Sunday, August 09, 2015

Star wa Bongoland 'Mukama Morandi' Afunga Pingu za Maisha!

Stelingi (Star) wa sinema Bongoland, Mukama 'Jimmy' Morandi, amefunga ndoa mjini Minneapolis, Minnesota, jana na mpenzi wake Priscilla.  Mukama ni mcheza sinema na mwanamuziki pia.

Tunawatakia maisha mema ya ndoa!

Director wa sinema Bongoland, Bongolan II na Tusamehe, Josiah Kibira, (katikati) na Mukama na Priscilla.

Mukama na mke wake nje ya Kanisa, Minneapolis
 


Mnaweza kupata habari za Kibira Films kwa kuBOFYA HAPA:

Mnaweza kuona kanda ya Mukama, You Tube

TURN BACK TIME


No comments: