Showing posts with label Ngono. Show all posts
Showing posts with label Ngono. Show all posts

Saturday, July 29, 2017

Acheni Mchezo wa TIGO, Watu Wanajamba Ovyo Siku Hizi!



Wadau, juzi nilikuwa naongea na MBongo. Alikuwa analalamika kuhusu jinsi watu wanavyoshindwa kujikaza siku hizi na kuachia pumzi (kujamba)!

Nayoona ni hivi, Bongo mchezo wa TIGO ( Kufira/ Sodomy) umezidi!   Na nimekuwa nikisema siku nyingi mtaona athari za huo mchezo kuongezeka!

Kwanza, kwa vile ile sphincter ya mkundu/anus imelegea, mtu anashindwa kuzuia pumzi kutoka. Pia maji maji yanatoka, na inabidi avae nepi/pedi.  Halahala huyo akae kwenye kiti/cochi. Unashangaa kwa nini nzi wanaenda pale alipokaa huyo mtu!  Mnaona biashara ya nepi za wakubwa invyoshamiri huko Bongo?

Pili, Ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection) kwa wanawake na wanaume umeongezeka Bongo kwa vile, mchezo wa TIGO unasababisha uchafu kuingia kwenye ume na uke. Fikiria, dume anaingiza ume wake kwenye mkundu, lazima anapatwa na chembe chembe za mavi!  Na uchafu lazima unateremka kwenye uke wa mwanamke!

Nilishasema na ninawakumbusha, mungu aliumba mkundu/anus kwa ajili ya kunya. Yaani kutoa uchafu mwilini. Haikuumbwa kwa ajili ya kuingiza kitu! Ndo maana inalegea mchezo ukizidi.

Acehni mchezo huo chafu!Tumieni kondomu kwa usalama wenu!




Thursday, January 05, 2017

Aloanisha Kitanda katika Mapenzi

Kumbe staili zingine za ngono ni balaa!!!! 


Thursday, April 07, 2016

Saturday, November 07, 2015

Kizee wa Miaka 72 Aolewa na Kijana wa Miaka 22


Wadau, kijana wa miaka 22 kutoka Dominican Republic, amemwoa bi kizee tajiri wa kiMarekani mwenye miaka 72.  Ni mapenzi au.... labda kizee anapenda ngono anayopata kutoka kwa huyo kijana, na huyo kijana anataka hela ya huyo bi kizee na pia atapata makaratasi ya kukaa Marekani.  Haya tuwatakie maisha mema ya ndoa.

Saturday, October 24, 2015

"Magufuli Asipopita Sitombwi! "- Mshabiki wa CCM


Ushabiki wa Uchaguzi safari hii ni balaa! Watu watanyimnana uroda kweli mtu wao asipopitwa!

Saturday, February 21, 2015

Wanaume Wenye Mboo Ndogo Watafanya Sherehe Uingereza

Huko Uingereza kutakuwa na sherehe maalum kwa ajili ya wanaume wenye mboo ndogo.  Si utani, lakini wazungu wanajulikana kwa kuwa na mboo ndogo. Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Sherehe itafanyika mwezi ujao mjini London.

Bwana Ant Smith (48) anaandaa sherehe hiyo. Anasema mboo yake ikisimama inakuwa na urefu wa inchi 4 tu (sentimita 9).   Anataka wakatao hudhuria hiyo sherehe kujiona kuwa ni watu wa maana wasio na kasoro. 

Sherehe inaitwa, 'The Big Small Penis' party.  Ni kwa ajili ya kutiana motisha.  Wanaume wote wenye mboo ndogo wanaalikwa kuhudhuria. Kiingilio ni dola moja kwa kila inchi ya saizi ya mboo. kwa hiyo kama wewe ni inchi nne dola $4.


Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:



Wednesday, February 18, 2015

Kijana Mwenye Mboo Kubwa Afanyiwa Opresheni ya Kuipunguza

 Wadau, huko Florida kuna kijana, Mmarekani mweusi mwenye miaka 17 amefanyiwa opresheni ya kupunguza saizi ya mboo yake. Huo uboo ulikuwa na urefu wa inchi 7 na mzunguko wa inchi 10 ikiwa imelala!  Ikiamka ilikuwa inavuka futi na unene kama gogo! DUH! Madakatari walisema kuwa asingeweza kujamiana na mwanamke na mboo kubwa hivyo! Loh, wazungu wangepata habari zake mbona wangemlipa waijaribu! 

Madakatari wanasema kuwa kijana huyo aiomba ipunguzwe baada ya yeye kushindwa kuwmingia mpenzi wake. Pia, alikuwa anapata taabu akicheza michezo. Pia ilikuwa huo uboo kubwa ukisimama basi inasimama kwa masaa kadhaa! 

**************************************************

X-ray za Mboo Iliyopungwa

 Kutoka New York Daily News:

Florida teen undergoes world’s first penis reduction surgery: Study


The unidentified 17-year-old’s 'massive' phallus was 'too large for intercourse,' according to a report published in the Journal of Sexual Medicine. It was almost 7 inches long and had a circumference of 10 inches when flaccid.

 A Florida teenager has successfully undergone the world’s first penis reduction surgery, doctors at the University of South Florida claim.

The unidentified 17-year-old’s “massive” phallus was “too large for intercourse,” according to a report published in the Journal of Sexual Medicine.
Shaped like an American football, it was almost 7 inches long and had a circumference of 10 inches when flaccid.
“It sounds like a man’s dream — a tremendously inflated phallus — but unfortunately, although it was a generous length, its girth was just massive, especially around the middle,” Dr. Rafael Carrion, the urologist who treated the teen, told the Daily Mail.
The well-endowed patient, who “reported inability to penetrate his partner,” had asked for the operation after the shape of his penis also restricted his ability to play competitive sports, the study says.
“There comes a time in every urologist’s career that a patient makes a request so rare and impossible to comprehend that all training breaks down and leaves the physician speechless,” Carrion reportedly said.
Since he was 10, the teen, who has a history of sickle cell disease, had three episodes of priapism — a medical condition in which the penis stays erect for hours — that “progressively” led to his penis deformity, surgeons said in the report.
Doctors were able to make it symmetrical.
USF did not return calls for comment, and Carrion could not immediately be reached.
The average length and circumference of a penis is about 13 and 9 centimeters, respectively, according to the study.
 

 

Sunday, January 25, 2015

Mwanaume Ajifanya Mwanamke Ili Apate Kazi Dar

 Kutoka Facebook

 
LAHAULA UMEISIKIA HII??? Katika hali isiyo ya kawaida kijana mmoja mwenye jina la Naftaeli Mbowe ameibua mapya jijini Daresalam. Kijana huyu ambaye ni graduate wa sociology katika moja ya vyuo hapa nchini alimaliza chuo mwaka 2011 na kufaulu vizuri sana. Kutokana na maisha ya kuiga akiwa chuoni alijitumbukiza kwenye siasa na kujidai ni mwanaharakati wa chadema hivyo kutokana na uwezo wake darasani aliweza kujenga hoja zilizomfanya akajulikana na uongozi wa juu wa CDM.

Alipomaliza chuo kijana huyu alichukuliwa na viongozi hawa wa ufipani kwa ahadi kuwa aendelee kukisaidia chama ambapo alipangwa kwenye department ya matusi mtandaoni kwa ujira wa kulipiwa chumba jijini daresalam na kulipwa shilingi laki moja kama posho ya mwezi. Chakula na vinywaji walikuwa wanapata kwenye getho walilopangiwa mtaa wa kimara Bucha. Kijana huyu amekuwa akifanya kazi hiyo kwa muda mrefu na yupo humu humu kundini kwa jina bandia. Kutokana na chama kufilisika siku za hivi karibuni kwa kuendekeza kesi za kupinga kila jambo la serikali na safari za viongozi zisizokuwa na tija vijana hawa walitelekezwa.

Kijana huyu toka mwaka 2013 amekuwa akisota mtaani bila mafanikio yoyote ndipo alipoamua kujibadilisha jinsia kwa kuvaa nguo za kike na kusuka rasta ili aombe kazi za uhasegirl na azma yake hii ilitimia. Aliajiriwa na mama mmoja asiyekuwa na mume maeneo ya ubungo msewe na hakuweza kumshtukia kwa muda wa miezi miwili kwani aliishi kwa umakini mkubwa sana. Juzi ijumaa limemtokea la kumtokea baada ya mtoto wa kiume wa mwenye nyumba kwenda kumpiga chabo akioga ili afaidi kuona maumbile ya beki tatu huyo.

Alishangazwa na alichokiona ikabidi amkasirikie mama yake sana kwa kumleta mwanamme ndani ya nyumba yao huku akisingizia ni mwanamke. Gadhabu zilimpanda zaidi kwa kuwa njemba hilo lilikuwa likilala na dada yake ndipo njama za kumuumbua bila mama yake kujua ziliposukwa.Alipotumwa sokoni mtoto wa mama wa kazi ambaye ni wa kiume aliamua kufuatilia nyuma ili kumuumbua, huku akiwa na wenzanke walimsimamisha na kumshushia kipigo cha maana ndipo alipoelezea kisa kizima.

Vijana wa chadema mliopo kwenye magetho mbali mbali okokeni sasa njooni ccm. mtaumbuka mjini hapa.

Friday, November 21, 2014

Amsulubu Aliyemwibia Mume Wake!



Wadau, hii kali! Wanawake wote wangesulubu wanaowaibia wanaume wao hivyo, wizi huo ungepungua sana!

Saturday, June 07, 2014

Bi KIzee Mwenye Miaka 91 Asema Ngono Bado Ni Tamu na Mpenzi Wake Kijana!



Kyle Jones (31) na mpenzi wake Majorie McCool

Duh! Wadau, kuna Bi Kizee mwenye miaka 91 huko Pennsylvania anayesema kuwa yeye na mpenzi wake mwenye miaka 31wanafanya mapenzi kila mara na ni tamu mno!  Huyo Bi Kizee anasema kuwa ingawa wamepishana miaka 60 wanapendana kama vijana wadogo! Wanafanya mapenzi kila wakipata nafasi!

Huyo kijana Kyle Jones, anasema kuwa yeye anapenda sana wazee na hajawahi kuwa na mpenzi kijana. Mpenzi wake wa kwanaza alpokuwa na miaka 18 alikuwa na miaka 50. Kijana anasema anapenda sana kuona ngozi iliyosinyaa (wrinkled).  Huyo Bi Kizee mwenye wajukuu wenye umri mkubwa kuliko mpenzi wake anasema kuwa anaona wivu akimwona akiongea na mwanamke mwingine.

Kwa vile wanasema kuwa ngono unakufanya uonekane kijana, basi huenda huyo bibi akaiishi miaka 20 zaidi. Hongera zao!

Kusoma Habari Kamili BOFYA HAPA:

Pennsylvania, USA: Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time and says: "I like the neck lines and wrinkles". An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a relationship with a 91-year-old great grandmother. Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old mother. For the last five years he has been in a casual relationship with 91-year-old Marjorie McCool. And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and can’t keep their hands off each other. Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Pennsylvania, USA: Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time and says: "I like the neck lines and wrinkles". An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a relationship with a 91-year-old great grandmother. Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old mother. For the last five years he has been in a casual relationship with 91-year-old Marjorie McCool. And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and can’t keep their hands off each other. Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Pennsylvania, USA: Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time and says: "I like the neck lines and wrinkles". An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a relationship with a 91-year-old great grandmother. Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old mother. For the last five years he has been in a casual relationship with 91-year-old Marjorie McCool. And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and can’t keep their hands off each other. Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life

Sunday, June 01, 2014

Ugonjwa wa Akili Unazidi Wanaume Wakamatwa Wakifanya Mapenzi na Mbuzi!

Sijui ni nyege mwasho! Hivi inakuwaje mwanaume anafanya ngono na mnyama! Yaani mnaingiza nyeti zenu kwenye kidudu cha mnyama! Halafu baada unadiriki kufanya ngono na bindamu mwenzio! Khaa! Hamwogopi magonjwa? Ugonjwa wa Kaswende ulitokana na midume kufanya ngono na ng'amia!  Na wanasema UKIMWI unatokana a wanuma kufanya ngono na nyani!


Hii ilitokea KENYA. Kwa habari zai tukio hii BOFYA HAPA


Haya mwingine huyo mwaka jana! Alipigwa kichapo kikali!

Kusoma habari za tukio hii BOFYA HAPA
Mwingine huyo kakamatwa Dar es Salaam

Kusoma habari za tukio hii BOFYA HAPA
Na mwingine babati alimgeuza Mbuzi kuwa mke wake!  Soma habari kamili kwa kuBOYFA HAPA:

Saturday, May 17, 2014

Boko Haram waingia Bongo -Utani

Acheni visingizio!!!!! Hakuna Boko Haram Tanzania!

Sunday, May 11, 2014

Afya ya Vijana Leo ni Mbaya Ukilinganisha na Yetu Zamani



Na Freddy Macha



Kwa ufupi:
Desturi ya kula inayozagaa nchini kote hususan majiani ni ile iitwayo ‘fast food’ huku Majuu. Ilianzia Marekani.

Tumalizie mada yetu leo iliyoanza wiki tatu zilizopita.
Kitakwimu idadi ya vijana Tanzania ni kubwa zaidi ya wazee, nchi zilizoendelea walipitisha miaka 70 ni wengi sababu ya ubora wa maisha. Lakini hapo hapo Uzunguni yapo ‘mabaya’ yanayostahili kuangaliwa.
Azma ya kutamani ‘maendeleo ya haraka haraka’ bila simile imeanza kuchangia aina ya maradhi ya kisasa. Zamani kisukari, ugonjwa wa moyo au kupoteza nguvu za mapenzi yalikuwa magonjwa ya wazee, walakin leo yanawakaba na kuwasepetua vijana.
Katika makala mbili zilizopita tumejadili namna taratibu nzima ya maisha, siasa- uchumi, elimu na utambuzi yanavyochangia adha hii. Mathalani kama hulali saa nane kwa siku, unaharibu akili, sura, tabia na afya yako.
Kipindi cha miaka 30 iliyopita. kumekuwa na tatizo la Wazungu, hata weusi waliozaliwa huku Majuu, kupungukiwa mbegu za uzazi. Ndoa nyingi zinavunjika. Tatizo hili linaloitwa “low sperm count” au kwa wanawake ‘infertility problems’, limefanyiwa utafiti sana. Mathalan nchini Marekani, imethibitishwa kuwa kutozaa husababishwa na udhaifu wa mayai ukihusisha wote, wanawake na wanaume. Asilimia 30 wanaume na asilimia 30 wanawake wana tatizo hilo.
Sababu zilizotolewa ni pamoja na kurithi hali hiyo, kutokula vyakula asilia, maradhi ya zinaa, uchovu kutokana na kazi na maisha ya kasi sana (“stress”). Tatizo hili lilifikia kilele miaka ya 1980 ambapo wenyeji walipendelea zaidi ndoa na sisi tunaotoka nchi za joto au zinazoendelea.
Kwa nini?
Aina ya maisha (Afrika, Asia na Marekani ya Kusini) ni tofauti na ya Uzunguni. Joto, kutokimbiakimbia ovyo (“stress”), vyakula na hewa safi asilia isiyoathiriwa na moshi, pia mashine za kisasa ni baadhi ya mambo yaliyochangia mbegu, haiba na tabia zetu kimapenzi kuwa bora.
Hivi sasa Wazungu wamegundua kula vyakula asilia (“organic food”) na kufanya mazoezi hustawisha siha ya mapenzi na ngono. Miaka 15 iliyopita vuguvugu la maisha ya siha, limetanda kiasi ambacho maduka yamejazana vyakula asilia vinavyonunuliwa nchi maskini. Mathalan hivi karibuni nilikuwa nakwenda duka moja hapa London kununua nyama ya nyati wa Zimbabwe.
Kwa nini Wazungu wanalipia zaidi vyakula asilia ?
Hapo! Wamegundua njia waliyokuwa wakiipitia baada ya maendeleo ya mashine yaliyoanza karne ya 18 na kufikia kilele karne ya 20 inawaharibia afya na maisha. Sisi tumejaza vitu hivyo, lakini hatuvithamini.
Mwaka 1976 wakati nilipoanza kazi Gazeti la Uhuru, tulikuwa tukila katika vibanda na magenge ya Mama Ntilie. Enzi hizo ubwabwa kwa maharage na ndizi mbivu vilikuwa sehemu mahsusi ya mlo wa mchana. Mwisho wa juma tulipotoka dansini au disko, kando ya barabara yalikaangwa mayai (macho ya ng’ombe) kwa nyanya na vitunguu.


Nilikuwa na rafiki yangu mwanahabari (marehemu) mpigapicha, Awadh Shebe, akiishi Kariakoo. Kila mchana siku za Jumamosi tuliingia Mnazi Mmoja kupata “fruti” yaani bilauri za mseto wa matunda. Leo kinachotiliwa mkazo ni vinywaji vya “kisasa” kama Cocacola, Mirinda kwa “chips” kavu baada ya kazi. Mafuta ya hizo “chips” huwa yameshapikia hata wiki nzima bila kubadilishwa. Sawa kweli?
Desturi ya kula inayozagaa nchini kote hususan majiani ni ile iitwayo ‘fast food’ huku Majuu. Ilianzia Marekani.
Huko ndiko walikojenga maduka na migahawa maarufu ya MacDonalds. Wamarekani haohao wanasemwa hawajui kupika, hawali vyakula asilia. Wanakumbwa na maradhi ya unene na moyo. Haya ndiyo mambo yanayoingia kwetu Afrika. Tena kwa haraka sana.
Je, wangapi leo tunapika nyumbani?
Ni vijana wangapi wanajua kupika msosi ukalika?
Tunakimbilia nyama na ndizi choma tu. Kula nyama choma siyo vibaya hata kidogo. Ubaya imegeuzwa chakula kikuu. Waafrika tunapenda nyama. Twazila kila siku. Nyama nzuri ndiyo. Lakini yanatuponza. Afrika Magharibi na ya Kati wamefikia kula nyama mwitu : panya, nyani na popo! Matokeo ndiyo hiyo Ebola inayoangamiza watu Guinea sasa hivi.
La pili ni ulevi.
Wiki ya jana vyombo vya habari Uzunguni vilitangaza matokeo ya utafiti wa Shirika la ‘Slimming World’ linaloangalia matatizo ya unene kwa walevi 2,000, hapa Uingereza. Kawaida mwanaume anatakiwa asizidishe bia tatu kwa siku, yaani kipimo cha vitengo (“units”), kumi. Ikizidi, mwili hubadilika na kuharibika. Wanawake wanashauriwa vitengo vinane, yaani glasi 2 za mvinyo kama bia mbili. Ulevi unapokiuka vitengo hivyo, mtu hutaka kula zaidi.
Utafiti ulisema, tabia ya kilevi ni kutaka kula ‘chochote kile’ kiwe kibaya au kizuri, kujaza tumbo baada ya kulewa.
Matokeo ni nini? Kutapika, vitambi, ushuzi, unene, harufu mbaya ya mdomo na mwili na mambo kama hayo.
Utafiti wa pili ulichunguza wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 60. Ukadadavua kuwa kadri umri unavyokwenda, ndivyo ubongo husinyaa na kupungua uwezo, hii husababisha kusahau, kutofanya mambo sawasawa-yaani ‘dementia’ kwa lugha ya kitaalamu. Utafiti ukashauri kuwa, mazoezi ya viungo kama kutembea (dakika 20 hadi 45 kwa siku), kuogelea, kukimbia na kadhalika kwa watu wa makamo kuimarisha bongo zetu.
Je, yanaathiri vipi vijana?
Vijana leo, (Uzunguni na nyumbani) wanaonyesha dalili za kuwa na matatizo yanayostahili kuwapata wazee. Kwa kuwa bangi ni rahisi kupandisha nishai kuliko pombe (aghali) vijana huanza kuivuta wakiwa wadogo sana. Bangi na dawa za kulevya, humfanya mtumiaji kutojali wakati, kujisikia mzito, mvivu na mwenye usingizi, moyo kukimbia na kadhalika. Bangi inasababisha pia maradhi ya akili (‘schizophrenia’). Ukishazoea sana bangi unakuwa sugu; unataka “kali zaidi.” Unatafuta (‘cocaine’), sindano za ‘heroin’, na kadhalika. Ushetani huu huathiri mzunguko wa damu, jambo linalochangia kupungua nguvu za kufanya mapenzi.
Mwisho, tuangalie ulimbukeni.
Neno hili limetokana na “limbua” au “kulimbuka” yaani mara ya kwanza, kama ua linalochanua. Ulimbukeni ulioenea Tanzania na Afrika unatokana na azma ya kujaribu kupambana na hali duni ya maisha. Kijana anayekua sasa hivi anahitaji uongozi thabiti. Je, ikiwa uongozi bora haupo tutafanyaje? Itabidi tuyakubali maneno ya mwanamuziki wa Kispanyola Manu Chao aliyefanya mahojiano hapa London mwaka 2007 akadai: “Hatuhitaji viongozi. Kila mmoja wetu ahitaji kuwa kiongozi.” Siyo kuvuta bangi na ushetani. Siyo kuwa wavivu. Bali kujituma. Kujielewa sisi nani. Kuipenda nchi yetu; kuipigania. Kujisomea na kujipenda zaidi.

Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

Monday, February 10, 2014

Hospitali Maalum Kwa Ajili ya Wanawake Walikeketwa Inafunguliwa!

Hii hospitali itasaidia wanawake waliokatwa Kisimi yaani Tohara!  Kuna kabila mabazo ambazo wanazikata ili ashki ya mwanamke ipungue.  lakini inaleta matatizo wakato wa uzazi.

*************************************
PRESS RELEASE
 
World's 1st Clitoral Repair Hospital for FGM Victims to Open in West Africa on March 7
 
Chantal Compaore, First Lady of Burkina Faso, will preside at the ceremony
 
OUAGADOUGOU, Burkina-Faso, February 10, 2014 -- The world’s first clitoral repair hospital for victims of female genital mutilation (FGM), located in Bobo-Dioulasso, Burkina Faso, will open on March 7, according to a statement released today by the U.S.-based, nonprofit organization Clitoraid (http://www.clitoraid.org). Chantal Compaore, First Lady of Burkina Faso, will preside at the ceremony.
 
 
 
Photo 1: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/kamkaso.jpg (The world’s first clitoral repair hospital for victims of female genital mutilation (FGM), located in Bobo-Dioulasso, Burkina Faso, will open on March 7)
 
Photo 2: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/nadine-gary.jpg (Clitoraid Communications Director Nadine Gary)
 
Photo 3: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/marci-bowers-md.jpg (Dr. Marci Bowers, M.D., and Dr. Harold Henning Jr., M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it)
 
Photo 4: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/harold-henning-md.jpg (Dr. Harold Henning Jr., M.D., and Dr. Marci Bowers, M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it)
 
The hospital was built with donated funds and through the efforts of worldwide volunteers.
 
“Having Chantal Compaore's support and presence on March 7 is such a wonderful way to celebrate this opening!” said Clitoraid Communications Director Nadine Gary. “She has been a steadfast voice against the horrors of FGM, and we’re honored that she will be there.”
 
Gary said hundreds of women are already on Clitoraid’s waiting list to have the surgery, which will be free for any woman who wants it.
 
“Their wait is almost over,” Gary said. She said the new facility, called “the Kamkaso,” which means “the house for women,” has been nicknamed “the Pleasure Hospital,” since the surgery “will restore their dignity as women as well as their ability to experience physical pleasure, which was taken from them against their will.”
 
Gary went on to explain how the idea of the hospital came about.
 
“After spiritual leader Maitreya Rael heard about a clitoral repair procedure developed by Dr. Pierre Foldes in France, he launched Clitoraid and the idea of building clinics that offer free surgery for FGM victims. After the United Nations adopted a resolution banning FGM, there’s been universal agreement that it’s a violation of human rights and the integrity of individuals. And eliminating FGM  is essential for women’s health, so governments must keep passing laws against it. But Rael realized that it’s also important to repair the damage already caused to living victims. This hospital is the result of his vision.”
 
Gary said Clitoraid volunteer surgeons from the United States, Dr. Marci Bowers, M.D., and Dr. Harold Henning Jr., M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it.
 
“The goal is to help as many victims as possible have this surgery, which will also help discourage the barbaric practice of FGM,” Gary said.  “When its effects can be surgically reversed for free, what would be the point?”
 
Distributed by APO (African Press Organization) on behalf of Clitoraid.
 

Thursday, November 28, 2013

Mzee wa Miaka 77 allitaka Kufanya Ngono na Mtoto wa Miaka 7!

Kuna wazungu wazee wanaopenda kufanya ngono na watoto. Wanasafiri kwenda nchi za nje kama Thailand na India na kubaka watoto huko.  Huyo Mzee David Herman mwenye miaka 77 aliwahi kuwa mtangazaji maarufu alitaka kufanya ngono na mtoto wa miaka 7. Alifanya mpango na kuwanunulia mama mtoto na mtoto tiketi za ndege ili wakutane kwenye hoteli Virgin Islands. Kumbe mtoto alikuwa ni polisi anayejifanya mtoto!  SHENZI ZAKE! HIZO NYEGE ZA AJABU ZIKOME!

******************************************

By DAVID PORTER
Associated Press
   NEWARK, N.J. (AP) - A tearful former New York City radio personality made his first appearance in federal court Wednesday, five weeks after he was arrested in the U.S. Virgin Islands and charged with trying to arrange to have sex with a 7-year-old girl.
Mzee David Herman (77)

   David Herman didn't enter a plea before U.S. Magistrate Mark Falk and will remain jailed pending a hearing to determine whether he will be released on bail while he awaits trial. Herman was caught in a sting operation, and his attorney said investigators pushed his client into implicating himself.

   Herman believed he was communicating with a 36-year-old single mother with a young daughter, and tried in multiple telephone and online conversations to arrange illegal sexual encounters with the child in New York and New Jersey, investigators said. At one point he allegedly indicated he wanted to fly the pair to St. Croix so he could engage in sexual activity with the child there. The woman was actually an undercover officer employed by Bergen County, and the child was fictional.

   Herman purchased airline tickets for the pair to fly from LaGuardia airport to St. Croix, according to prosecutors. He arrived at the airport on Oct. 24 to pick them up, according to the U.S. attorney's office, but was instead arrested by special agents of U.S. Homeland Security and Immigration and Customs Enforcement.

   Herman's attorney, Marc Agnifilo, said Herman only engaged in banter about the child because he was interested in the 36-year-old, and that the woman, not Herman, initiated conversations about the child.

   "There was an attempt by the investigator to get him to say things on tape to implicate himself," he said.

   Herman was a well-known disc jockey at FM radio station WNEW in New York. Agnifilo said Herman suffers from emphysema and before his arrest was "just happy that a 36-year-old woman wanted to come to St. Croix to see him."

   He acknowledged the undercover officer came across Herman in a chat room "that dealt mostly with incest."

   Herman has been in custody since his arrest and arrived in New Jersey on Tuesday, according to the U.S. attorney's office.

   The 77-year-old walked into court in handcuffs and yellow prison garb. He spoke during the hearing only to say that he understood his rights, and he appeared to be crying when he looked out into the gallery.

   Assistant U.S. Attorney Francisco Navarro told the judge Wednesday that the government would oppose bail and called Herman "a severe danger to the community."

   Herman is charged with attempting to transport a minor in interstate commerce with the intent of engaging in illegal sexual activity. If convicted, he could face life in prison and would have to serve a mandatory 10-year minimum sentence, a U.S. attorney's office spokeswoman said.

Sunday, November 17, 2013

Makufuli ya Mboo - Si Utani

Wakina mama watafurahia hizo makufuli ya mboo.  Ambaye atazaiingiza barani Afrika atatajrika. Ume unafungwa, na mwanamke/mpenzi wako anakaa na ufunguo! Hivyo unapata ruksa kufanya mambo ukifunguliwa!  Dume ataweza kujisaidia haja ndogo, lakini ngono hapana mpaka afunguliwe. Mambo si ndo hayo!

Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!'  Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!

Makufuli ya Mboo Oyee!

***************************************

 Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:

Monday, October 14, 2013

Midume Haitosheki!

Hivi, kwa nini midume haitosheki kwa ngono hata ikizeeka? Babu inaona nyuma lakini inataka kuona mbele pia! Khaa!

Monday, October 07, 2013

Huyo Dada Anaomba Ushauri Wenu - Mazito

Nimepokea kwa E-mail:

 "Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.

So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."

 

Sunday, July 07, 2013

Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!

 Nimepokea kwa E-Mail:

Na Mdau A.R.

Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoa
Siku moja akapewa pesa laki moja akimwambia atafute usafiri na maekezo kwa wakutane hoteli fulani kuna kazi anataka wafanye mahali tulivu.
Kijana alijua mambo ya kiofisi, kachukua usafiri hadi kaenda kule hotelini; kufika kamkuta mama akimsubiri mapokezi, akampokea na kumeleka chumbani, kijana na laptop yake hajui hili na lile.
Mama kakaa, kitandani kijana kwenye kochi, mama yule bosi akaanza kusimulia matatizo ya mumewe, kwamba yupo busy na mambo ya biashara ampi tunda.  Kijana pamoja na kwamba hajaoa, akaanza kumpa shule jinsi ya kumfanya mmewe ampe atakacho, kabla ya kijana kumaliza maelezo yake yule mama akamwambia hata hamwelewi anamwambia nini maana anajisikia hamu sana ya kufanya ni muda mrefu.
Yule kijana kwa hofu akasema ngoja nikimbie pale famasi labda kuna dawa za kutuliza hamu nikuchukulie umeze; mama akasema hataki dawa, mara akaingia chooni maana chumba alichokua kilikuwa na choo ndani.
Alipotoka huko alikuja mtu nguo zote kaacha huko chooni, kijana akataka kutoka nduki, mama akamdaka na kumrusha kitandani huku huku akimpa ishara ya kutokupiga kelele, kammkwangua sruali na ile kitu ya Ludoviki, kijana naye akapa hamu, wakacheza. Walipomaliza mama akampa yule kijana miloni moja na kumwambia asante sana kwa kazi nzuri
Asubuhi ofisini kijana anaona aibu hata kumwangalia lakini mama hajari hata kidogo, siku tatu baada ya ile kapewa laki tena na maelekezo ya kwenda kule hotelini, kijana katii amri ya bosi na kwenda hotelini kutoa dozi
SASA yamekua mazoea lakini si mapenzi maana anapewa aamri. sasa anahisi bosi mkubwa (mme) kajua sasa anataka kuacha kazi maana mkubwa anamuogopa sana. sasa aniomba ushauri nami sina, mwenye uzoefu katika haya anisaidie nimuokoe maana kuacha kazi na kuja kupata nyingine kasheshe