Thursday, April 28, 2011

Mama Bishanga Ameremeta!!!

Bwana na Bibi Marolen baada ya kufunga ndoaKwa mila ya waMakua kwa wanawake hulala chini na bibi arusi kupita juu yao mpaka kwenye kiti atapokaa.
Familia ya Hatia, familia ya Mrope, na familia ya Kamota wakipiga picha ya pamoja na wanaarusi



Wadau, Mama Bishanga jina halisi Christina Innocent Hatia amefunga ndoa hivi karibuni huko Dar es Salaam, Tanzania. Bwana harusi ni Mr. Marolen kutoka Afrika Kusini.

Arusi ilifanyika siku ya tarahe 5 Machi, 2011 katika knaisa la St. Peters Oyster Bay. Reception ilifanyika Peacock Hotel.

Nawatakia maisha mema ya ndoa.

2 comments:

Anonymous said...

Hongera che mwali......
Walikupigia che nkwanda...?

Anonymous said...

CHE MWALI ULIPENDEZA BAA KUMBE WEWE WA MASASI?