Kutoka Lukwangule Blog:
HABARI za kuudhi zinaendelea kumiminika kuhusiana na mkasa mzito wa kupoteza watoto 19 kwa mpigo wakati wa disko mjini Tabora kwenye sikuku ya Idd.
Baadhi ya watoto walionusurika kifo katika ukumbi wa Bubbles Night Club siku ya Idd mosi ambako wenzao 19 walipoteza maisha, wamesema wanaamini ulevi wa baadhi yao ulisababisha janga hilo.
Watoto hao walisema pia kwamba tathmini yao inaonyesha kwamba waliokuwamo ndani ya ukumbi siku hiyo walikuwa kati ya 1,000 hadi hata 1,500.
Uwezo wa ukumbi huo ambao ulijengwa kwa ajili ya mikutano ni kuhudumia watu wazima 150. Mmoja wa watoto hao akizungumza kwenye maziko ya rafiki yake ambaye walikuwa naye disko siku hiyo, Said Sudy (12) alisema siku hiyo ya tukio, mabaunsa wa ukumbi huo walikuwa wakimlazimisha kila mtoto aliyekuwa anaingia ukumbini kununua pombe aina ya Simba Gin.
Polisi inaendelea kuwatafuta mabaunsa hao ambao walikimbia baada ya tukio hilo .
Kwa habari zaidi ingia saiti ya HabariLeo:
http://www.habarileo.co.tz/
Showing posts with label Toto Disco. Show all posts
Showing posts with label Toto Disco. Show all posts
Monday, October 06, 2008
Thursday, October 02, 2008
Maafa mjini Tabora! - Part 2
Okay, ni hivi....hao watoto walikufa kwa kukosa hewa (Suffocation). Wanasema kuwa kuna joto sana mjini Tabora sasa na ule ukumbi ulikuwa umejaa kupita kiasi.
Sasa si uchu wa pesa huo? Mnajaza watu kupita kiasi katika eneo ndogo, unatagemea nini? Wafilisiwe hao washenzi wenye klabu na wafungwe gerezani maisha!
Watoto wamepoteza maisha yao shauri ya uchu wa pesa!
Hivi hakuna standards za kusema, eneo fulani unatosha watu kiasi fulani tu? Mfano chumba kinatosha watu 50 lakini mnaweka watu 300! Kuna wakaguzi huko? Hapa Marekani hiyo ni moja ya kazi ya zimamoto.
Hii ni jambo la kisikitisha sana tena mno na ni aibu kwa nchi yetu.
Poleni wafiwa. Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.
Vyombo vya habari vya kimataifa sasa wanatangaza habari hizi someni:
http://www.bloomberg.com/apps/news?pid=20601116&sid=apHD09_PuR1w&refer=africa
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/476772/-/tkwn0r/-/
http://afp.google.com/article/ALeqM5j4Yux0NoN6fz9qovrCN9uTpMSNsA
http://www.cnn.com/2008/WORLD/africa/10/02/disco.deaths.ap/index.html
**************************************************************************
Kutoka gazeti la Daily News:
http://dailynews.habarileo.co.tz/home/?id=7627
RAPHAEL LUCAS in Tabora
Daily News; Thursday,October 02, 2008 @19:01
President Jakaya Kikwete has sent condolences to the families of 19 children who died in a discotheque when celebrating Idd el Fitr, calling for a thorough investigation into the matter -and stern measures taken against all those involved. Six other children are hospitalized, two of them in critical condition, following the incident.
The owner of the club, Mr Shashi Patel, is under police custody as authorities continue with investigations. The Minister for Labour, Employment and Youth Development, Prof Juma Kapuya, said that the president had also given 500,000/- to the families of children who perished in the accident.
Prof. Kapuya said that President Kikwete received with profound shock the children’s death that occurred at around 6:30 pm at Bubbles Night Club within Tabora municipality on Wednesday. According to the Tabora Acting Regional Police Commander, Mr Daudi Siasi, the tragedy struck after the children suffocated within the club’s overheated poorly ventilated dance floor.
Tabora municipality is at the moment very hot with temperatures recorded at over 33 degrees Centigrade. The children who perished were aged between 7 and 15 years. Reports from Tabora say that the Uyui District Medical Officer, Dr Moses Makelele, lost two children in the tragedy. His wife passed away three weeks ago.
The National Social Security Fund (NSSF), owners of the building that houses the club, have also promised to give another 500,000/- to the families of each of the children that died in the tragedy and 100,000/- to the families of the injured children.
Tabora regional authorities have given each family of the deceased children 50,000/- and the go-ahead for them to bury their dead. Mr Siasi identified those who died in the incident as Veronica Manigu (7), Beatrice Makelele (14), Jacob Gerald (12), Salma Hamis (12), Khadija Waziri (13), Rehema Moto (14), Selemani Iddi (11), Mrisho Selemani (10), Abdallah Rehani (14) and Agatha Manigu (12).
Others are Paulina Emmanuel (11), Mohammed Kapaya (15), Ramla Yenga (15), Habiba Shabani (15), Donald Kasera (12), Mwanahamisi Waziri (11), Philipo Haule (11), Ashura Jacob (12) and Yasini Rashidi (11). Those injured are Msimu Rehani (14), Tatu Amani (15), Kulwa Iddi (12), Sakina Alli (10); the latter was discharged but later returned to hospital. Two of the casualties are in critical condition – Jumanne Abdullah (age not immediately established) and Naomi Joseph (13).
Sasa si uchu wa pesa huo? Mnajaza watu kupita kiasi katika eneo ndogo, unatagemea nini? Wafilisiwe hao washenzi wenye klabu na wafungwe gerezani maisha!
Watoto wamepoteza maisha yao shauri ya uchu wa pesa!
Hivi hakuna standards za kusema, eneo fulani unatosha watu kiasi fulani tu? Mfano chumba kinatosha watu 50 lakini mnaweka watu 300! Kuna wakaguzi huko? Hapa Marekani hiyo ni moja ya kazi ya zimamoto.
Hii ni jambo la kisikitisha sana tena mno na ni aibu kwa nchi yetu.
Poleni wafiwa. Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.
Vyombo vya habari vya kimataifa sasa wanatangaza habari hizi someni:
http://www.bloomberg.com/apps/news?pid=20601116&sid=apHD09_PuR1w&refer=africa
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/476772/-/tkwn0r/-/
http://afp.google.com/article/ALeqM5j4Yux0NoN6fz9qovrCN9uTpMSNsA
http://www.cnn.com/2008/WORLD/africa/10/02/disco.deaths.ap/index.html
**************************************************************************
Kutoka gazeti la Daily News:
http://dailynews.habarileo.co.tz/home/?id=7627
RAPHAEL LUCAS in Tabora
Daily News; Thursday,October 02, 2008 @19:01
President Jakaya Kikwete has sent condolences to the families of 19 children who died in a discotheque when celebrating Idd el Fitr, calling for a thorough investigation into the matter -and stern measures taken against all those involved. Six other children are hospitalized, two of them in critical condition, following the incident.
The owner of the club, Mr Shashi Patel, is under police custody as authorities continue with investigations. The Minister for Labour, Employment and Youth Development, Prof Juma Kapuya, said that the president had also given 500,000/- to the families of children who perished in the accident.
Prof. Kapuya said that President Kikwete received with profound shock the children’s death that occurred at around 6:30 pm at Bubbles Night Club within Tabora municipality on Wednesday. According to the Tabora Acting Regional Police Commander, Mr Daudi Siasi, the tragedy struck after the children suffocated within the club’s overheated poorly ventilated dance floor.
Tabora municipality is at the moment very hot with temperatures recorded at over 33 degrees Centigrade. The children who perished were aged between 7 and 15 years. Reports from Tabora say that the Uyui District Medical Officer, Dr Moses Makelele, lost two children in the tragedy. His wife passed away three weeks ago.
The National Social Security Fund (NSSF), owners of the building that houses the club, have also promised to give another 500,000/- to the families of each of the children that died in the tragedy and 100,000/- to the families of the injured children.
Tabora regional authorities have given each family of the deceased children 50,000/- and the go-ahead for them to bury their dead. Mr Siasi identified those who died in the incident as Veronica Manigu (7), Beatrice Makelele (14), Jacob Gerald (12), Salma Hamis (12), Khadija Waziri (13), Rehema Moto (14), Selemani Iddi (11), Mrisho Selemani (10), Abdallah Rehani (14) and Agatha Manigu (12).
Others are Paulina Emmanuel (11), Mohammed Kapaya (15), Ramla Yenga (15), Habiba Shabani (15), Donald Kasera (12), Mwanahamisi Waziri (11), Philipo Haule (11), Ashura Jacob (12) and Yasini Rashidi (11). Those injured are Msimu Rehani (14), Tatu Amani (15), Kulwa Iddi (12), Sakina Alli (10); the latter was discharged but later returned to hospital. Two of the casualties are in critical condition – Jumanne Abdullah (age not immediately established) and Naomi Joseph (13).
Labels:
Disco Deaths,
Disco Fire,
Tabora,
Toto Disco
Subscribe to:
Posts (Atom)