Sunday, August 09, 2015

Tuombe Wenye Ugonjwa wa Saratani Wapone!


Wadau, tuombe wenye ugonjwa wa saratani wapone.  Baba yangu mzazi, Dr. Aleck Che-Mponda alifariki mwezi Machi kwa ugonjwa wa Prostate Cancer (saratani).  Mfanyakazi mwenzangu hapa USA alikufa kwa kansa ya tumbo, mwingine kwa kansa ya mapafu mwaka huu.  

Tuombe haya makampuni ya madawa yanayotumia hela KUZUIA utafiti ya tiba ya saratani wabadilishe mioyo yao. Wamezidi uchu ya ya pesa! Waende Motoni wote!  Tiba ingeshapatikana lakini wanazuia kwa vile wanaogopa watashindwa kuuzwa madawa yao!

No comments: