Friday, December 04, 2015

Wanyonya Ume wa Mchungaji Wao Ili Wapone Maradhi Yao!

http://www.eurweb.com/wp-content/uploads/2013/02/valdesi-sobrino-picanto.jpg
Pastor Sobrino Valdeci Picanto wa Brazil
 
Mchungaji huko Brazil  Rev. Sobrino Valdeci Picanto, wa kanisa la pentecostal (walokole) aliwadanganya waumini wa kike kuwa wakinyonya ume wake (mboo) watafaidi maziwa maalum ambayo yatapona maradhi yao. Wengine aliwaambia watatajrika. Alisema kuwa ume wake unatoa maziwa enye nguvu na baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu!  Alisema ni lazima dawa imwagwe mdomoni ndo iwe na nguvu.

Jamani, tangu lini maziwa ya baraka yanatoka kwenye ume? Sana sana utapata ugonjwa wa zinaa au mimba! Huyo jamaa alipenda anyonywe tu! Mchungaji Picanto yuko gerezani kwa kosa la ubakaji sasa.

Acheni kundangayika!

Kusoma habari kamili BOFYA HAPA!

2 comments:

Anonymous said...

OMG! How stupid can people be, to believe such nonsense?!! Oh bloody hell! Shocking to the max!!

Anonymous said...

Huyo Padre nyege mwasho na hao akina mama ni wajinga!