Thursday, October 11, 2012

Wasichana Wanaosaidiwa na Flaviana Matata Foundation



Leo ni sikukuu ya Kimataifa ya Msichana.  Flaviana Matata Foundation imetoa picha hii ili kuweza kuwatambulisha wasichana wanao wasaidia katika elimu. 
Hongera kwa Kazi nzuri Flaviana Matata Foundation.

1 comment:

emuthree said...

Ndivyo inavyotakiwa kama una uwezo saidia wenzako, na sio kwamba una uwezo, lakini umejaliwa kidogo, toa katika hicho kidogo ulichojaliwa, hii inakuongezea baraka katika mapato yako!