Thursday, August 14, 2014

SUMATRA Mko Wapi? Abiria Wanateseka

 Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea mwanza na gari la princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari
 Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX  Wamekwama maeneo ya kibamba jiji dar es salamu  huku kina mama na watoto wakizidi teseka



 Mama Huyu Akiteseka na mtoto mdogo
 Abiria wakiwa nje ya basi


 Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine
 Hizi ndio namba za basi hilo







No comments: