Showing posts with label Bibi Arusi. Show all posts
Showing posts with label Bibi Arusi. Show all posts
Saturday, November 02, 2013
Fesheni Mpya ya Picha za WanaHarusi Bongo
Wadau, naomba maoni yenu kuhusu hii picha. Mimi nasema Tarzan angefurahi sana kuona wanaharisu kwenye miti! Bibi harusi alipandaje na hiyo gauni na heels?
Labels:
Arusi,
Bibi Arusi,
Bride & Groom,
Bwana Harusi,
Harusi,
Wa,
Wedding,
Wedding Gown
Tuesday, September 17, 2013
Mfalme Mswati Kuoa Mke wa 14!
Huyo Binti akishika mimba ndo ruksa Mfalme kuoa. Duh! Mila zingine.
Mchumba ana miaka 18.
********************************************************
MBABANE - Swaziland’s King Mswati III has chosen an 18-year-old beauty pageant contestant as his 14th wife, a palace spokesman said Tuesday, days before a much-criticised parliamentary vote. ”I can confirm that the king has introduced to the nation a new liphovela (royal fiancee),” said Ludzidzini palace governor Timothy Mtetwa. Mswati, a 45-year-old who is sub-Saharan Africa’s last absolute monarch, introduced Sindiswa Dlamini at a Reed Dance celebration over the weekend, Mtetwa told AFP. She wore reed feathers on her head — a sign of royalty.
The young woman graduated from Mbabane’s St. Francis High School last year and is a finalist in the Miss Cultural Heritage beauty pageant. The winner will be announced on September 28. The king has come under fire for his household’s lavish lifestyle while the tiny mountain kingdom’s 1.2 million people struggle to make a living. – AFP.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
********************************************************
MBABANE - Swaziland’s King Mswati III has chosen an 18-year-old beauty pageant contestant as his 14th wife, a palace spokesman said Tuesday, days before a much-criticised parliamentary vote. ”I can confirm that the king has introduced to the nation a new liphovela (royal fiancee),” said Ludzidzini palace governor Timothy Mtetwa. Mswati, a 45-year-old who is sub-Saharan Africa’s last absolute monarch, introduced Sindiswa Dlamini at a Reed Dance celebration over the weekend, Mtetwa told AFP. She wore reed feathers on her head — a sign of royalty.
The young woman graduated from Mbabane’s St. Francis High School last year and is a finalist in the Miss Cultural Heritage beauty pageant. The winner will be announced on September 28. The king has come under fire for his household’s lavish lifestyle while the tiny mountain kingdom’s 1.2 million people struggle to make a living. – AFP.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
![]() |
King Mswati III |
Labels:
Bibi Arusi,
Harusi,
King Mswati III,
Mfalme,
Swaziland
Tuesday, May 21, 2013
Kwa Nini Bibi Harusi Hulia Siku ya Harusi?
Swali uliulizwa:
Hawa najiuliza, kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?
1. Jee! Ni uchungu au furaha kwa kupata mume?
2. Ni uchungu au kufaraha ya kuondoka mazingira ya nyumbani kwao?
3. Ni furaha ya kwenda kuanza kumiliki kitanda na mumewe mfululizo na
kwa muda anao upenda (lile tendo)?
3. Au wanaogopa fedheha kwa kuwa wanaolewa /anaolewa akiwa si bikra?
4. Ni uoga wa kuanza kulala bila nguo ya ndani akiwa kwenye ndoa na mumewe?
Kwa nini mabibi harusi wengi huangua vilio?!
Dada Leila Sheikh kajibu hivi:
Kwetu sisi uswahilini usipolia wafinywa na kungwi.
Seriously huwa tunalia kwa sababu tunaondoka kwa wazazi wetu na kwenda kujiunga na koo jingine.
huwa
tunafundwa- "Mama Mkwe ndiyo Mama Yako sasa. Ba Mkwe ndiyo Baba Yako
kuanzia leo. Hawa usiwachukulie kama mawifi au mashemeji bali ndiyo
ndugu zako kuanzia leo. Mume akiwa kachacha, gongesha vikombe majirani
wafikiri munakunywa chai kwa bajia. Chakula kikikosekana, hakikisha
unachoma iliki ili majirani waamini unapika pilau. Mume akichelewa
kurudi, mlaki mlangoni kwa tabasamu. Akikukaripia, mwimbie wimbo wa
mapenzi "Sabalkheir (ishakuwa asubuhi anaporudi) Mpenzi, waonaje hali
yako?".
Na kwa nini nisilie baada ya kuambiwa hivyo?Unaondoka kwenu ulipodeka wenda ugenini.
Leila Sheikh
Labels:
Bibi Arusi,
Crying,
Harusi,
Leila Sheikh,
Wedding
Tuesday, September 27, 2011
Kitchen Party Boston
Wadau, wikiendi iliyopita tulimfanyia 'Kitchen Party' mwali, Musau, mtoto wa Dada Margaret Kabula wa Boston. Anaolewa mwezi ujao hapa Boston.
Kwa vile watu waliomba nyuso zao zisitoke kwenye blog nabandika zilizokuwa blurred.
Kwa vile watu waliomba nyuso zao zisitoke kwenye blog nabandika zilizokuwa blurred.
Hapa tuko kwenye Mdundiko Mwali yuko kwenye stool |
Hapo nakatika kidogo |
Mwali akifundwa |
Hapo mambo nyeti |
Mdundiko unakolea |
Mwali akipewa somo kiboko |
Labels:
Bibi Arusi,
Kufundwa,
Mwali,
The Kitchen Party
Subscribe to:
Posts (Atom)