.

Speaking to journalists here yesterday Minister of State, Second Vice President Office Mohammed Aboud Mohammed said that the boat had the capacity of carrying 600 passengers and 500 tonnes of cargoes.

But according to the passenger’s manifest 610 passengers boarded the boat at Zanzibar port while 166 boarded at Dar es Salaam port including 65 children.

He said government has also decided to bury 39 people who were not identified.They were buried at Kama area in Unguja –West district.

He added that the government has also prepared 134 graves at Kama area which will be used to bury people who will not have been identified by their relatives.

He further explained that Maisara Disaster Centre which was established for relatives to identify bodies has been closed and other bodies which will be recovered will be buried immediately, noting that records will be kept for searching relatives.

The government will today hold a special prayer at Maisara grounds for the people who died in the accident and the victims. The prayers will be led by Zanzibar President Dr Ali Mohamed Shein.

He however said that the captain of the ill-fated ship Said Kinyenyeta was yet to be found, but a technician with the vessel Injima Mkune was being questioned by police.

Meanwhile, the National Social Security Fund (NSSSF) has donated 13m/- to help in the rescue mission—out of which, 10m/- would go to the government and 3m/- to support burial activities.

The financial assistance was presented by NSSF Senior Public Relations Officer, Juma Kintu, who said the social security scheme was touched by the impact of the incident on people’s lives.

Zanzibar social security fund has contributed 10m/- which was presented by fund’s public relations officers, Raya Hamdani, while the mobile phone company, TIGO donated food worth 5m/- to the victims.

Minister Aboud said the Union government gave 300million/- to support activities and operations related to the tragic marine accident.

Meanwhile the Director of Zanzibar Port Authority, Mustafa Aboud Jumbe distanced himself from blame, saying the authority was not responsible in overseeing marine transport services (passengers and cargo).

Speaking to our sister newspaper, Nipashe yesterday, Jumbe said “This is the duty of the Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA), which was established by the law to oversee marine and surface transport sectors.”
Sumatra stopped operations in Zanzibar after Members of the House of Representatives claimed that the authority was operating illegally, as marine transport services was not on the list of Union matters.

Efforts to get director of Zanzibar marine transport, Vuai Haji, did not bear fruit, as his mobile phone was not answered.

In July, this year, Minister of Communications and Transport, Hamad Masoud presented a special report in the House of Representatives, defending marine transport facilities in Zanzibar, saying they did not pose any threat to the lives of travellers.

The minister was responding to the growing public concerns, after seven ships plying Zanzibar developed technical faults.