Showing posts with label Lake Nyasa. Show all posts
Showing posts with label Lake Nyasa. Show all posts
Saturday, October 26, 2013
Sunday, August 18, 2013
Saturday, March 02, 2013
Eti Wavuvi wa Malawi wanapigwa na Askari wa Tanzania?
KUTOKA IPS NEWS
By Mabvuto Banda
By Mabvuto Banda
YAANI ETI NI KWELI ASKARI WETU WANAPIGA WAVUVI WA MALAWI? KAMA KWELI MBONA NI HABARI YA KUSIKITISHA? HIYO ZIWA NI KUBWA SANA!
************************************************
Fishing
families on Lake Malawi, Karonga District. Many fisherfolk have said
they have been beaten up and detained by Tanzanian police since the
dispute over the lake began late last year. Credit: Mabvuto Banda/IPS
KARONGA,
Malawi, Feb 27 2013 (IPS) - Since he was nine years old, Martin Mhango
from Karonga village in northern Malawi has known no other livelihood
than fishing. And for the last 33 years he has been fishing freely on
Lake Malawi – that is, until last October when he was detained and
beaten by Tanzanian security forces.
“They
stopped me, dragged me to the beach where they beat me up and detained
me. They told me that I had trespassed and was fishing on the Tanzanian
side,” Mhango, 42, told IPS. “I was told to never fish on their side
again. He had been fishing on both sides of the lake for years, he
said, just as Tanzanian fisherfolk did.
The dispute over Africa’s third-largest lake, which is also known as Lake Nyasa in Tanzania, dates back half a century.
Malawi
claims sovereignty over the entirety of the 29,600-square-kilometre
lake that straddles the borders of Malawi, Mozambique and Tanzania.
Meanwhile, Tanzania says 50 percent is part of its territory.
The
dispute between both southern African countries reignited when Malawi
awarded exploration licenses to United Kingdom-based Surestream
Petroleum in 2011 to search for oil and gas on Lake Malawi.
Tanzanian authorities want Surestream Petroleum to
postpone any planned drilling on the lake until the dispute is resolved.
But Malawi has remained defiant.
Last
December, the Malawian government awarded the second-largest oil
exploration license (after the Surestream license) to South African
company SacOil Holdings Limited.
So far, oil companies have yet to begin drilling and are still exploring the centre of the lake, which has been cordoned off.
But
several fishing families like Mhango’s that work along Songwe River in
northern Malawi are already caught up in this row, making the fisherman
fear that the two countries will eventually go to war.
After the October incident, Mhango has been careful
not to venture into the waters on the purportedly Tanzanian side, which
has affected his livelihood.
A reduced catch has lowered his income from over 286 dollars per month to just 142 dollars.
“I have all my life been a fisherman and this is the
first time I am unable to fish freely on the lake and I fear for my
future,” he said.
Josiah Mwangoshi, 52,
remembers belonging to two villages when he was growing up – one on the
Malawian side and another on the Tanzanian side.
“My village is right along Songwe River and I
remember that when the river used to shift its course, we would migrate
to the Tanzanian side and later on return to the Malawian side when the
river shifted again,” Mwangoshi told IPS.
“But I am now afraid that the Tanzanians may arrest
me. I can no longer live and fish on the Tanzanian side where I also
have a family, because it’s now clear that the dispute is very deep,” he
said.
Reports of alleged beatings and harassment of
Malawian fisherfolk in October last year forced Malawi’s President Joyce
Banda to cut off the dialogue that had started between the two
countries.
The wrangle deepened when last November Tanzania
published a new map shifting the boundary between Tanzania and Malawi to
the middle of the lake.
Banda, angry with the
new map and Tanzania’s harassment of fisherfolk, called a press
conference in the capital Lilongwe a few days later and announced that
she had protested to the United Nations General Secretary and cancelled a
planned state visit to Tanzania.
But Tanzanian
High Commissioner to Malawi, Patrick Tsere, defended his country’s
actions saying that no Malawian fisherfolk have ever been harassed in
Tanzanian territorial waters.
“Tanzania’s security forces
have never engaged in such behaviour. It’s rather us who have been
worried that Malawian planes have been seen flying into Tanzania
territory without our permission,” Tsere told IPS.
Many believe that the row over the lake has the potential to worsen if significant oil and gas is discovered.
“This
dispute has been around for over 50 years but it has heightened and
entered the public domain now because of the potential of oil and gas
discoveries,” Udule Mwakasungura, the executive director for the Centre
for Human Rights and Rehabilitation, a Malawian NGO, told IPS.
“Lake
Malawi contains more than 2,000 different fish species — our worry is
that oil exploration and its subsequent drilling will affect the fresh
water ecosystem,” he added.
The
lake has been witnessing a decline in fish stocks from 30,000 metric
tonnes a year to just 2,000 tonnes over the last 20 years, according to a
recent Ministry of Agriculture report read in parliament this February.
Last
month, both countries presented their position papers after agreeing
that the dispute would be mediate by the Southern African Development
Community former heads of state, also known as the African Forum.
“We
agreed with Tanzania that we will hand over the mediation to the
African Forum and so far we have both presented our position papers. A
mediation process should commence before the end of this month or early
March,” Malawi’s Secretary for Foreign Affairs and International
Co-operation, Patrick Kabambe, told IPS.
Mhango and Mwangoshi have pinned all their hopes on the mediation efforts.
“I
have been following news reports about this on the radio and my prayer
is that the former African leaders resolve this issue once and for all,”
said Mwangoshi.
Mhango
has similar hopes. “All I want is to go back and start fishing freely
on this lake — because without that, my family’s future is doomed.”
- See more at: http://www.ipsnews.net/2013/02/lake-malawi-dispute-instils-fear-in-fisherfolk/#sthash.TF5ztGpX.dpuf
![]() |
Photo by Mabvuto Banda IPS |
Labels:
Fishing,
Lake Nyasa,
Malawi,
Tanzania,
Uvuvi
Friday, January 25, 2013
Dr. Aleck Che-Mponda Atembelea Ubolozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa
Dr. Aleck Che-Mponda alikutana na Balozi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Mh. Tuvako N. Manongi na Naibu Mwakilishi wa kudumu, Mh. Ramadhani M. Mwinyi, jana, Alhamisi, January 24, 2013 mjini New York.
Dr. Che-Mponda alifanya utafiti muhimu kuhusu mgogoro katika ya Malawi na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa mwaka 1971 kwa ajili ya Ph.D yake kutoka Chuo Kikuu cha Howard (Howard University). Dissertation inaitwa, ''The Malawi-Tanzania Border and Territorial Disputes, 1968: A case study of Boundary and Territorial Imperatives in the new Africa". Dr. Che-Mponda alimkabidhi Mh. Balozi Manongi, nakala la andiko (dissertation) lake. Kwa wasiofahamu, Dr. Che-Mponda ni baba yangu mzazi.
Utafiti aliyofanya zaidi ya miaka 40 uliyopita umekuwa muhimu sana sasa kutokana na Rais wa Malawi, Mh. Joyce Banda kuruhusu makampuni kuchimba mafuta (oil exploration) katika Ziwa Nyasa, akidai kuwa Ziwa yote ni mali/ardhi ya Malawi.
![]() |
Kutoka Kushoto - Mh. Balozi Tuvako Manongi, Dr. Aleck Che-Mponda, Mh. Balozi Ramadhani M. Mwinyi |
![]() |
Kutoka Kushoto - Mh. Noel Kaganda, Mh. Balozi Tuvako Manongi, Dr. Aleck Che-Mponda, Mh. Balozi Ramadhani M. Mwinyi, na shemeji yangu Stanley Harris |
Gazeti la Business Times waliandika kuhusu utafiti wa baba hivi karibuni:
Kutoka Business Times
Britain solved Malawi-Tanzania border issue in 1924, analyst says: League of Nations duly informed in 1925...
Written by MOHAMED KAZINGUMBE
Saturday, 15 December 2012
PUBLIC International Law and related laws were properly followed by the colonial authorities in drawing the border between Tanganyika Territory and Nyasaland Protectorate, a retired scholar has said, stressing that this was done following the Great War of 1914-18, when Britain was ruling both countries.
The latter country was renamed 'Malawi' on independence in 1964, while Tanganyika,which became independent on December 9, 1961, joined Zanzibar in 1964 to form the United Republic of Tanzania.Elaborating on this, Dr Aleck che Mponda – a former senior lecturer in Political Science at the University of Dar es Salaam – said Britain issued a map to that effect in 1924, showing the border as being in the middle of Lake Nyasa, and pointing on other coordinates, with River Pongwe to the north and River Ruvuma to the point where Tanzania's part of the lake ends.Noting that border clashes have threatened to worsen into a territorial war between Tanzania and Malawi twice since independence, che Mponda said it was not altogether surprising that the matter comes up again!
The former lecturer – who hails from the shores of Lake Nyasa – sets the record straight, in elaborate detail, in an academic study conducted in the early 1970s.He points out that the first time this happened was in 1968 when Malawi, under the late Dr Hastings Kamuzu Banda as president, went about claiming that the border was at the Lake Nyasa shore on the Tanzanian side!“Had it not been for efforts to maintain the status quo, the two countries would have fought it out – much to the destruction of their economies, as each would have resorted to strong weapons for the bombing of buildings, bridges, roads, airports and so on,” Dr che Mponda states.That controversy raised eyebrows among global leaders and international institutions, prompting them to engage in fact-finding missions.
At the time, che Mponda was a student at Howard University in the United States, working on a Doctorate of Philosophy in Political Science. In the event, he made the topical Banda claims the basis of his dissertation in 1972. Business Times had an exclusive interview with Dr che Mponda this week, at which he revealed morsels of the matter the subject of controversy between Malawi and Tanzania. Details of the border delineation and related issues are on record, titled ''The Malawi-Tanzania Border and Territorial Disputes, 1968: A case study of Boundary and Territorial Imperatives in the new Africa.'
The latest dispute on the border was triggered after the Tanzania government learned that the incumbent Malawi Government under President Joyce Banda had granted a UK-based company the right to conduct oil exploration over areas of Lake Nyasa which also touch on Tanzania's shores “It is unclear how far President Kikwete and President Banda are sensing the danger ahead as the two neigbouring former British colonies squabble,” Dr che Mponda says.
“Dar has nothing to worry about, as Tanzania stands on the right side of the issue,” he claims, adding that this is on the basis of what he reckoned in examining the facts for his dissertation 40 years ago! Insisting that Public International Law and other pertinent laws and procedures were applied in 1924 by the British government to fix the Tanganyika-Nyasaland boundary, che Mponda dissertation stresses that “the line of the border is drawn right through the middle of the lake, and again to the north of the lake is Northern Rhodesia (Zambia)...”The document further reads, “to the northern tip of Lake Nyasa is River Songwe, which is in Tanzania and continues along the centre line of Lake Nyasa to a point due West of the River Ruvuma, whence the boundary runs East and joins the Ruvuma River, whose course follows to the sea...”Further details quote the authority of the League of Nations Report with Mandatory Power No 7 by His Britannic Majesty's Government on the Administration under Mandate of Tanganyika Territory, 1924. “For more details, further elaborations can be found in the Geneva League of Nations meeting of 1925 on page 5,”
Dr che Mponda specified.The retired academic seems to be conversant with the matter academically, historically – and as a son of the soil of the Lake Nyasa zone. In the event, has has nothing to gain from not telling I t like it is! At 76 years of age, he has many treasures for the new generation to benefit from.The man sees the matter “as a political issue for President Banda who came into the highest office in the land only recently, succeeding the late President Bingu wa Mutharika.“President Joice Banda would like to build confidence among her people as the country approaches the 2014 general elections... To show that she is capable of raising and working upon difficult issues which have troubled her people for decades.”
In any case, Dr che Mponda believes that the conflict would be resolved diplomatically, and that no war would emerge between the two sides, despite the fact that there are signs from various quarters to influence the issue in relation to potential oil gains. The matter will take a low profile to the end, the former lecturer maintains. Some scholars in Dar es Salaam have been puzzled by this attitude of Malawi, which has been a close of Tanzania for years. In any case, the Tanzania Ministry of Foreign Affairs & International Cooperation issued a statement after an abortive meeting between the two sides in Dar es Salaam recently, saying that the matter will now be taken for arbitration at the International Court of Justice, where it would hopefully be properly determined.
Monday, July 30, 2012
Ugomvi Kati ya Malawi na Tanzania Yaendelea - Ziwa Nyasa!
Wadau tangu mimi mdogo miaka ya 70 nakumbuka huo ugomvi kuhusu mpaka wa Malawi na Tanzania. sasa Malawi wameruhusu uchimbaji wa mafuta Ziwa Nyasa. hiyo Ziwa bado ni natural Itachafuka!
![]() |
Bandari ya Kwetu Manda Picha nilipiga mwaka 2009 |
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania has asked Malawi to stop oil and gas exploration activities in Lake Malawi until a border dispute between the two countries involving the lake is resolved, a Tanzanian official said on Monday.
Last October, Malawi said it had awarded oil exploration licenses to UK-based Surestream Petroleum to search for oil in Lake Malawi, which is also known as Lake Nyasa in Tanzania.
"Malawi claims that the whole lake belongs to the country according to colonial boundaries ... But our stated position is that half of the lake belongs to Tanzania," said Assah Mwambene, a spokesman for Tanzania's foreign affairs ministry.
Lilongwe awarded Surestream Petroleum licenses for blocks 2 and 3 in the disputed lake, with a combined area of 20,000 square kilometers.
Tanzanian officials said the 50-year-old territorial dispute between the two countries could escalate if significant oil and gas discoveries are made in the lake.
Mwambene said Tanzanian Foreign Affairs Minister Bernard Membe told his Malawi counterpart, Mganda Chiume, that ongoing oil exploration at the lake could jeopardize talks between the countries over the dispute.
The two ministers met in Dar es Salaam at the weekend to discuss the territorial dispute, Mwabene said.
"Some planes have been spotted flying over Tanzania's side of the lake conducting the oil exploration activities ... there is still room for negotiations over the correct border between Tanzania and Malawi," he said.
Tanzania, which made huge natural gas discoveries off its Indian Ocean coast, said last month it had nearly tripled its estimate of recoverable natural gas reserves to as much as 28.74 trillion cubic feet.
Labels:
Lake Nyasa,
Malawi,
Oil Exploration,
Tanzania
Saturday, March 03, 2012
Ndege ya Kwanza Kutua Ziwa Nyasa
The first aircraft to land on Lake Nyasa was a Lioré et Olivier LeO H-194 flying boat of the 'Aeronavale' (French Fleet Air Arm) piloted by 'Lieutenant de Vaisseau' (Lieutenant-Commander) Marc Bernard. He landed at Fort Johnston in 1927, on his way from Marseilles to Madagascar. It was an epic flight for the time, down through French North Africa, across the Sahara to Mali, then a long flight over very rough territory to Nyasaland, in a single engined aircraft.
However, the faithful Bristol Jupiter (license-built by Gnome-Rhone) performed impeccably, accomplishing the return trip with no incidents.
Originally he was to have been accompanied by a 2nd 'Aeronavale' machine, a CAMS 37 GR, but its Lorraine engine proved less reliable than the Jupiter, and it had to retire in North Africa with crankshaft problems.
End of Article
Thanks to Ant for sharing his memories with ORAFs.
No financial gain is intended from recording these memories of Rhodesia on the ORAFs website or the distribution to those subscribed to the ORAFs newsletters.
Comments are always welcome - please send them to Eddy Norris at orafs11@gmail.com and they will be appended to this article on ORAFs-OurStory website.
This article can be found at http://www.ourstory.com/thread.html?t=548225#673828
Thursday, November 12, 2009
Bandari ya Kyela

Wadau, Ziwa Nyasa ni kubwa mno. Ni kama bahari. Ina mawimbi makali kama bahari. Nilitoka Dar es Salaam na basi, hadi Kyela. Nililala gesti (Pattaya Centre Hole) na asubuhi tuliondoka kuelekea bandarini. Kuna bandari mbili huko Kyela. Hii bandari tuliyoenda ni nje ya mji wa Kyela. Ukitaka kwenda Lupingu, Manda, Mbamba Bay na sehemu kadhaa unapanda meli hapo. Hiyo Meli inaendeshawa na Tanzania Railways.
Siku tuliyoondoka, Oktoba 29, 2009, ndo meli kubwa MV Songea ilikuwa inarudishwa katika huduma. Walikuwa wanaifanyia matengenezao ya mwisho mwisho. Walisema meli itaondoka saa 7 mchana, lakini iliondoka saa 11 jioni. Swahili Time kweli kweli. La sivyo ingebidi tupande meli ndogo MV Iringa kesho yake.
Muda wote huo wasafiri pale bandarini waliishia kuchomwa na jua kali. Yaani kali kuliko hata Dar es Salaam. Kulikuwa na akina mama na watoto wao wengi tu pale. Kivuli hakuna. Kulikuwa na vimiti, na pia kajumba. Hiyo jumba walisema inafunguliwa tu, kama kuna wasafiri wanaolala pale kungojea meli, mfano inachelewa kuondoka. Ofisi ya kuuza tiketi ni kontena.
Kundi la akina mama waliamua kwenda kupeleka watoto wao kuoga pale kwenye beach. Mimi mwenyewe nilitia miguu kwenye maji ili kupooza ile joto. Ajabu, polisi fulani mwenye cheo ndogo sana alitokea na kuwafukuza wale wakina mama na watoto wao pale kwenye maji. Halafu alikuwa anatukana matusi ya nguoni, ila watu wamsikie huko kavaa magwanda yake. Sijui alijiona mtu mkubwa sana kwa kitendo chake.
Ningeomba serikali waweke angalau kibanda chenye kivuli pale, bandari ili watu wasichomwe na jua.
Kuna akina Mama Ntilie pale, na wanapikaga dagaa safi sana!
Jua lina zama. Ziwa Nyasa imetulia.
Bado tuko Kyela
Siku tuliyoondoka, Oktoba 29, 2009, ndo meli kubwa MV Songea ilikuwa inarudishwa katika huduma. Walikuwa wanaifanyia matengenezao ya mwisho mwisho. Walisema meli itaondoka saa 7 mchana, lakini iliondoka saa 11 jioni. Swahili Time kweli kweli. La sivyo ingebidi tupande meli ndogo MV Iringa kesho yake.
Muda wote huo wasafiri pale bandarini waliishia kuchomwa na jua kali. Yaani kali kuliko hata Dar es Salaam. Kulikuwa na akina mama na watoto wao wengi tu pale. Kivuli hakuna. Kulikuwa na vimiti, na pia kajumba. Hiyo jumba walisema inafunguliwa tu, kama kuna wasafiri wanaolala pale kungojea meli, mfano inachelewa kuondoka. Ofisi ya kuuza tiketi ni kontena.
Kundi la akina mama waliamua kwenda kupeleka watoto wao kuoga pale kwenye beach. Mimi mwenyewe nilitia miguu kwenye maji ili kupooza ile joto. Ajabu, polisi fulani mwenye cheo ndogo sana alitokea na kuwafukuza wale wakina mama na watoto wao pale kwenye maji. Halafu alikuwa anatukana matusi ya nguoni, ila watu wamsikie huko kavaa magwanda yake. Sijui alijiona mtu mkubwa sana kwa kitendo chake.
Ningeomba serikali waweke angalau kibanda chenye kivuli pale, bandari ili watu wasichomwe na jua.
Kuna akina Mama Ntilie pale, na wanapikaga dagaa safi sana!


Tuesday, November 10, 2009
Chemi Kijijini Ilela, Manda




Bandari ya Manda

Monday, November 09, 2009
Kivutio cha Watalii kijijini Manda

Wadau, hii kaburi ni la Mjerumani aliyekufa huko Manda mwaka 1904. Alizaliwa 1879. Maandishi yalikuwa kwa kijerumani hivyo sikuelewa vizuri wanasema nini. Nasikia wazungu wakifika kijijini ni lazima wafike huko kuona kaburi. Ni njiani kwenda kanisa la St. Thomas, huko Nsungu. Pia watu huko wanaamini kuwa wajerumani wameacha dhahabu tele huko kijijini. Kila siku watu wanachimba huko kuzitafuta!
Stori inaendea hivi, Mwingereza alipovamia, wajerumani walitia dhahabu yao kwenye sanduku. Waafrika wawili walipewa kazi la kubeba hiyo sanduku. Waliambiwa wachimbe shimo kubwa la kuficha hiyo sanduku. Baada ya kuchimba hilo shimo, waliingiza sanduku. Wajerumani waliwapiga risasi hao waafrika wawili na kuwazika humo humo kwenye shimo na hilo sanduku la dhahabu. Walihofia watasema wameficha wapi hiyo dhahabu. Kuna watu ambao wanaamini kuwa wajerumani wameacha ishara kadhaa kuonyesha walipozika ila sanduku.
Picha zingine zitabandikwa kesho jioni.
Monday, April 14, 2008
Twende tukaogelee!

Vijana wakienda kuogelea huko Ziwa Tanganyika mwaka 1930. Picha kutoka 'Phtography and Image' Blog
Nakumbuka kuona vijana wakienda kuogelea hivyo uchi, huko kwetu Ziwa Nyasa.
Subscribe to:
Posts (Atom)