Wednesday, August 31, 2011

Marian Schools Bagamoyo Fundraising Gala Dinner Invitation Sept. 4, 2011

Uongozi wa Shule za Marian Bagamoyo unawakaribisha wote kwenye Fundraising hii ya Kujenga na kuendeleza Shule hizi.

Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba

Wazazi,wanafunzi wa zamani,wenyeji wa Bagamoyo na wote wale wenye Mapenzi mema mnakaribishwa sana sana tarehe 4th SEPT Diamond Jubilee Hall saa Moja jioni.

Asanteni!

No comments: