Tuesday, September 18, 2012

Mh. Shy-Rose Bhanji Atoa Shs. 2 Milioni Kwa TAMWA


Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Ndugu Ananilea Nky, akikmkaribisha Mbunge wa Afrika Mashariki, Mh. Shy-Rose Bhanji kwenye ofisi za TAMWA, Sinza

Mbunge wa Afrika Mashariki, Mh. Shy-Rose Bhanji akikabidhi shs. milioni mbili (2,000,000/-)  kwa TAMWA ikiwa ni mchango wake kwa TAMWA kuendeleza harakati zake nchini.

No comments: