Wasdau, hebu nisaidie kujua hii ni ngoma ya kabila gani? Picha imepigwa mwaka 1907 miaka mia moja iliyopita. Ilipigwa enzi za Mjerumani wakati Tanzania ni German East Africa.
Showing posts with label German East Africa. Show all posts
Showing posts with label German East Africa. Show all posts
Saturday, June 11, 2016
Friday, September 28, 2012
Wajarumani Kufufua Reli ya Kati (Central Line)
Jamani, tuliachiwa reli nzuri na wakoloni, tukaizembea hadi ikaoza. Sasa inabidi warudi kuifufua zaidi ya miaka 50 ya Uhuru. Tunasonga mbele, au tunarudi nyuma? Ufisadi unaharibu nchi!
******************************************************
Kutoka The Guardian:
Germany Willing to Support Revival of Central Railway
By Khalfan Said
28th September
The German government is ready to support the reviving of the ailing central railway line, the ambassador of the Federal Republic of Germany, Klaus Peter Brandes has revealed.
Speaking at the embassy in Dar es Salaam yesterday, during the questions and answers session at a news brief on the upcoming second African Logistics Conference, (ALC), the envoy said, “If the government of Tanzania thinks that Germany can participate in reviving central railway line, we are ready,” he affirmed.
The envoy also said his government has been supporting many projects like water and electricity, as those were the projects picked by the government of Tanzania to receive assistance from German. “So far the government of Tanzania has not yet asked for German’s support on the re-built central line,” he clarified.
The Central Line (formerly named by German as: Tanganjikabahn or Mittellandbahn) was the second railway project coming into existence in the colony of the then German East Africa after the Usambara Railway, it runs west from Dar es Salaam to Kigoma via Dodoma and another route leads to Mwanza.
“I would be more than happy to see the minister for transport, Dr Harrison Mwakyembe when he comes back from Germany where he went to get the German experience on railway sector.” Ambassador Klaus said.
Currently Dr Mwakyembe is on a work trip in German.
Speaking about the ALC event which will take place later next month in Dar es Salaam, Ambassador Klaus said, the conference comes in a crucial moment as Sub-Sahara Africa faces some unique opportunities as well as challenges in terms of logistics and supply chain managers and humanitarian logisticians in particular.
Briefing the media on the aim of the conference, Dr. Jennifer Schwarz, from Swiss based Kuehne Foundation, said in addition to traditional logistics topics like “Railway and Development” the conference will cover mainly subjects like, capacity building in humanitarian logistics, food security and distribution in Eastern Africa.
The conference that will take place on October 4 to 5 this year has been organized by the foundation and the National Institute of Transport, (NIT), with support from various stake holders including the German embassy.
On his part, NIT director general, Elifadhili Mgonja, said the conference will bring together experts across the globe in railway transportation and humanitarian logistics. “The main objective is to share among participants the expertise, experiences and intelligent planning tools on how best the Tanzania railway sub sector could be molded to serve better the individual country’s economy.” He said.
The history of railways in Tanzania goes way back in time during the German colonial era in the early 1880s’ the first ever railway line in East Africa was built by the Germans from Tanga.
SOURCE: THE GUARDIAN
******************************************************
![]() |
Central Line Train in Tanzania |
Kutoka The Guardian:
Germany Willing to Support Revival of Central Railway
By Khalfan Said
28th September
The German government is ready to support the reviving of the ailing central railway line, the ambassador of the Federal Republic of Germany, Klaus Peter Brandes has revealed.
Speaking at the embassy in Dar es Salaam yesterday, during the questions and answers session at a news brief on the upcoming second African Logistics Conference, (ALC), the envoy said, “If the government of Tanzania thinks that Germany can participate in reviving central railway line, we are ready,” he affirmed.
The envoy also said his government has been supporting many projects like water and electricity, as those were the projects picked by the government of Tanzania to receive assistance from German. “So far the government of Tanzania has not yet asked for German’s support on the re-built central line,” he clarified.
The Central Line (formerly named by German as: Tanganjikabahn or Mittellandbahn) was the second railway project coming into existence in the colony of the then German East Africa after the Usambara Railway, it runs west from Dar es Salaam to Kigoma via Dodoma and another route leads to Mwanza.
“I would be more than happy to see the minister for transport, Dr Harrison Mwakyembe when he comes back from Germany where he went to get the German experience on railway sector.” Ambassador Klaus said.
Currently Dr Mwakyembe is on a work trip in German.
Speaking about the ALC event which will take place later next month in Dar es Salaam, Ambassador Klaus said, the conference comes in a crucial moment as Sub-Sahara Africa faces some unique opportunities as well as challenges in terms of logistics and supply chain managers and humanitarian logisticians in particular.
Briefing the media on the aim of the conference, Dr. Jennifer Schwarz, from Swiss based Kuehne Foundation, said in addition to traditional logistics topics like “Railway and Development” the conference will cover mainly subjects like, capacity building in humanitarian logistics, food security and distribution in Eastern Africa.
The conference that will take place on October 4 to 5 this year has been organized by the foundation and the National Institute of Transport, (NIT), with support from various stake holders including the German embassy.
On his part, NIT director general, Elifadhili Mgonja, said the conference will bring together experts across the globe in railway transportation and humanitarian logistics. “The main objective is to share among participants the expertise, experiences and intelligent planning tools on how best the Tanzania railway sub sector could be molded to serve better the individual country’s economy.” He said.
The history of railways in Tanzania goes way back in time during the German colonial era in the early 1880s’ the first ever railway line in East Africa was built by the Germans from Tanga.
SOURCE: THE GUARDIAN
![]() |
Tanzania Train routes |
Labels:
Central Line,
German East Africa,
Germany,
Train,
Usafiri
Friday, July 06, 2012
Bayume Mohamed Hussein (1904-1944) Aliuwawa na Hitler
![]() |
Bayume Mohamed Husen 1904-1944 |
***************************************************************
Bayume Mohamed Husen was born (Feb 22 1904) in Dar es Salaam, German East Africa, now Tanzania, and died (Nov 24th 1944) in Sachsenhausen concentration camp. (birth name: Mahjub bin Adam Mohamed). He was an African-German Askari and actor. Husen served in World War I in the protection force of German East Africa as a child soldier. After the war and the end of German colonial rule, he could not seem to connect to the service of Great Britain, which had Tanganyika as a "mandate". Temporarily Husen worked in Zanzibar as a teacher and as a "boy", as a servant to British and German ships. In 1925 he was hired on to a ship of the German East African line as a waiter.
In 1929 he went to Berlin to demand unpaid wages of his father's and his. The request was rejected by the Foreign Office on the grounds that the fund had already been settled. Attempting to return him to Africa, Husen opposed and instead he settled in Berlin. He worked as a waiter in the "Wild West Bar" at Potsdamer Platz in Berlin from April 1930 until his dismissal in 1935.
From 1931 to 1941 Husen was also at the "foreign studies department," of the University of Berlin as a Swahili Language instructer/assistant. He instructed officials who were to be prepared for the planned subsequent recovery of the German colonies by the German Reich. For a relatively low salary, he worked under the founder of the German African Studies, a former missionary Diedrich Westermann.
In April 1941 he resigned his duties at the university, apparently because of the humiliating treatment by a professor. In January 1933, three days before the appointment of Hitler as Chancellor, he married Mary Schwandner. In March 1933 they bore a son, Ahmed Adam Mohamed Husen. Another daughter, Anne Marie Husen, was born in September 1936. Both of the children died during childhood.
Between 1934 and 1941, Bayume Mohamed Husen had starred in at least 23 German film productions. He had his first role in the movie titled "The Riders of German East Africa". In the movie "To New Shores" Husen 1937 stood alongside the main actors as an extra and also with small speaking roles. He occasionally took on the role of a consultant in the language of Swahili. His biggest role was also his last: Between August 1940 and February 1941 Husen played in the Nazi propaganda film, "Carl Peters" as Ramadan, a guide and interpreter of the "colonial pioneer," Carl Peters.
In August 1941 he was arrested by the Gestapo( "Secret State Police") because of a relationship with a white woman (Aryan). Since there was no legal basis for a conviction - for blacks, there was indeed a ban on marriage, but no sex ban was with "Aryan women" - he transferred to the Sachsenhausen concentration camp. Shortly thereafter, his wife filed for divorce, probably under pressure from the Nazi authorities. After 3 years in the camp Husen died in November 1944 as a result of bad prison conditions. (ref: Bechhaus-Gerst. 2007)
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
http://www.dw.de/dw/article/0,,5065360,00.html
Tuesday, March 01, 2011
Usafiri Enzi Za MJerumani
Monday, November 09, 2009
Kivutio cha Watalii kijijini Manda

Wadau, hii kaburi ni la Mjerumani aliyekufa huko Manda mwaka 1904. Alizaliwa 1879. Maandishi yalikuwa kwa kijerumani hivyo sikuelewa vizuri wanasema nini. Nasikia wazungu wakifika kijijini ni lazima wafike huko kuona kaburi. Ni njiani kwenda kanisa la St. Thomas, huko Nsungu. Pia watu huko wanaamini kuwa wajerumani wameacha dhahabu tele huko kijijini. Kila siku watu wanachimba huko kuzitafuta!
Stori inaendea hivi, Mwingereza alipovamia, wajerumani walitia dhahabu yao kwenye sanduku. Waafrika wawili walipewa kazi la kubeba hiyo sanduku. Waliambiwa wachimbe shimo kubwa la kuficha hiyo sanduku. Baada ya kuchimba hilo shimo, waliingiza sanduku. Wajerumani waliwapiga risasi hao waafrika wawili na kuwazika humo humo kwenye shimo na hilo sanduku la dhahabu. Walihofia watasema wameficha wapi hiyo dhahabu. Kuna watu ambao wanaamini kuwa wajerumani wameacha ishara kadhaa kuonyesha walipozika ila sanduku.
Picha zingine zitabandikwa kesho jioni.
Monday, September 28, 2009
Askari Wakisoma Gazeti la Kiongozi 1916


Ramani ya Enzi za Mjerumani

Kwa wadua wasiojua, hapo zamani za kale, Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika. Hii picha ni ya enzi za Mjerumani wakati ni German East Africa. Bibi yangu marehemu alikuwa mtoto mdogo Mjeruman alipotua pale Manda, Ludewa Ziwa Nyasa. Anasema walikuwa wanacheza halafu wakatokea wazungu kwenye maboti.
Labels:
Burunidi,
German East Africa,
Lake Tanganyika,
Map,
Rwanda
Wednesday, March 05, 2008
Post cards za Edith Bambury Ward - Alifariki 1929


jukuu wa Edith Bambury Ward ameweka collection ya post cards za bibi yake kwenye internete. Zimepigwa sehemu mbalimbali na zinaanzia miaka ya 1890's. Bibi Ward alifariki dunia 1929.
Mjukuu wake anasema ana uhakika kuwa bibi yake angefurahi sana kuona watu wanafurahia collection yake miaka zaidi ya sabini tyangu kifo chake.
Picha nilizoweka ni za enzi za mjerumani - German East Africa.
Unaweza kuona Collection yote hapa: EDITH BAMBURY WARD
Labels:
Edith Bambury Ward,
German East Africa,
Postcards
Tuesday, February 26, 2008
Binti Daria Adamu Juma

Hii habari inatoka kwa mdau aliyeona hii picha ya 'Mzungu na mke wake 1905' . Bado hatujajua ni akina nani hao katika picha hii. Lakini Bwana Komba Muhili ameniletea habari za mzaa babu yake aliyelazimishwa kuolewa na mjerumani wakati huo huko Songea.
********************************************************************************
Binti Daria Adamu Juma
Imeandikwa na Komba Muhili
Hii picha inanikumbusha marehemu Mama mkubwa yaani Bibi yake Baba. Alikuwa anaitwa daria Binti Adamu alifariki mwaka 1981. Tulikuwa tunahisi alifariki akiwa na miaka 107. Alikuwa akitusimulia Habari za wajerumani wakati akisimulia alikuwa analia sana mpaka tunamwambia asilie kwani atatupa majonzi sana.
Yeye na familia yake waliishi katika Kijiji kimoja kiitwacho Rumecha, Songea wakati wa vita ya Maji maji alikuwa na miaka kama kumi na sita alikuwa amewekwa ndani si kama amefungwa amewekwa ili achezwe unyago pune vita ikaanza na wajerumani wakvamia kijiji chao.
Klichotokea ni cha kusikitisha baadhi walitekwa na wengine walikimbia cha kusikitisha zaidi yeye alikuwa mwali ndani akuweza kukumbia pamoja na familia yake ilibidi wakamatwe kilichotokea wazazi wake na nduguzake wote walipigwa Risasi na kufa papo hapo. Huku akiwaona wazazi wake wakiuliwa na wajerumani.
Kilichotokea yeye alichukuliwa na kamanda mmoja wakijerumani akawa mke wake bila ridhaa yake mwenyewe. Alikuwa aklia sana akikumbuka wazazi wake na nduguze alikaa na yule mjerumani zaidi ya miaka kumi na tano kama mke na mume kwani akuweza kufanya kitu chochote. Kilichotokea vita ilivyoisha tu yule mzungu akaenda nae Ujerumani na wakaishi huko na kubahatika kupata watoto wawili wakiwa na asili ya kizungu.
Baada ya kuzaa mtoto wa pili alilia sana na akaanza kususa hata kula akiulizwa shida nini akasema nakumbuka sana nyumbani hasa ndugu zangu. Basi yule mjerumani alichofanya alikuja nae mpaka Tanganyika akamuacha Bandari salama mwaka 1918 wakati vita ya kwanza ya Dunia ilivyokwisha.
Alivyofika hapa nyumbani alibusu ardhi ya Tanganyika huku akilia sana kwa uchungu alikuwa anafikilia watoto wake aliowaacha Ujerumani. Basi alifanikiwa kufika kijiji kwao kule Rumecha,Songea lakini akumfahamu mtu yeyote kilichotokea pale alipokewa na kukaribishwa kwa furaha.
Sasa kuna Mtu mmoja alitokea kumpenda sana Daria kilicho tokea pale alikubali kuolewa na yule mzee alikuwa anaitwa muhili komba na hatimae wakabahatika kupata watoto watano. Kati ya hao mmoja wapo ndio babu yangu mzaa baba na bahati nzuri niliishi nae. Mama mkubwa takribani miaka mitatu nikiwa na akili chakushangaza alikuwa mzee sana lakini meno yake yote yaliku meupe na hajang`oa hata moja.
Kwa kusema ukweli alikuwa mzuri sana nafikiri hata yule Mjurumani alimpenda kwa uzuri wake .Nimeona niwape kisa hiki ili nanji muone huko tilikotoka.
Thursday, February 21, 2008
Mke wangu Mpendwa!
Hii picha pia iko kwenye collection ya Northwestern University, lakini hawajui ni akina nani. Imepigwa Tanganyika enzi za Mjerumani.
Thursday, November 15, 2007
Enzi za Mjerumani Tanganyika 1885-1918




Kabla ya King's African Rifles (Mwingereza) kulikuwa na German Native Infantry (Mjerumani). Hao native infantry walipgana katika vitu kuu ya dunia ya kwanza (World War I).
Kwa habari na picha zaidi someni:
http://germanhistorydocs.ghi-dc.org/sub_image.cfm?image_id=1433&language=english
Subscribe to:
Posts (Atom)