Saturday, November 26, 2011

Ordination of Pastor Ephraim Kyando, Boston, MA


Siku ya jumapili, Novemba 20, 2011, Ndugu Ephraim W. Kyando alipakwa mafuta rasmi na kuwa mchungaji katika kanisa la International Gospel Church, Chelsea, MA. Pastor Kyando atakuwa Pastor msaidizi. Pastor Jared Mlongecha ni Pastor Mkuu. Wanaompaka mafuta ni wachungaji Pastor Jared, na Pastor Isaac Balinda kutoka Uganda.  Pastor Jared na Pastor Balinda walipakwa mafuta mwaka 1999 pamoja na marehemu mume wangu Reverend Douglas Whitlow na Askofu Zakaria Kakobe.

Hongera Pastor Kyando!

No comments: