Showing posts with label Adultery. Show all posts
Showing posts with label Adultery. Show all posts

Friday, November 21, 2014

Amsulubu Aliyemwibia Mume Wake!



Wadau, hii kali! Wanawake wote wangesulubu wanaowaibia wanaume wao hivyo, wizi huo ungepungua sana!

Sunday, November 17, 2013

Makufuli ya Mboo - Si Utani

Wakina mama watafurahia hizo makufuli ya mboo.  Ambaye atazaiingiza barani Afrika atatajrika. Ume unafungwa, na mwanamke/mpenzi wako anakaa na ufunguo! Hivyo unapata ruksa kufanya mambo ukifunguliwa!  Dume ataweza kujisaidia haja ndogo, lakini ngono hapana mpaka afunguliwe. Mambo si ndo hayo!

Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!'  Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!

Makufuli ya Mboo Oyee!

***************************************

 Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:

Monday, October 07, 2013

Huyo Dada Anaomba Ushauri Wenu - Mazito

Nimepokea kwa E-mail:

 "Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.

So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."

 

Sunday, July 07, 2013

Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!

 Nimepokea kwa E-Mail:

Na Mdau A.R.

Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoa
Siku moja akapewa pesa laki moja akimwambia atafute usafiri na maekezo kwa wakutane hoteli fulani kuna kazi anataka wafanye mahali tulivu.
Kijana alijua mambo ya kiofisi, kachukua usafiri hadi kaenda kule hotelini; kufika kamkuta mama akimsubiri mapokezi, akampokea na kumeleka chumbani, kijana na laptop yake hajui hili na lile.
Mama kakaa, kitandani kijana kwenye kochi, mama yule bosi akaanza kusimulia matatizo ya mumewe, kwamba yupo busy na mambo ya biashara ampi tunda.  Kijana pamoja na kwamba hajaoa, akaanza kumpa shule jinsi ya kumfanya mmewe ampe atakacho, kabla ya kijana kumaliza maelezo yake yule mama akamwambia hata hamwelewi anamwambia nini maana anajisikia hamu sana ya kufanya ni muda mrefu.
Yule kijana kwa hofu akasema ngoja nikimbie pale famasi labda kuna dawa za kutuliza hamu nikuchukulie umeze; mama akasema hataki dawa, mara akaingia chooni maana chumba alichokua kilikuwa na choo ndani.
Alipotoka huko alikuja mtu nguo zote kaacha huko chooni, kijana akataka kutoka nduki, mama akamdaka na kumrusha kitandani huku huku akimpa ishara ya kutokupiga kelele, kammkwangua sruali na ile kitu ya Ludoviki, kijana naye akapa hamu, wakacheza. Walipomaliza mama akampa yule kijana miloni moja na kumwambia asante sana kwa kazi nzuri
Asubuhi ofisini kijana anaona aibu hata kumwangalia lakini mama hajari hata kidogo, siku tatu baada ya ile kapewa laki tena na maelekezo ya kwenda kule hotelini, kijana katii amri ya bosi na kwenda hotelini kutoa dozi
SASA yamekua mazoea lakini si mapenzi maana anapewa aamri. sasa anahisi bosi mkubwa (mme) kajua sasa anataka kuacha kazi maana mkubwa anamuogopa sana. sasa aniomba ushauri nami sina, mwenye uzoefu katika haya anisaidie nimuokoe maana kuacha kazi na kuja kupata nyingine kasheshe

Wednesday, May 15, 2013

Uke Yapotea Baada Ya Kufanya Mapenzi na Mwanaume Aliyeoa Kenya



Duh! Hii kali, huyo mganga wa kienyeji Kenya ana dawa kali sana.

Kuna dada fulani kutoka Ukambani, Kenya mwenye miaka 29. Alikuwa na mazoea ya kutembea na wanaume wa watu. Mke wa jamaa fulani kamwonya huyo dada kuwa ataathirika vibaya akiendelea kutmbea na mume wake.  Yule dada hakusikia na badala yake kaendelea kutembea na jamaa. Basi wiki hii baada ya kufanya kitendo na yule jamaa aliamka kwenda kukojoa (haja ndogo)....Akakuta uke/kuma yakeimezibwa kabisa!   Baada ya yule dada kuomba msamaha kwa yule mama, waliondoa ile dawa. 

Hii dawa inafaa sana!  Mganga huyo atatajirika!

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

Thursday, May 02, 2013

Nyege Mwasho za Padri Urbanus Ngowi

Father Urbanus Ngowi Phooto from Catholicweb.com

Father Urbanus Ngowi afumaniwa na Mke wa Mtu akivunja amri 10 Mjini Moshi


KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lina sakata zima.

Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!

Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.

“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.

Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe (jina tunalo) alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.

Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.

“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”

AWEKWA KITIMOTO

Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.

Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.

Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake!

SIKU ZA NYUMA

Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.

Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.

Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.

IJUMAA WIKIENDA NA FATHER NGOWI SASA

Baada ya kujazwa madai hayo, kama ilivyo desturi ya Magazeti ya Global Publishers likiwemo hili (Ijumaa Wikienda), lilimsaka Father Ngowi kwa udi na uvumba ambapo Ijumaa iliyopita nyakati za mchana lilifanikiwa kuzungumza naye lakini kabla ya kufanya hivyo, kifaa cha kunasia sauti kiliwekwa sawa na mambo yalikuwa hivi:

Wikienda: Haloo, naongea na Father Ngowi wa Parokia ya Korongoni, Marangu, Moshi?

Father Ngowi: Naam ni mimi, nani mwenzangu?

Wikienda: Naitwa…(mhariri anataja jina), napiga simu kutoka Magazeti ya Global Publishers.

Father Ngowi: Uko wapi?

Wikienda: Makao Makuu ya Global Publishers, Dar es Salaam.

Father Ngowi: Eeh…unasemaje?

Wikienda: Kuna madai ya wewe kukutwa na mke wa mtu chumbani. Je, unaweza kunielezea kama ni kweli na tukio lilikuwaje?

Father Ngowi: Siyo mimi.

Wikienda: Wewe siyo Father Urbanus Ngowi?

Father Ngowi: Nimekwambia siyo mimi, hao ni matapeli wanataka pesa ndiyo wametengeneza hizo picha.

Wikienda: Kwa hiyo unataka kuniambia hizi picha ni za kutengeneza?

Father Ngowi: Nimekwambia hao ni matapeli wanataka pesa.

Wikienda: Ulishaziona picha zenyewe?

Father Ngowi: Sijui.

NGOMA YATUPWA KWA MKUU WA JIMBO

Wikienda: Mbona tayari tukio hilo linadaiwa limeshafika kwenye ngazi ya jimbo, Moshi kwa Father Paul Uria?

Father Ngowi: Muulize yeye ndiye mkubwa wangu.

Wikienda: Basi nisaidie namba yake ya simu ya mkononi.

Baada ya takribani dakika 10, Father Ngowi alituma namba ya simu ya Father Uria na mambo yakawa hivi:

Wikienda (huku kinasa sauti kikiendelea kufanya kazi): Haloo…naitwa …(mhariri anajitambulisha) kutoka Magazeti ya Global Publishers, Dar es Salaam, naongea na Mkuu wa Jimbo Kanisa Katoliki, Moshi, Father Uria?

Father Uria (kwa sauti yenye unyenyekevu): Ndiyo.

Wikienda: Una taarifa za mtumishi wako, Father Ngowi kunaswa na mke wa mtu chumbani?

Father Uria: Kwanza mimi si mkuu wa jimbo, ni mwakilishi wa mkuu wa jimbo. Sipo mjini kwa sasa nipo Kilema huku vijijini kwenye huduma lakini nilikuta ‘missed calls’ zake jana (Alhamisi) kwani ilikuwa tukutane kwa sababu alishanijulisha kuwa kuna tukio kama hilo unaloniambia wewe.

NGOMA YAWA NZITO, YATUPWA LEO JUMATATU

“Kweli tulikuwa tukae jana lakini ikashindikana, leo (Ijumaa) ni sikukuu (Muungano), kesho (Jumamosi) na keshokutwa (Jumapili) ni wikiendi. Kwa hiyo tutakaa Jumatatu (leo) hivyo nipigie saa 10:00 jioni siku hiyo ili nikupe maagizo tutakayofikia na mengine.

Wikienda: Lakini Father Ngowi alikueleza tukio lilikuwaje?

Father Uria: Nimekwambia tukikaa ndiyo tutajua kilichotokea. Wewe nipigie hiyo saa 10 nikupe kitakachojiri.

Wikienda: Shukrani Father Uria kwa ushirikiano.

CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS



Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya Kufumaniwa!


Monday, April 29, 2013

Padri MKatoliki Afumaniwa na Mke wa Mtu!

 Wadau, lazima niseme kuwa nafahamu mapdri wa Kanisa Katoliki waliozaa watoto, wana mke na familia kabisa! Pia, nilipokuwa Daily News, mwandishi wa habari mwenzangu (marehemu) alikuwa anatamba kuwa alikuwa antembea na Sista wa Kanisa Katoliki. Anasema alipokuwa anakutana na yule sista anavua shela yake, wakimaliza anaivaa! Duh! Hapa Boston walikuta skeletons za watoto wachanga kwenye basement ya convent fulani!  Kanisa Katoliki inazuia mapadri kutokuoa maana wanakuwa na ashki kama watu wa kawaida.  Pia umesikia skandali ya mapari wa Kanisa Katoliki kuwafanywa watoto vibaya.  Jamani, hebu waruhusu kuoaAu wakatwe dhakari kabla ya kuwa padri!

***********************************



Kutoka Global Publishers:


KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia ,katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu



Father Ngowi akiwa ameduwaa baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!

Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.

“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.


Father Ngowi akijaribu kuomba samahani baada ya kufumaniwa.

Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.

Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.

“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”


Father Ngowi na Mama P wakivaa nguo zao kwa aibu baada ya kufumaniwa.
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.

Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.

Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani
Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya tukio hilo.
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.

Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.

Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.
Father Ngowi akipatiwa suruali yake.
poleni sana mtakao ghafilika ni taarifa tu wandugu.myie wanaume mnamuona mwenzenu? itikadi za kidini weka pembeni tuzungumze fumanizi!


************************************************************************
 
Father Urbanus Ngowi  photo from Catholicweb.com



Father Urbanus Ngowi
 http://home.catholicweb.com/moshidiocese/index.cfm/NewsItem?ID=201906&From=Home
 

Friday, September 14, 2012

Waziri Mkuu wa Zimbabwe Anataka Kuoa Lakini Wapenzi wa Nje Waleta Kasheshe!

Mbavu sina! Ndo faida ya midume kuwa na wanawake wengi! Eti kuwa na mabibi wengi ndo udume. Hebu koma!

*******************************************

Zimbabwe PM Tsvangirai Akimchumbia Bi Elizabeth Macheka
Kutoka Reuters:

..Second woman seeks to block Zimbabwe PM's wedding

....HARARE (Reuters) - Zimbabwean Prime Minister Morgan Tsvangirai's plan to get married this weekend faced a second legal challenge on Thursday from another woman who said she was romantically involved with him, fuelling a scandal that has already hurt his reputation.

The dispute has handed long-serving President Robert Mugabe political ammunition as he seeks to extend his three-decade rule in an election expected within a year since Tsvangirai is his main rival.

On Thursday, Nosipho Regina Shilubane, a South African woman, lodged a legal challenge to try to block the premier's wedding, the day after the High Court threw out an application by another former lover to halt the ceremony.

In papers filed at a magistrates court she said she was engaged to Tsvangirai after being introduced to him by her church pastor at a hotel in South Africa in September 2009.

Shilubane, who did not appear in court, said Tsvangirai had taken her on holiday to Singapore, the Seychelles and Botswana and that the two were "still engaged to be married".

Tsvangirai's colorful private life has come under scrutiny since the death of his wife Susan in a car crash in 2009, with local media reveling in stories of his relationships with numerous women.

The other woman keen to halt the wedding - Locardia Karimatsenga - is appealing a judge's decision to reject her challenge to Tsvangirai's marriage to fiancee Elizabeth Macheka.

If the wedding were blocked it would be a major embarrassment for Tsvangirai, who had been expected to invite Mugabe, his political partner in a fractious coalition formed after a disputed 2008 election, as well as some foreign leaders to the ceremony.

While 88-year-old Mugabe has been criticized for turning what was once one of Africa's strongest economies into a basket case, Tsvangirai is now being publicly questioned over his dealings with women and money.

(Reporting by MacDonald Dzirutwe; Editing by Andrew Osborn)...

*************************************************

Uhusiano wa PM Tsvangirai na  MSouth Africa Nosipho Regina Shilubane



PM Tsvangirai na Nosipho Regina Shilubane Wakiwa kwenye Cruise


Kutoka Bulawayo 24 News

Zimbabwe State Media reports that Prime Minister Morgan Tsvangirai's wedding to Elizabeth Macheka remains doubtful following the filing of another urgent application at the magistrates' court by a South African woman who is claiming to be legally engaged to marry Tsvangirai.

Nosipho Regina Shilubane filed the urgent application objecting to the pending wedding ceremony between Tsvangirai and Macheka in terms of Section 19 of the Marriages Act Chapter 5:11, through her lawyer Wellington Pasipanodya, a senior partner at Manase and Manase law firm according to the State media.

Pasipanodya filed the papers before regional magistrate Munamato Mutevedzi and said his client is aggrieved that Mr Tsvangirai intends to marry without her knowledge and without finishing outstanding lobola negotiations with her family.

In part, Ms Shilubane contends she was introduced to Tsvangirai by her pastor, Mr Lazurus Muriritirwa of the Gospel Assembly Church on the 5th of September 2009 in Johannesburg at Monte Casino shopping complex.

Thereafter, a relationship blossomed between the two after Tsvangirai told the applicant he was a widower who was looking for a bride to marry and the pastor had said she was a suitable candidate.

Shilubane further argues that she visited Zimbabwe between the 18th and 20 of September in 2009 staying at her pastor's house in Borrowdale.

Tsvangirai is said to have relocated Shilubane from Yeoville to an upmarket apartment near Sandton Buccleuh, following which they went for a holiday in the Seychelles between 28 of December and 10 January 2010.

On the 19th of December, Shilubane alleges Tsvangirai asked her to follow him to Gaborone in Botswana, saying he was distressed. She followed and they stayed together in his hotel.

On the 27th of December 2010, they went together for another love cruise holiday in Singapore for two weeks up to early 2011, on a yacht called the Legend of The Seas.

In February, Tsvangirai is said to have proposed to marry Shilubane indicating he wanted the ceremony to be conducted in Zimbabwe and Shilubane accepted, advising him that he should first marry her traditionally according to her Tsonga custom.

After the marriage dates were agreed upon, Shilubane alleges Tsvangirai would shift them saying government commitments were disturbing him.

Shilubane says she was shocked to discover that Tsvangirai was scheduled to marry Elizabeth Macheka on the 15th of September 2012, hence her objection to the issuance of a marriage licence.