Monday, August 06, 2007

Wajua tunda shokishoki?




Hii tunda inatiwa Shokishoki . Kwa Tanzania inapatikana kwenye visiwa vya Zanzibar na Pemba. Huko nje ina shepu ya ajabu na ya kutisha. Lakini ukilibonyeza kidogo unasikia kapopu halafu ndani kuna tunda tamu sana.
Asili ya hiyo tunda ni China.

No comments: