Showing posts with label Fesheni. Show all posts
Showing posts with label Fesheni. Show all posts

Friday, November 08, 2013

"Afroture" Collection By Mustafa Hassanali





Pan African designer, Mustafa Hassanali pursues fashion as a religion. Being Tanzania’s premier and most celebrated wedding and evening gown designer. With an A-list clientele, Hassanali is considered a fashionista personified.

Mustafa Hassanali,
who having showcased in
26 Cities in 17 Countries Globally has also been named One of Africa’s Top Male Fashion designer by UK’s NEW AFRICAN WOMAN, Kenya Airways In-flight Magazine December 2012 issue mentioned him as one of the 6 person to look out for in 2013. In 2011 he was also selected by the minister of youth information, Culture and Sports as a steering committee member for the selection of Tanzania National attire.

Mustafa Hassanali showcased his AFROTURE Collection at AFI Mercedes Benz Fashion Week - Africa 2013, which was his TENTH showcase in SOUTH AFRICA

Mustafa Hassanali
shall launch AFROTURE collection on 8 November at Serena Victoria  hotel in Uganda for the Mavuno Yetu Event.

That will be His FIFTH Showcase in UGANDA and will showcase alongside his host designer Santa Anzo of Arapapa

Saturday, September 03, 2011

Fesheni 'GawaKundu' Yaleta Matatizo!

Hii fesheni ya kutangaza kuwa unagawa mkundu, umemletea mtu mwingine matatizo hapa Marekani.

Leo kuna habari kuwa mwimbaji Billie Joe Armstrong wa bendi Green Day alifukuzwa kwenye ndege ya Southwest Airlines alipokataa kupandisha suruali yake zilizokuwa fesheni GawaKundu. Alikuwa anasafiri kutoka Oakland, California kwenda Burbank, California. Soma habari kamili kwa kubofya HAPA.

Msemaji wa Southwest anasema kuwa Armstrong aliruhusiwa kupanda ndege nyingine. Nadhani kwa vile mzungu.

Kuna kijana mwingine mweusi ambaye alifungwa mwaka huu kwa vile alijaribu kupanada ndege ya US Airways na fesheni GawaKundu. Deshon Marman ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha New Mexico na pia mcheza football alikamatwa na kushitakiwa kwa makosa kadhaa ya jinai.

Lakini ajabu, kuna mwanaume wa kizungu aliyeruhusiwa kupanda ndege ya US Airways akiwa amevaa chupi ya kike na sidiria tu!

Soma habari ya Marman na Bikini Man kwa kubofya HAPA:


US Airways wamefuta mashitaka dhidi ya Marman, lakini keshateseka na kuaibika, na pia hawajamrudishia nauli ya $500 wala kumwomba msamaha! Wanasema kuwa Crew walikuwa na haki ya kufukuza kwenye ndege. Ukiwa mtu mwenye rangi Marekani ushike adabu ukipanda kwenye ndege asante 9/11! Sasa hao crew ya ndege wanaweza kukufukuza kwenye ndege hata wasipopenda sura yako!

Kwa habari zaidi ya kesi ya kijana Marman tembelea:

http://www.sfexaminer.com/local/peninsula/2011/07/deshon-marman-sue-us-airways-after-saggy-pants-arrest

NOTE: Fesheni GawaKundu si mbayawakati mwingine, nimeshaona matako ya vijana wengi wa kizungu, weusi na waAsia baada ya suruali zao kuanguka wakiwa wanatembea!!! LOL!

Thursday, July 24, 2008

Fesheni za karibu Uchi!

Wanaume nao siku hizi!
Fantasia alishinda American idol na sasa anatembea karibu. Nguo ya kuogelea hiyo! Akipiga mbizi huo uzi utafunguka! Wimbi ukikija uzi unafunguka Khaa!
Miaka ya 90 watu walilalamika kwa vile J-Lo alivaa nguo amabayo uliweza kuona matiti yake ukitazama vizuri. Sasa huyo kaamua kufunga mkanda kwenye chuchu zake feki (implants) na kusema kavaa!


Jamani, nilishasema kuwa fesheni za siku zinaonyesha kila kitu, bado kidogo watu watakuwa wanatembea uchi na watu hawatajali. Mambo ya kuvaa ka-uzi (G-string) matakoni na kusema uemvaa ndo mambo gani. Mambo ya Adamu na Hawa ni hapo zamani za kale kweli!