Showing posts with label Skin Bleaching. Show all posts
Showing posts with label Skin Bleaching. Show all posts
Tuesday, February 07, 2017
Monday, June 09, 2014
Acheni Kujichbua Jamani! Mnaona Lakini!
Jamani haya mambo ya kujikrimu/kujichubua hawayafai kabisa! Hebu mpende ngozi mwenyezi mungu aliyokupa!
Saturday, July 07, 2012
AKrimu Mtoto Halafu Adai Kazaa na Mhindi!
Huko Zimbabwe kuna mambo! Mama moja kakrimu mtoto wake ili aonekane shombe halafu kaenda kwa mhindi kudai yeye ni baba. Nia yake ilikuwa kumtapeli huyo mhindi ili kupata pesa! Huyo mama kaolewa lakini katembea nje ya ndoa yake na mhindi.
Natoa pole kwa huyo mtoto! Kuwa creamed mwili mzima unaweza kumletea madhara ya afya kama kansa ya ngozi.
Huyo mama na mue wake wanashitakiwa mahakamani kwa kosa la utapeli.
*******************************************
HARARE, Zimbabwe (AP) - Prosecutors in Zimbabwe say a fraud trial is set to hear claims a black baby was treated with skin-bleaching cream to extort money from a man of Asian descent.
Prosecutor Malvern Nzombe said a court in the second city of Bulawayo on Friday ordered a Zimbabwean woman and her husband to reappear for trial at a date to be set in August.
He said it is alleged they wanted the baby to appear that it was of mixed race in a plot to "reap financial benefits" from the light-skinned man with whom the woman had an affair.
Her husband is accused of helping plan the scam, Nzombe said.
In Zimbabwe's troubled economy, authorities have reported a recent spate of bizarre cons to extract money from unsuspecting victims.
Natoa pole kwa huyo mtoto! Kuwa creamed mwili mzima unaweza kumletea madhara ya afya kama kansa ya ngozi.
Huyo mama na mue wake wanashitakiwa mahakamani kwa kosa la utapeli.
*******************************************
HARARE, Zimbabwe (AP) - Prosecutors in Zimbabwe say a fraud trial is set to hear claims a black baby was treated with skin-bleaching cream to extort money from a man of Asian descent.
Prosecutor Malvern Nzombe said a court in the second city of Bulawayo on Friday ordered a Zimbabwean woman and her husband to reappear for trial at a date to be set in August.
He said it is alleged they wanted the baby to appear that it was of mixed race in a plot to "reap financial benefits" from the light-skinned man with whom the woman had an affair.
Her husband is accused of helping plan the scam, Nzombe said.
In Zimbabwe's troubled economy, authorities have reported a recent spate of bizarre cons to extract money from unsuspecting victims.
Labels:
Child Abuse,
Cream,
Mtoto,
Skin Bleaching,
Utapeli,
Zimbabwe
Saturday, March 27, 2010
Kumbe Kweli Michael Jackson Alikuwa Anajichubua!
Ukweli umefichuka. Kumbe ni kweli Michael Jackson alikuwa anajichibua na makrimu, ndo maana rangi yake iligeuka kuwa kama mzungu. Jackson alikuwa anaumwa ugonjwa wa Vitiligo ambao muathirika anakuwa na mabaka mwilini. Ni mweusi lakini nakuwa na vipande vikubwa kama ngozi ya kizungu. Mimi niliona vigumu kuamini habari ya vitiligo. Kwanza nafahamu watu wengi hapa Marekani ambao ni waathrika na hata wakipaka make-up kuficha mabaka utawajua tu. Kumbe Jackson aliaamua awe mzungu kimoja na afute hayo mabaka meusi!
Leo kuna habari kuna tube kibao za krimu za kujichubua zilikutwa nyumbani kwa Jackson alivyofariki. Wanasema kuwa watu walijaribu kuzificha. Miaka ya 80 mwanzoni kulikuwa na madai kuwa Michael Jackson alikuwa anaoga katika madawa ya kujichubua na usikua alikuwa anajipaka makrimu kibao za kujichua na kusudi ziwe kali zaidi alikuwa anafunika mwili waka na plastiki (cling wrap) wakati analala. Kulikuwa na habari kuwa Jackson alisema kuwa anachukia weusi wake. Huenda ni kweli maana alichonga pua yake kuwa kama ya mzungu.
Kwa habari zaidi someni:
Labels:
Cream,
Kujichubua,
Michael Jackson,
Skin Bleaching
Subscribe to:
Posts (Atom)