Saturday, December 29, 2012

Rais Kikwete Amjulia Hali Father Mkenda Aliyepigwa Risasi Zanzibar




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali  Padri Ambros Mkenda wa Kanisa Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam leo Jumamosi Dsemba 29, 2012 kufuatia kupigwa risasi sehemu za mdomoni na watu wasiojulikana mapema wiki hii  wakati akisubiri kufunguliwa geti  la nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndani ya gari aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka.

PICHA NA IKULU

2 comments:

Anonymous said...

Sasa Da Chemi, what have the above comments got to do with "Rais Kikwete Amjulia Hali Father Mkenda Aliyepigwa Risasi Zanzibar"?

Anonymous said...

Jamani tuache UDINI Tanzania!!!