Sunday, November 17, 2013

Makufuli ya Mboo - Si Utani

Wakina mama watafurahia hizo makufuli ya mboo.  Ambaye atazaiingiza barani Afrika atatajrika. Ume unafungwa, na mwanamke/mpenzi wako anakaa na ufunguo! Hivyo unapata ruksa kufanya mambo ukifunguliwa!  Dume ataweza kujisaidia haja ndogo, lakini ngono hapana mpaka afunguliwe. Mambo si ndo hayo!

Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!'  Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!

Makufuli ya Mboo Oyee!

***************************************

 Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:

4 comments:

Anonymous said...

Nitamnunulie mchumba wangu!

Anonymous said...

Mtume! Sivae ng'oo!

Anonymous said...

Kama hamuwezi kuaminiana basi tena. Kufuli kazi bure.

emu-three said...

Hii kali, ...