Tuesday, July 08, 2014

Brazil Wapondwa Vibaya na Ujerumani Katika Mashindano ya World Cup!

Katika Mashindano ya Kombe la Dunia huko Brazil, Brazili ilipondwa vibaya sana na Ujerumani!  Brazil wameanguka  1-7.  Duh! Hata Pele ana aibu!

Kwa habari za Ushindi wa Ujerumani BOFYA HAPA:

Shabiki wa Brazil akilia machozi baada ya Brazil Kutolewa katika mashindao ya World Cup. Unaweza kuona picha zaidi kwa  KUBOFYA HAPA:

No comments: