Sunday, April 06, 2014

Kumbe Paka ni Dawa!

Kumbe paka anatibu magonjwa! Acheni kuwatibua na mawe na kuwamwagia maji ya moto. Umekumbatie kama rafiki yako mepndwa! Utaishi maisha marefu!

****************************




1 comment:

Anonymous said...

Paka mchawi!