
Kaka Michuzi, hivi karibuni alibahatika kukutana na wacheza sinema maarufu wa Bongo, Steven Kanumba na Ray. Alipiga picha hii huko Msasani Club. Cheki Kanumba anavyoonekana sasa...very handsome na hiyo ndevu!
Kuona picha zaidi mtembelee Kaka Michuzi kwa kubofya HAPA.