Wadau, hii kali! Wanawake wote wangesulubu wanaowaibia wanaume wao hivyo, wizi huo ungepungua sana!
Showing posts with label Adultery. Show all posts
Showing posts with label Adultery. Show all posts
Friday, November 21, 2014
Amsulubu Aliyemwibia Mume Wake!
Wadau, hii kali! Wanawake wote wangesulubu wanaowaibia wanaume wao hivyo, wizi huo ungepungua sana!
Sunday, November 17, 2013
Makufuli ya Mboo - Si Utani
Wakina mama watafurahia hizo makufuli ya mboo. Ambaye atazaiingiza barani Afrika atatajrika. Ume unafungwa, na mwanamke/mpenzi wako anakaa na ufunguo! Hivyo unapata ruksa kufanya mambo ukifunguliwa! Dume ataweza kujisaidia haja ndogo, lakini ngono hapana mpaka afunguliwe. Mambo si ndo hayo!
Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!' Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!
Makufuli ya Mboo Oyee!
***************************************
Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!' Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!
Makufuli ya Mboo Oyee!
***************************************
Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:
Monday, October 07, 2013
Huyo Dada Anaomba Ushauri Wenu - Mazito
Nimepokea kwa E-mail:
"Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.
So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."
"Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.
So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."

Labels:
Adultery,
Mapenzi,
Ngono,
Sugar Daddy,
Wapenzi
Sunday, July 07, 2013
Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!
Nimepokea kwa E-Mail:
Na Mdau A.R.
Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoaWednesday, May 15, 2013
Uke Yapotea Baada Ya Kufanya Mapenzi na Mwanaume Aliyeoa Kenya
Duh! Hii kali, huyo mganga wa kienyeji Kenya ana dawa kali sana.
Kuna dada fulani kutoka Ukambani, Kenya mwenye miaka 29. Alikuwa na mazoea ya kutembea na wanaume wa watu. Mke wa jamaa fulani kamwonya huyo dada kuwa ataathirika vibaya akiendelea kutmbea na mume wake. Yule dada hakusikia na badala yake kaendelea kutembea na jamaa. Basi wiki hii baada ya kufanya kitendo na yule jamaa aliamka kwenda kukojoa (haja ndogo)....Akakuta uke/kuma yakeimezibwa kabisa! Baada ya yule dada kuomba msamaha kwa yule mama, waliondoa ile dawa.
Hii dawa inafaa sana! Mganga huyo atatajirika!
Kwa habari kamili BOFYA HAPA:
Thursday, May 02, 2013
Nyege Mwasho za Padri Urbanus Ngowi
![]() |
Father Urbanus Ngowi Phooto from Catholicweb.com |
Father Urbanus Ngowi afumaniwa na Mke wa Mtu akivunja amri 10 Mjini Moshi
KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lina sakata zima.
Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.
Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe (jina tunalo) alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.
Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.
“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”
AWEKWA KITIMOTO
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.
Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.
Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake!
SIKU ZA NYUMA
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.
Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.
Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.
IJUMAA WIKIENDA NA FATHER NGOWI SASA
Baada ya kujazwa madai hayo, kama ilivyo desturi ya Magazeti ya Global Publishers likiwemo hili (Ijumaa Wikienda), lilimsaka Father Ngowi kwa udi na uvumba ambapo Ijumaa iliyopita nyakati za mchana lilifanikiwa kuzungumza naye lakini kabla ya kufanya hivyo, kifaa cha kunasia sauti kiliwekwa sawa na mambo yalikuwa hivi:
Wikienda: Haloo, naongea na Father Ngowi wa Parokia ya Korongoni, Marangu, Moshi?
Father Ngowi: Naam ni mimi, nani mwenzangu?
Wikienda: Naitwa…(mhariri anataja jina), napiga simu kutoka Magazeti ya Global Publishers.
Father Ngowi: Uko wapi?
Wikienda: Makao Makuu ya Global Publishers, Dar es Salaam.
Father Ngowi: Eeh…unasemaje?
Wikienda: Kuna madai ya wewe kukutwa na mke wa mtu chumbani. Je, unaweza kunielezea kama ni kweli na tukio lilikuwaje?
Father Ngowi: Siyo mimi.
Wikienda: Wewe siyo Father Urbanus Ngowi?
Father Ngowi: Nimekwambia siyo mimi, hao ni matapeli wanataka pesa ndiyo wametengeneza hizo picha.
Wikienda: Kwa hiyo unataka kuniambia hizi picha ni za kutengeneza?
Father Ngowi: Nimekwambia hao ni matapeli wanataka pesa.
Wikienda: Ulishaziona picha zenyewe?
Father Ngowi: Sijui.
NGOMA YATUPWA KWA MKUU WA JIMBO
Wikienda: Mbona tayari tukio hilo linadaiwa limeshafika kwenye ngazi ya jimbo, Moshi kwa Father Paul Uria?
Father Ngowi: Muulize yeye ndiye mkubwa wangu.
Wikienda: Basi nisaidie namba yake ya simu ya mkononi.
Baada ya takribani dakika 10, Father Ngowi alituma namba ya simu ya Father Uria na mambo yakawa hivi:
Wikienda (huku kinasa sauti kikiendelea kufanya kazi): Haloo…naitwa …(mhariri anajitambulisha) kutoka Magazeti ya Global Publishers, Dar es Salaam, naongea na Mkuu wa Jimbo Kanisa Katoliki, Moshi, Father Uria?
Father Uria (kwa sauti yenye unyenyekevu): Ndiyo.
Wikienda: Una taarifa za mtumishi wako, Father Ngowi kunaswa na mke wa mtu chumbani?
Father Uria: Kwanza mimi si mkuu wa jimbo, ni mwakilishi wa mkuu wa jimbo. Sipo mjini kwa sasa nipo Kilema huku vijijini kwenye huduma lakini nilikuta ‘missed calls’ zake jana (Alhamisi) kwani ilikuwa tukutane kwa sababu alishanijulisha kuwa kuna tukio kama hilo unaloniambia wewe.
NGOMA YAWA NZITO, YATUPWA LEO JUMATATU
“Kweli tulikuwa tukae jana lakini ikashindikana, leo (Ijumaa) ni sikukuu (Muungano), kesho (Jumamosi) na keshokutwa (Jumapili) ni wikiendi. Kwa hiyo tutakaa Jumatatu (leo) hivyo nipigie saa 10:00 jioni siku hiyo ili nikupe maagizo tutakayofikia na mengine.
Wikienda: Lakini Father Ngowi alikueleza tukio lilikuwaje?
Father Uria: Nimekwambia tukikaa ndiyo tutajua kilichotokea. Wewe nipigie hiyo saa 10 nikupe kitakachojiri.
Wikienda: Shukrani Father Uria kwa ushirikiano.
CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS
Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya Kufumaniwa! |
Monday, April 29, 2013
Padri MKatoliki Afumaniwa na Mke wa Mtu!
***********************************
Kutoka Global Publishers:
KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia ,katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu

Father Ngowi akiwa ameduwaa baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.
Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.

Father Ngowi akijaribu kuomba samahani baada ya kufumaniwa.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.
Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.
“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”

Father Ngowi na Mama P wakivaa nguo zao kwa aibu baada ya kufumaniwa.
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.
Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.
Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani

Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya tukio hilo.
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.
Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.
Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.

poleni sana mtakao ghafilika ni taarifa tu wandugu.myie wanaume mnamuona mwenzenu? itikadi za kidini weka pembeni tuzungumze fumanizi!
************************************************************************
![]() |
Father Urbanus Ngowi photo from Catholicweb.com |
Father Urbanus Ngowi
http://home.catholicweb.com/moshidiocese/index.cfm/NewsItem?ID=201906&From=Home
Labels:
Adultery,
Catholic,
Father Urbanus Ngowi,
Global Publishers,
Ngono. Kufumaniwa,
Nyege,
Sex,
Ugooni
Friday, September 14, 2012
Waziri Mkuu wa Zimbabwe Anataka Kuoa Lakini Wapenzi wa Nje Waleta Kasheshe!
Mbavu sina! Ndo faida ya midume kuwa na wanawake wengi! Eti kuwa na mabibi wengi ndo udume. Hebu koma!
*******************************************
Kutoka Reuters:
..Second woman seeks to block Zimbabwe PM's wedding
....HARARE (Reuters) - Zimbabwean Prime Minister Morgan Tsvangirai's plan to get married this weekend faced a second legal challenge on Thursday from another woman who said she was romantically involved with him, fuelling a scandal that has already hurt his reputation.
The dispute has handed long-serving President Robert Mugabe political ammunition as he seeks to extend his three-decade rule in an election expected within a year since Tsvangirai is his main rival.
On Thursday, Nosipho Regina Shilubane, a South African woman, lodged a legal challenge to try to block the premier's wedding, the day after the High Court threw out an application by another former lover to halt the ceremony.
In papers filed at a magistrates court she said she was engaged to Tsvangirai after being introduced to him by her church pastor at a hotel in South Africa in September 2009.
Shilubane, who did not appear in court, said Tsvangirai had taken her on holiday to Singapore, the Seychelles and Botswana and that the two were "still engaged to be married".
Tsvangirai's colorful private life has come under scrutiny since the death of his wife Susan in a car crash in 2009, with local media reveling in stories of his relationships with numerous women.
The other woman keen to halt the wedding - Locardia Karimatsenga - is appealing a judge's decision to reject her challenge to Tsvangirai's marriage to fiancee Elizabeth Macheka.
If the wedding were blocked it would be a major embarrassment for Tsvangirai, who had been expected to invite Mugabe, his political partner in a fractious coalition formed after a disputed 2008 election, as well as some foreign leaders to the ceremony.
While 88-year-old Mugabe has been criticized for turning what was once one of Africa's strongest economies into a basket case, Tsvangirai is now being publicly questioned over his dealings with women and money.
(Reporting by MacDonald Dzirutwe; Editing by Andrew Osborn)...
*************************************************
Uhusiano wa PM Tsvangirai na MSouth Africa Nosipho Regina Shilubane
PM Tsvangirai na Nosipho Regina Shilubane Wakiwa kwenye Cruise
Kutoka Bulawayo 24 News
Zimbabwe State Media reports that Prime Minister Morgan Tsvangirai's wedding to Elizabeth Macheka remains doubtful following the filing of another urgent application at the magistrates' court by a South African woman who is claiming to be legally engaged to marry Tsvangirai.
Nosipho Regina Shilubane filed the urgent application objecting to the pending wedding ceremony between Tsvangirai and Macheka in terms of Section 19 of the Marriages Act Chapter 5:11, through her lawyer Wellington Pasipanodya, a senior partner at Manase and Manase law firm according to the State media.
Pasipanodya filed the papers before regional magistrate Munamato Mutevedzi and said his client is aggrieved that Mr Tsvangirai intends to marry without her knowledge and without finishing outstanding lobola negotiations with her family.
In part, Ms Shilubane contends she was introduced to Tsvangirai by her pastor, Mr Lazurus Muriritirwa of the Gospel Assembly Church on the 5th of September 2009 in Johannesburg at Monte Casino shopping complex.
Thereafter, a relationship blossomed between the two after Tsvangirai told the applicant he was a widower who was looking for a bride to marry and the pastor had said she was a suitable candidate.
Shilubane further argues that she visited Zimbabwe between the 18th and 20 of September in 2009 staying at her pastor's house in Borrowdale.
Tsvangirai is said to have relocated Shilubane from Yeoville to an upmarket apartment near Sandton Buccleuh, following which they went for a holiday in the Seychelles between 28 of December and 10 January 2010.
On the 19th of December, Shilubane alleges Tsvangirai asked her to follow him to Gaborone in Botswana, saying he was distressed. She followed and they stayed together in his hotel.
On the 27th of December 2010, they went together for another love cruise holiday in Singapore for two weeks up to early 2011, on a yacht called the Legend of The Seas.
In February, Tsvangirai is said to have proposed to marry Shilubane indicating he wanted the ceremony to be conducted in Zimbabwe and Shilubane accepted, advising him that he should first marry her traditionally according to her Tsonga custom.
After the marriage dates were agreed upon, Shilubane alleges Tsvangirai would shift them saying government commitments were disturbing him.
Shilubane says she was shocked to discover that Tsvangirai was scheduled to marry Elizabeth Macheka on the 15th of September 2012, hence her objection to the issuance of a marriage licence.
*******************************************
![]() |
Zimbabwe PM Tsvangirai Akimchumbia Bi Elizabeth Macheka |
..Second woman seeks to block Zimbabwe PM's wedding
....HARARE (Reuters) - Zimbabwean Prime Minister Morgan Tsvangirai's plan to get married this weekend faced a second legal challenge on Thursday from another woman who said she was romantically involved with him, fuelling a scandal that has already hurt his reputation.
The dispute has handed long-serving President Robert Mugabe political ammunition as he seeks to extend his three-decade rule in an election expected within a year since Tsvangirai is his main rival.
On Thursday, Nosipho Regina Shilubane, a South African woman, lodged a legal challenge to try to block the premier's wedding, the day after the High Court threw out an application by another former lover to halt the ceremony.
In papers filed at a magistrates court she said she was engaged to Tsvangirai after being introduced to him by her church pastor at a hotel in South Africa in September 2009.
Shilubane, who did not appear in court, said Tsvangirai had taken her on holiday to Singapore, the Seychelles and Botswana and that the two were "still engaged to be married".
Tsvangirai's colorful private life has come under scrutiny since the death of his wife Susan in a car crash in 2009, with local media reveling in stories of his relationships with numerous women.
The other woman keen to halt the wedding - Locardia Karimatsenga - is appealing a judge's decision to reject her challenge to Tsvangirai's marriage to fiancee Elizabeth Macheka.
If the wedding were blocked it would be a major embarrassment for Tsvangirai, who had been expected to invite Mugabe, his political partner in a fractious coalition formed after a disputed 2008 election, as well as some foreign leaders to the ceremony.
While 88-year-old Mugabe has been criticized for turning what was once one of Africa's strongest economies into a basket case, Tsvangirai is now being publicly questioned over his dealings with women and money.
(Reporting by MacDonald Dzirutwe; Editing by Andrew Osborn)...
*************************************************
Uhusiano wa PM Tsvangirai na MSouth Africa Nosipho Regina Shilubane
PM Tsvangirai na Nosipho Regina Shilubane Wakiwa kwenye Cruise
Kutoka Bulawayo 24 News
Zimbabwe State Media reports that Prime Minister Morgan Tsvangirai's wedding to Elizabeth Macheka remains doubtful following the filing of another urgent application at the magistrates' court by a South African woman who is claiming to be legally engaged to marry Tsvangirai.
Nosipho Regina Shilubane filed the urgent application objecting to the pending wedding ceremony between Tsvangirai and Macheka in terms of Section 19 of the Marriages Act Chapter 5:11, through her lawyer Wellington Pasipanodya, a senior partner at Manase and Manase law firm according to the State media.
Pasipanodya filed the papers before regional magistrate Munamato Mutevedzi and said his client is aggrieved that Mr Tsvangirai intends to marry without her knowledge and without finishing outstanding lobola negotiations with her family.
In part, Ms Shilubane contends she was introduced to Tsvangirai by her pastor, Mr Lazurus Muriritirwa of the Gospel Assembly Church on the 5th of September 2009 in Johannesburg at Monte Casino shopping complex.
Thereafter, a relationship blossomed between the two after Tsvangirai told the applicant he was a widower who was looking for a bride to marry and the pastor had said she was a suitable candidate.
Shilubane further argues that she visited Zimbabwe between the 18th and 20 of September in 2009 staying at her pastor's house in Borrowdale.
Tsvangirai is said to have relocated Shilubane from Yeoville to an upmarket apartment near Sandton Buccleuh, following which they went for a holiday in the Seychelles between 28 of December and 10 January 2010.
On the 19th of December, Shilubane alleges Tsvangirai asked her to follow him to Gaborone in Botswana, saying he was distressed. She followed and they stayed together in his hotel.
On the 27th of December 2010, they went together for another love cruise holiday in Singapore for two weeks up to early 2011, on a yacht called the Legend of The Seas.
In February, Tsvangirai is said to have proposed to marry Shilubane indicating he wanted the ceremony to be conducted in Zimbabwe and Shilubane accepted, advising him that he should first marry her traditionally according to her Tsonga custom.
After the marriage dates were agreed upon, Shilubane alleges Tsvangirai would shift them saying government commitments were disturbing him.
Shilubane says she was shocked to discover that Tsvangirai was scheduled to marry Elizabeth Macheka on the 15th of September 2012, hence her objection to the issuance of a marriage licence.
Labels:
Adultery,
Harusi,
Mchumba,
Morgan Tsvangirai,
Ngono,
President Robert Mugabe,
Uzinzi,
Zimbabwe
Subscribe to:
Posts (Atom)