Showing posts with label kufira. Show all posts
Showing posts with label kufira. Show all posts

Saturday, July 29, 2017

Acheni Mchezo wa TIGO, Watu Wanajamba Ovyo Siku Hizi!



Wadau, juzi nilikuwa naongea na MBongo. Alikuwa analalamika kuhusu jinsi watu wanavyoshindwa kujikaza siku hizi na kuachia pumzi (kujamba)!

Nayoona ni hivi, Bongo mchezo wa TIGO ( Kufira/ Sodomy) umezidi!   Na nimekuwa nikisema siku nyingi mtaona athari za huo mchezo kuongezeka!

Kwanza, kwa vile ile sphincter ya mkundu/anus imelegea, mtu anashindwa kuzuia pumzi kutoka. Pia maji maji yanatoka, na inabidi avae nepi/pedi.  Halahala huyo akae kwenye kiti/cochi. Unashangaa kwa nini nzi wanaenda pale alipokaa huyo mtu!  Mnaona biashara ya nepi za wakubwa invyoshamiri huko Bongo?

Pili, Ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection) kwa wanawake na wanaume umeongezeka Bongo kwa vile, mchezo wa TIGO unasababisha uchafu kuingia kwenye ume na uke. Fikiria, dume anaingiza ume wake kwenye mkundu, lazima anapatwa na chembe chembe za mavi!  Na uchafu lazima unateremka kwenye uke wa mwanamke!

Nilishasema na ninawakumbusha, mungu aliumba mkundu/anus kwa ajili ya kunya. Yaani kutoa uchafu mwilini. Haikuumbwa kwa ajili ya kuingiza kitu! Ndo maana inalegea mchezo ukizidi.

Acehni mchezo huo chafu!Tumieni kondomu kwa usalama wenu!




Saturday, October 27, 2012

Mwalimu Ajiua Dar Baada ya Hii Picha Kutoka!!!

Mwalimu ni kiungo muhimu sana katika malezi ya wanafunzi hapa nchini.Wao hushinda na watoto wetu kutwa nzima .......
Kwa mantiki hiyo, tabia ya mtoto yeyote aliyewahi kalia madawati ina asilimia zaidi ya 70 ya tabia za walimu wake......
Siku hizi mambo yamebadilika sana.Mwalimu wa miaka ya 90 ni tofauti kabisa na mwalimu wa miaka ya leo.
Walimu wa leo wengi wao ni vijana wadogo ambao wengi wamejawa na tamaa za mapenzi.Wao hawajui kutongoza bali wanajua kulazimisha....
Inashangaza na kusikitisha kuona walimu wetu wakishindana KUTOA BIKRA ZA WATOTO WA KIKE......Mtoto akikataa basi cha motoatakiona ....
Mtandao huu umebahatika kuongea na mwanafunzi mmojaambaye ni mhanga wa tukio hilo la kulazimishwa mapenzi na mwalimu wake..........
HILI NI SIMULIZI LAKE:
--------------------------------------------------------------------
Mwalimu akimbaka mwanafunzi wake darasani. Baada ya picha hii kutoka kwenye gazeti la Udaku Mwalimu huyo mbakaji mshenzi alijiua!

"Mwalimu alianza kunitaka tangu nikuwa form one.Nilipomkataa alianza kunichapa tena bila kosa maalumu na kunipa adhabu kila mara...
Baada ya kufanya hivyo kwa muda, aliamua kuniita ofisini na kuniambia kuwa anatanisaidia kimasomo endapo ntamkubalia.Niliamua kumkubali kwa kwa kuhofia viboko na aliniambia nisimwambie mtu.

Siku ya kwanza kufanya mapenzi alinipeleka gesti na aliniambia kuwa atatumia condom.Kwa kuwa ilikuwa ni mara yangu ya kwanza hatukuweza kutumia kinga na alifanya hivyohivyo.

Baada ya hapo tuliendelea kufanya hicho kitendo hata tukiwa shule.Wakati wa kutawanyika, mwalimu alikuwa akiniita katika ofisi yake na kunilazimisha tufanye.....

Miezi kadhaa baadaye, nilianza kujihisi tofauti na wazazi wangu waliyagundua mabadiliko hayo.Walinipeleka hospitali na vipimo vilionesha kuwa nna mimba.Waliponibana ilinibidi niwaeleze ukweli.....

AFISA ELIMU AINGILIA KATI:
Baada ya kubaini hali hiyo, baba alinipeleka moja kwa moja mpaka kwa afisa elimu wa mkoa.Sikuwa na jinsi zaidi ya kueleza ukweli.Mwalimu aliitwa na kuhojiwa.Mwanzo alikataa kabisa lakini baada ya kubanwa ilibidi akubali.

Mwalimu alisimamishwa kazi kwa muda na kufunguliwa mashitaka.Alikaa polisi kwa siku mbili, siku ya tatu alipata dhamana akatoka.....

Alipotoka, mwalimu aliamua kujiua kwa sumu.Shule niliachishwa.nipo nyumbani na mtoto.

Saturday, September 03, 2011

Fesheni 'GawaKundu' Yaleta Matatizo!

Hii fesheni ya kutangaza kuwa unagawa mkundu, umemletea mtu mwingine matatizo hapa Marekani.

Leo kuna habari kuwa mwimbaji Billie Joe Armstrong wa bendi Green Day alifukuzwa kwenye ndege ya Southwest Airlines alipokataa kupandisha suruali yake zilizokuwa fesheni GawaKundu. Alikuwa anasafiri kutoka Oakland, California kwenda Burbank, California. Soma habari kamili kwa kubofya HAPA.

Msemaji wa Southwest anasema kuwa Armstrong aliruhusiwa kupanda ndege nyingine. Nadhani kwa vile mzungu.

Kuna kijana mwingine mweusi ambaye alifungwa mwaka huu kwa vile alijaribu kupanada ndege ya US Airways na fesheni GawaKundu. Deshon Marman ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha New Mexico na pia mcheza football alikamatwa na kushitakiwa kwa makosa kadhaa ya jinai.

Lakini ajabu, kuna mwanaume wa kizungu aliyeruhusiwa kupanda ndege ya US Airways akiwa amevaa chupi ya kike na sidiria tu!

Soma habari ya Marman na Bikini Man kwa kubofya HAPA:


US Airways wamefuta mashitaka dhidi ya Marman, lakini keshateseka na kuaibika, na pia hawajamrudishia nauli ya $500 wala kumwomba msamaha! Wanasema kuwa Crew walikuwa na haki ya kufukuza kwenye ndege. Ukiwa mtu mwenye rangi Marekani ushike adabu ukipanda kwenye ndege asante 9/11! Sasa hao crew ya ndege wanaweza kukufukuza kwenye ndege hata wasipopenda sura yako!

Kwa habari zaidi ya kesi ya kijana Marman tembelea:

http://www.sfexaminer.com/local/peninsula/2011/07/deshon-marman-sue-us-airways-after-saggy-pants-arrest

NOTE: Fesheni GawaKundu si mbayawakati mwingine, nimeshaona matako ya vijana wengi wa kizungu, weusi na waAsia baada ya suruali zao kuanguka wakiwa wanatembea!!! LOL!

Wednesday, May 18, 2011

Anayedai Kabakwa na Mkuu Wa IMF Hotelini NY Atajwa

(Pichani - Mkuu wa IMF Dominique Strauss-Kahn Akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kwenye gereza ya Rikers Island, New York)


Bila shaka mmesikia habari ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mkuu wa IMF mjini New York. Magazeti ya nje ya Marekani yametaja jina na kutoa picha ya mhudumu wa hoteli anayedai kuwa Bwana Dominique Strauss-Kahn (62) kamfanya mabaya. Inadaiwa kuwa wikiendi iliyopita katika hoteli ya Sofitel mjini New York, Strauss-Kahn alijaribu kumbaka Bi Nafissatou Diallo (32) ambaye anatoka nchi ya Guinea, Afrika Magharibi. Chumba alichofikia ni $3,000 kwa siku!

Habari zinasema kuwa Bi Diallo alienda kusafisha chumba alichofikia Strauss-Kahn. Alidhani hakuna mtu mle. Alipofungua mlango Strauss-Kahn alitoka bafuni na alimkimbiza akiwa uchi na kumfungia chumbani. Hapo Strauss- Kahn alimlazimisha kunyonya ume wake, na baadaye alimwomba Diallo amfanye huko nyuma (kufira). Yule mama alifanikiwa kukimbia na kawaambia wafanyakazi wenzake hotelini ndo wakaita polisi. Inadaiwa kuwa Strauss-Kahn alikimbia baada ya tukio na kuacha simu yake, lakin wakli wa Strauss-Kahn anasema kuwa alienda kula chakula cha mchana na binti yuake halafu baadaye alienda uwanja wa ndege.

Strauss-Kahn alikamatwa kwenye ndege huko JFK Airport ikiwa karibu inaruka kwenda Ufaransa.

Kwa sasa Strauss-Kahn amefungwa bila dhamana katika gereza la Rikers Island huko New York. Duh! Kutoka hoteli ya fahari kwenda Rikers Island ni makubwa. Sidhani kama alitegemea kuona ndani ya jela katika maisha yake. Bi Diallo amefichwa. Tutasikia zaidi mahakamani. Siwezi kujua nani anasema ukweli kwa vile sikuwepo, ila naweza kusema kuwa maisha ya huyo mama yatabadilika. Yeye maskini halafu anachafua jina la tajiri. Nina wasiwasi hata familia yake huko Guinea wako hatarini kuchafuliwa jina.

Lakini jamani, dume zima tena tajiri ilishinda kununua malaya! Wanaomfahamu Bi Diallo wanasema kuwa ni mrefu ana urefu wa futi 6. Hivi Strauss-Kahan alidhani kwa vile mzungu yule mama atakubali kumpa nini?

Mnaweza kuona picha ya Bi Diallo kwa kuBOFYA HAPA:


Kwa habari zaidi someni:


http://www.nydailynews.com/news/world/2011/05/18/2011-05-18_we_want_you_out.html

http://abcnews.go.com/US/dominique-strauss-kahn-sex-case-alleged-victims-lawyer/story?id=13627104

http://www.telegraph.co.uk/finance/dominique-strauss-kahn/8521881/Dominique-Strauss-Kahn-maid-lives-in-apartment-block-for-HIV-sufferers.html

Tuesday, December 08, 2009

Uganda Kuua Mashoga na Wenye Virusi Vya UKIMWI!!!

Sasa huko Uganda, naona zinaanza kufyatuka. Wanataka kupitisha mswaada amabo utaruhusu mashoga/wasenge wafungwe maisha au kuuwawa, wenye virusi vya UKIMWI kuuwawa! Pia wanasema hata WaGanda wanoishi ya Uganda wakijulikana kama wana hali hiyo warudishwe ili wauwawe! Na ukija mtu msenge na husemi utafungwa!

Doh, naona mambo ya Idi Amin haya! Hao wanaotakakupitsha huo mswaada waende wakapime UKIMWI kwanza. Pia waangalie familia zao na wahakikishe hawana ndugu ambaye ni mpenda jinsia moja! Sasa mtu akiwa na hasira na mtu atamwita shoga/msenge ili auwawe! MAZITO! Tutasikia watu wanakimbia Uganda kwa kuhofia maisha yao. Na watapiwa asylum nchi za magharibi.

**************************************************************************

Kutoka CNN.com

(CNN) -- As a gay man in Uganda, Frank Mugisha is used to the taunts, the slurs and the daily harassment of neighbors and friends.

But if a new bill proposed in the east African country becomes law, Mugisha could be put away for life, or worse, put to death for having sex with another man.

"Right now, you can't go to places that are crowded, because the mob can attack us or even burn us. We can't walk alone. We are ostracized by relatives. But if this bill passes, it will become impossible for me to live here at all. And that part hurts the most," Mugisha said.

The Anti-Homosexuality Bill features several provisions that human rights groups say would spur a witch hunt of homosexuals in the country:

• Gays and lesbians convicted of having gay sex would be sentenced, at minimum, to life in prison

• People who test positive for HIV may be executed

• Homosexuals who have sex with a minor, or engage in homosexual sex more than once, may also receive the death penalty

• The bill forbids the "promotion of homosexuality," which in effect bans organizations working in HIV and AIDS prevention

• Anyone who knows of homosexual activity taking place but does not report it would risk up to three years in prison.

"Who will go to HIV testing if he knows that he will suffer the death sentence?" Elizabeth Mataka, the U.N. Special Envoy on AIDS in Africa, told reporters last week. "The law will drive them away from seeking counseling and testing services."

Homosexuality is already illegal in Uganda under colonial-era laws. But the bill, introduced in October, is intended to put more teeth into prosecuting violators.

It applies even to Ugandans participating in same-sex acts in countries where such behavior is legal.
"They are supposed to be brought back to Uganda and convicted here. The government is putting homosexuality on the level of treason," Mugisha said.

Lawmakers have indicated that they will pass the bill before year's end.
It has the blessing of many religious leaders -- Muslim and Christian -- in a country where a July poll found 95 percent opposed to legalizing homosexuality.

The Rev. Esau Omara, a senior church leader, said over the weekend that any lawmaker opposing the bill will pay for it during the next election, according to local newspaper reports.
And a leading Muslim cleric, Sheikh Ramathan Shaban Mubajje, has called for gays to be rounded up and banished to an island until they die.

Several media outlets also have inflamed sentiments in recent months by publicly pointing out gays and lesbians.
Who will go to HIV testing if he knows that he will suffer the death sentence?--Elizabeth Mataka
In April, the Observer newspaper published tips to help readers spot homosexuals. And over the summer, the Red Pepper tabloid outed 45 gays and lesbians.

Uganda's President Yoweri Museveni has not publicly stated his position on the bill, but last month blamed foreign influence in promoting and funding homosexuality.

"It is true that, if the president has said that, he must have information that European nations are promoting (homosexuality) and recruiting homosexuals," government spokesman Fred Opolot said. "You must note that the president or the legislators are responding to the concern of the citizenry of the country."

At the Commonwealth summit in Trinidad and Tobago late last month, Canadian Prime Minister Stephen Harper said he pulled aside Museveni to deplore the bill.

"We find them inconsistent with, frankly, I think any reasonable understanding of human rights, and I was very clear on that with the president of Uganda," Harper told reporters.
In the United States, a coalition of Christian leaders released a statement Monday denouncing the bill.

"Regardless of the diverse theological views of our religious traditions regarding the morality of homosexuality, in our churches, communities and families, we seek to embrace our gay and lesbian brothers and sisters as God's children, worthy of respect and love," the statement read.
Human rights groups have called on Western nations to withhold aid from Uganda if the measure passes. About 40 percent of the country's budget comes from international aid.

"This draft bill is clearly an attempt to divide and weaken civil society by striking at one of its most marginalized groups," said Scott Long, director of the Lesbian, Gay, Bisexual and Transgender Rights Program at the New York-based Human Rights Watch. "The government may be starting here, but who will be next?"

Opolot, the government spokesman, said consideration of the bill in parliament is merely "democracy at work."

"We as a country are engaging and debating a pertinent issue," he said. "So if a foreign country chooses to cut aid simply because Uganda is debating its destiny, then it is quite outrageous and quite wrong."

Mugisha, who now heads the group Sexual Minority of Uganda, said he is working with lawyers and other activists to change minds and defeat the measure.

"I have put a lot of effort in this struggle. I just want to live freely every day," he said. "I want to be happy knowing that if I'm going to meet someone, I'm not going to be taken to jail forever."

Wednesday, August 06, 2008

Usambazaji wa UKIMWI

Hebu someni hii 'study' iliyotoka leo. Inatisha!

Wanasema ukifanya kawaida, ume/uke... chenzsi ya kuamukizwa ni 1 kati ya 10. Na ukifanya huko nyuma (kufira/kulawiti) ni 1 kati ya 3!

Tumieni Kondomu jamani! Mungu atunusuru!

******************************************************

Heterosexual couples more likely to transmit HIV

August 6th, 2008

Heterosexual couples are at a greater risk of transmitting the HIV virus during sex than most people realise, according to a new study.

It is said that on average only one heterosexual transmission of the AIDS virus would be expected for every 1000 sexual contacts, assuming one partner was HIV-positive and the other negative.

However, American researchers claim that the actual figure could be as high as one transmission for every 10 instances of vaginal sex, reports News.com.au.

At International AIDS Conference, researchers said that the risk could be as high as one transmission for every three instances of heterosexual anal sex.

After reviewing 27 previous studies on HIV transmission, the team concluded that underestimate had arisen because most of the studies were based on heterosexual couples with particularly low-risk habits.

The findings were published online by The Lancet Infectious Diseases. (ANI)

http://www.newspostonline.com/health/heterosexual-couples-more-likely-to-transmit-hiv-20080806976