Saturday, June 04, 2016

Muhammad Ali Alipotembelea Tanzania 1980

Wadau, Nina kumbuka vizuri marehemu Bondia Muhammad Ali, alipokuja Tanzania kutembea mwaka 1980. Watu walikuwa na  kiwewe kumwona shujaa wao Vijana walivamia fensi na  kukimbiza ndege yake pale airport  Dar!   Watu walisema bora Ali angemtwanga Mzee Nchimbi (picha ya pili). Sijui kwa nini walikuwa wanamchukia.

Muhammad Ali amefariki dunia leo katika hospitali huko Arizona.  Alikuwa na miaka 74.  Alkuwa na ugonjwa wa pneumonia.  Lakini pia alipambana na ugonjwa wa Parkinson's disease (mwili ktetetmeka) muda mrefu.  

Rest in peace Muhammad Ali (1942-2016). 

Kusoma historia ya Muhammad Ali BOFYA HAPA:



No comments: