Showing posts with label Viongozi. Show all posts
Showing posts with label Viongozi. Show all posts

Sunday, June 15, 2014

Mh. Samuel Sitta Akutana na WaTanzania Cambridge, MA

Mh. Samuel Sitta akiwa nyumbani kwangu Cambridge, MA, USA
Siku ya jumamosi, 6/15/14 jioni, Mheshimiwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba na Waziri wa Afrika Mashariki​​, Mheshimiwa Samweli Sitta alikutana na baadhi ya viongozi wa Jumuiya za waTanzania wa New York na Massachusetts. Mkutano ulifanyika Cambridge, Massachusetts.  Katika mkutano huo Mh. Sitta aliongea kuhusu maswala ya Katiba na Uraia Pacha.  Pia aliongea kuhusu jinsi waTanzania wa diaspora watakavyoweza kusaidia kuijenga Tanzania. Mh. Sitta alikuwa Boston kwa ajili kozi fupi katika Chuo Kikuu cha Harvard.

Kwa picha na habari zaidi tembelea VIJIMAMBO BLOG. 


Kutoka Kushoto - Mr. Sangiwa, Mr. Temba, Dr. Malima, Mh. Sitta, Mr. Sangiwa, Mr. Tome, Mr. Mhellla, Chemi
Mh. Sitta akiwa mwingi wa furaha baadaya kuongea na WaTanzania mjini Cambridge, MA


Tuesday, April 02, 2013

Wito kwa Vijana Wote Watanzania: Zamu Yetu Kuliongoza Taifa Imefika - Kamota

Mr. Kilian Muya Kamota
Wito kwa Vijana Wote Watanzania: Zamu Yetu Kuliongoza Taifa Imefika


The Kilian Kamota’s Call to All Tanzanian Youth: Our Turn to Lead the Nation is Now.

By Kilian Muya Kamota

The task is ours, the Tanzanian youth, to decide the future and the fate of our Nation. Our fathers, the first generation of leaders, have done their part; they fought political colonialism and afforded us the political independence. The time has come for them to pass on the torch to us, so we can fight for socio-economic independence. We must show up, accept the torch and lead our Nation into new horizons. The future of Tanzania is in our hands – the Tanzanian youth. This is the task we cannot ignore; this is the task we cannot pass to someone else. It is our task, it is our duty. The question is what are we going to do about it? Are we going to show up for this noble task? Are we going to report for duty? Or are we going to let our Nation stray into wilderness and chaos without leadership? Are we going to decide the fate of our own future or are we going to let few politicians decide our fate and our future?

Our fathers – the first generation of leaders – have grown old. Their actions and leadership can attest to that. The time has come for them to pass on the torch and for us to take the realm. Let us help them retire in peace as we take over the noble task of leading our nation.

Letter to the First Generation of Leaders – Good Bye and Good Luck

On behalf of all Tanzanian youths’, i wish to express sincere gratitude to our fathers – the first generation of leaders – for all the hard work and dedication to our Nation. Your hard work and efforts is truly appreciated, it will not be forgotten and will not perish in vain. We will always cherish all that you were able [and not able] to achieve. And to that end, we want to wish you good health and good luck as you retire in peace. Please take on your new task of advising the new generation and


To Read more click here

http://kiliankamota.blogspot.com/2013/03/kilians-statement-of-purpose.html

Friday, May 28, 2010

Viongozi wa Afrika Part II

L-R Rais Siad Barre wa Somalia, Mwalimu na Rais wa FRELIMO Samora Machel. Baada ya Msumbiji kupata uhuru Machel alikuwa Rais wa nchi hiyo. Alifariki katika ajali ya ndege Afrika Kusini.
Nisaidie majina. L-R, Rais Kenneth Kaunda wa Zambia, ?, Rais Indira Gandhi wa India, Mwalimu, Rais Milton Obote wa Uganda, ?
Rais Mobutu Sese Seko wa Zaire (Congo), Rais Kaunda wa Zambia nyuma yake na Mwalimu
Mama Maria Nyerere, Dikteta Idi Amin Dada was Uganda na Mwalimu