Showing posts with label Explosion. Show all posts
Showing posts with label Explosion. Show all posts

Saturday, August 10, 2019

Uchu wa Mafuta yaua watu zaidi ya 70 Morogoro - Ajali ya Lori la Mafuta

Jamani wadau, mkiona  mafuta yanavuja kutoka kwenye gari kimbia, siyo mnakimbilia kupata mafuta dezo!  Yanawaka kwa kirahisi mno. Umaskini kitu kibaya sana, maana si ajabu wengine waldihani watuuza hayo mafuta wapate hela ya ugali!   Ona sasa watu zaidi ya  sabini wamepoteza maisha baada yakuungunguzwa! 

Wengine waliokufa ni madereva wa bodaboda na mama nitilie!  Walizoa mafuta hata kwenye ndoo! Na wanasema, mafuta yalilipuka baada ya mtu kuchomoa  betri 
ya lori  na mtu mwingine alikuwa anavuta sigara!   Nasikia huyo mvuta sigara aliambiwa asivute karibu na mafuta.  Alijibu mafuta ya kisasa hayawezi kuwaka moto! Nadhani watakuwemo kwenye watu waliokufa!
Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema mbinguni. Amen.


Kutoka Associated Press
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) — A damaged tanker truck exploded in eastern Tanzania as people were trying to siphon fuel out of it Saturday, killing at least 62 in one of the worst incidents of its kind in the East African country.
Tanzanian state broadcaster TBC, citing police figures, said at least 70 more people were injured during the explosion in the town of Morogoro, located about 120 miles (200 kilometers) from the economic hub of Dar es Salaam.
Regional police commissioner Steven Kabwe told the local Azam TV that many suffered serious burns.
Witnesses told The Associated Press that a crowd had gathered around the fuel tanker after it was involved in an accident early Saturday and some people were trying to siphon away fuel when the truck burst into flames.
Video footage posted on social media showed people collecting fuel into jerry cans before the fire incident.
In a statement expressing condolences, Tanzanian President John Magufuli said he was dismayed people attacked vehicles involved in accidents instead of offering help.
Residents are routinely killed by explosions while stealing fuel from incapacitated tankers in East Africa. Those who steal the fuel usually hope to be able to sell it cheaply to motorists.
In 2013, at least 29 people were killed on the outskirts of the Ugandan capital, Kampala, as scores swarmed around the scene of an accident.
There is limited awareness about the danger of explosions of damaged fuel tankers, said Henry Bantu, a road safety expert who runs the Tanzania-based Safe Speed Foundation. Local leaders need to do more to educate people on the risks, he said.



Watazamaji kwenye shemu ya mlipuko Morogoro

Saturday, January 12, 2019

Oil Tanker Explosion kills 60 in Nigeria

Burning Oil Tanker in Nigeria

By SAM OLUKOYA
Associated Press

   LAGOS, Nigeria (AP) - An overturned oil tanker exploded in Nigeria while dozens of people were scooping up the leaking fuel and many were killed, police and witnesses said Saturday.

   Hundreds of people have died in similar accidents in recent years in Nigeria, Africa's largest oil producer, as impoverished people risk their lives to collect fuel leaking from pipelines or trucks.

   "We have recovered 12 corpses and taken 22 persons with serious burns to hospital," police spokeswoman Irene Ugbo told The Associated Press. She said the blast occurred Friday evening in Odukpani in Cross River state in the southeast.

   But some residents put the death toll closer to 60.

   "The police only recovered a few corpses, many of the other dead were burnt to ashes," witness Richard Johnson told the AP.

   He said about 60 people were inside a pit scooping fuel when the explosion occurred. "It is not likely that anyone inside the pit survived as there was a lot of fuel in the pit," Johnson said.

   He suggested the blast was caused by an electrical generator that had been brought to the scene to help pump out the fuel for people's containers.

   It was not immediately clear what caused the truck to overturn.

   About a year ago, more than 30 residents in the same locality were burnt to death while scooping fuel from an oil tanker involved in an accident.

   Nigeria's worst such accident occurred in 1998, when more than 1,000 people died as the leaking oil pipeline from which they were scooping fuel exploded in the town of Jesse.

   ---

Saturday, February 19, 2011

Picha na Video za Maafa ya Mabomu Dar

Hivi jamani, jeshi inafanya nini kuondoa hayo mabomu yaliyoanguka uraiani? Kuna mengine ambayo hakulipuka, si wananchi wako hatarini? Kuna uwezekano mkubwa kuwa watoto wataende kuyachezea halafu yakalipuka na kuwaua.

************************************************************
Picha kwa hisani ya Bongo5.com na email:

Kombora iliyoanguka kwenye shamba la mchicha

Kombora lililowekewa uzio wa usalama na jeshi la polisi
Wananchi bado wakiwa katika hali ya mshtuko siku baada ya mlipuko wa Mabomu katika kambi ya jeshi Gongo la mboto
Nyumba iliyoathirika na mabomu yaliyolipuka

Picha Kutoka Pugu Secondary School

Mnaweza kuona picha na video zaidi kwa KUBOFYA HAPA:

International Report on Tanzania Explosions

The AP put this story out, but very few media in the USA picked it up,or were very brief in their reporting.

***********************************************************************
2/17/11
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) - Thousands of people crowded a stadium for safety Thursday after a military ammunition depot exploded and showered the city with a series of blasts, killing at least 25 and prompting a stampede getaway.
In the mayhem of residents fleeing the blasts, more than 150 children lost track of their parents, and officials appealed for mothers and fathers to report to the stadium to reunite with their offspring.
"People were just running, so some children were lost in the mobs of people. Now at the centers we are trying to get them connected with their relatives," Red Cross worker Julius Kejo said.
President Jakaya Kikwete promised an investigation into the explosions Wednesday night and Thursday morning, the second fatal military ammo dump explosion in Tanzania's commercial capital in less than two years. An accident at a Dar es Salaam military base in 2009 killed more than a dozen people.
Several houses and a school were leveled during the latest blasts, which sent huge orange bursts into the night sky. Debris showered parts of the city 10 miles (15 kilometers) from the Gongola Mboto military base where the depot was located.
On the base, 23 weapons storage facilities, five vehicles, two soldier dormitories and the general store were destroyed, said Lt. Col. Kapambala Mgawe.
When the explosions hit, thousands of people living in nearby neighborhoods fled. Families scattered, separating parents from their children.
Hidan Ricco, the head of Tanzania's Red Cross disaster management team, said there were about 200 unaccompanied children at the stadium, some of whom are only months old. A city official appealed for parents to find their children.
"We can't figure out how these children ended up here," Ricco said. "We don't know where are their mothers."
The blasts closed the city's international airport, near the Gongola Mboto military base, though it opened later Thursday. Some 4,000 residents were evacuated to the national stadium in Dar es Salaam, which lies along the Indian Ocean in East Africa.
Selina Chacha, 30, was looking for two her boys - ages 8 and 10 - at the stadium.
"I'm so sad that my children are still missing. I have been running up and down looking for my them but they are nowhere to be found," Chacha said, whose house was only 1 mile (2 kilometers) from the blasts.
Stella Philip, 23, was at home cooking when the explosions began around 9 p.m. Her daughter Habiba Saleh, 8, who was playing outside at the time, is missing.
"I have not seen such deafening blasts in my life," she said. "After the blasts everyone ran for his life."
The president visited the site of the blasts and tried to assure a still-jittery public that no more explosions would happen.
Felician Luchagula, a 32-year-old health-related development worker, said he heard blasts beginning at around 9 p.m. Wednesday. They continued for several hours.
"People are getting scared of what may happen to them. People are scared that if they live near a military base it might happen again," he said.
---
Straziuso reported from Nairobi. Associated Press writers Malkhadir M. Muhumed in Nairobi, Kenya and Carley Petesch in Johannesburg contributed to this report.

Friday, February 18, 2011

Blast Kills 25 in Tanzania

Nimeona hii kwenye internet. Lakini inaelekea idadi yawaliokufa ni kubwa zaidi.

***********************************
World Briefs (02/18/11)
From wire reports

Blasts kill 25 in Tanzania
DAR ES SALAAM, Tanzania -- Thousands of people crowded a stadium for safety Thursday after a military ammunition depot exploded and showered the city with a series of blasts, killing at least 25 and prompting a stampede getaway.

In the mayhem of residents fleeing the blasts, more than 150 children lost track of their parents, and officials appealed for mothers and fathers to report to the stadium to reunite with their offspring.

The blasts closed the city's international airport, near the Gongola Mboto military base, though it opened later Thursday. Some 4,000 residents were evacuated to the national stadium in Dar es Salaam, which lies along the Indian Ocean in East Africa

Read more: http://www.post-gazette.com/pg/11049/1126263-82.stm#ixzz1EKmIos00


*************************************************************
Kutoka CNN.Com
(CNN) -- A series of explosions at a military base in Tanzania killed 20 people and displaced 4,000 residents, Prime Minister Mizengo Pinda said Thursday.

In a statement delivered as he adjourned the parliament, Pinda said the blasts occurred Wednesday night at an ammunition bunker at the Gongola Mboto army base in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam. It destroyed 23 munitions depots as well as a nearby school and two houses, and forced 4,000 people to seek shelter at the national stadium.

"The death toll might rise when we ascertain the full extent of the damage caused by the explosions," Pinda said.

Earlier, another official said at least 184 people were injured in the explosions that lit up the night sky in Dar es Salaam and spread debris throughout surrounding areas.
Nyancheghe Nanai, assistant director of disaster management, was unable to say what caused the explosions but added that she "does not think" they were related to terrorism.

Two years ago, explosions at another arms depot in Dar es Salaam left 29 dead from rocket and artillery discharges, Nanai said. Those blasts were not caused by terrorism, she said.

The explosions in the densely populated city rattled neighborhoods and forced the closure of the main international airport, which is near the army base.

Rekodi ya Ajali za JWTZ tangu mwaka 2007

Naomba niwasilishe rekodi ya haraka ya ajali za JWTZ angalau kuanzia mwaka 2007:

DESEMBA 2007
Helikopta ilianguka juu ya Ziwa Natron na watalii wanne, msindikizaji wao mmoja Mtanzania, na maofisa watatu wa JTWZ. Hakuna aliyepoteza maisha lakini ililipuka na kuishilia mbali na moto.

JUNI 2008
Helikopta ya pili ilianguka Oljoro, Arusha, wakati ikianza safari ya kwenda Dar es Salaam. Watu wote sita waliokuwemo ndani walipoteza maisha wakiwemo watoto wawili ambao sijui walibebwa humo kwa minajili gani.

APRILI 2009
Mlipuko mkubwa kwenye kambi ya Mbagala ulitokea na kuua watu 31 na kujeruhi wengine 700. Maelefu walipoteza nyumba zao na serikali ilitumia mamia ya mamilioni kulipa fidia na huenda fedha zilishafika bilioni kadhaa.

SEPTEMBA 2009
Mlipuko mwingine tena ulitokea kwenye kambi ya Mbagala na kuua watoto watatu. Wazazi wao waliishia kulia na kuambiwa kwamba wao ndio waliozisogelea kambi hizo za kijeshi kwani zilipojengwa zamani hakukuwa na nyumba. Majibu rahisi kwa maswali nyeti.

JUNI 2010
Ndege ya jeshi kutoka kambi ya Ngerengere ilianguka kwenye kijiji cha Manga, mpakani mwa mkoa wa Pwani na Tanga, wilayani Handeni, na kuwaua marubani wote wawili. Ndege hiyo ililibatiza lori la watalii ambao waliishia kubwagwa chini na kuporwa mali zao na wahuni na hatimaye kukatisha ziara yao na kurejea kwao Uholanzi wakiwa na simanzi kubwa na mshituko.

OKTOBA 2010
Siku chache kabla ya uchaguzi, Afisa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, ambaye kiutendaji ni ofisa utumishi mkuu, Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo, alitangaza jeshi kuingilia siasa pale alipotoa onyo kwamba wanasiasa wapinzani wakubali matokeo ya uchaguzi ingawa ulikuwa haujafanyika bado. Hakusema iwapo kulikuwa na taarifa za kiintelijensia au la. Bahati nzuri jeshi halikuua mtu.

FEBRUARI 2011
Mlipuko mkubwa ulitokea kwenye kambi ya Gongo la Mboto na hadi sasa bado idadi kamili ya waliouawa haijafahamika lakini imeshazidi 23. Angalau kwa uchache watoto 200 wameokotwa wakiwa hawana wazazi wao. Wananchi zaidi ya 4,000 wamepiga kambi kwenye Uwanja wa Uhuru, Temeke. Shule ya sekondari na nyumba kadhaa kwisha habari yake. Maafa bado yataendelea kwani mabomu yametawanyika kwenye eneo lenye nusu kipenyo cha kilomita 11.

TAREHE INAYOFUATIA
Naomba mtabiri aendelee.

Mobhare Matinyi.

Hali Ilivyokuwa Dar Wakati wa Milupuko


Nimepokea picha na habari hizi kwa email:

Wanaoonekana kwenye picha ni watu wakiwa kwenye malori, wengine juu ya Carrier za mabasi aina ya DCM na wengine wakitembea kwa miguu wakiyahama makazi yako kufuatia tangazo la kuwataka wananchi waondoke maeneo hayo.

Kwa sasa simu hazipatikani, ambulance na magari ya msalaba mwekundu ndiyo yanayotoa msaada kwa walio na dharura.

Kwa anaefahamu mtaa wa Kongo DSM au Makoroboi Mwanza, idadi ya wanaotembea kwa miguu ndiyo hali ninayoiona sasa hivi hapa eneo la Tazara hadi Airport.

Tunaomba polisi wa usalama barabarani wasaidie magari yapite kwani kuzuia yanayotoka mjini au yaendayo barabara za kando ya Nyerere Rd, ni kuwanyima haki ambao wanahitaji kwenda kuokolewa.

Inabidi wahusika wajiuzulu mara moja. Its terrible!!!

Naona mabig shot wanapita na mamisafara yao yasiyo na tija kwa wananchi wakienda na kutokea huko Gongo la Mbotto.

Wednesday, February 16, 2011

Mabomu Dar!

Habari nilizopata nikuwa Julius Nyerere International Airport imefungwa!

Watu watano wamekufa na 4o wameumia. Wanasema idadi itaongezeka.

Kuna bomu ilielekea Ubungo/Magomeni/Kigogo.

Wananchi wameelekezwa waende Uwanja wa Taifa kulala leo. Barabara ya kwenda uwanja wa ndege, Nyerere Road (Pugu Road) Imejaa watu.

Simu hazipatani. Najribu kuwapigia watu pamoja na wazazi wangu Tenki Bovu Dar siwapati.