Wenzeny wanavumilia shauri ya kutaka makaratasi!
Showing posts with label Mapenzi. Show all posts
Showing posts with label Mapenzi. Show all posts
Thursday, April 07, 2016
Wewe na Mpenzi Wako Kibonge!
Labels:
Big Butt,
Fat,
green card,
Kibonge,
Mapenzi,
Matako Makubwa,
Mnene,
Ngono,
Obesity
Saturday, October 03, 2015
Thursday, July 03, 2014
CULTURAL WARS TRAILER - Sinema Mpya Iliyotengenezwa na waTZ New York!
The new movie, “Cultural Wars”, is now available on DVDs and there is also an online option to purchase your electronic copy for your Ipad. To get your DVD or electronic copies please visit the following websites:
The trailer for the movie is available to watch for free at:http://www.youtube.com/watch?v=B2rnWOufA38
This is a must-watch family movie that narrates a love story in New York City. It is also a D. J. Mhella production’s first full-length feature. Mhella is an independent filmmaker and he needs your support in making his filming dreams come true. Your support through buying this movie will be appreciated.
For any support and questions please write to: DJMhellaproduction@gmail.com
Labels:
Cultural Wars,
Deogratius Mhella Sinema,
Harusi,
Mapenzi,
New York
Saturday, June 07, 2014
Bi KIzee Mwenye Miaka 91 Asema Ngono Bado Ni Tamu na Mpenzi Wake Kijana!
![]() |
Kyle Jones (31) na mpenzi wake Majorie McCool |
Duh! Wadau, kuna Bi Kizee mwenye miaka 91 huko Pennsylvania anayesema kuwa yeye na mpenzi wake mwenye miaka 31wanafanya mapenzi kila mara na ni tamu mno! Huyo Bi Kizee anasema kuwa ingawa wamepishana miaka 60 wanapendana kama vijana wadogo! Wanafanya mapenzi kila wakipata nafasi!
Huyo kijana Kyle Jones, anasema kuwa yeye anapenda sana wazee na hajawahi kuwa na mpenzi kijana. Mpenzi wake wa kwanaza alpokuwa na miaka 18 alikuwa na miaka 50. Kijana anasema anapenda sana kuona ngozi iliyosinyaa (wrinkled). Huyo Bi Kizee mwenye wajukuu wenye umri mkubwa kuliko mpenzi wake anasema kuwa anaona wivu akimwona akiongea na mwanamke mwingine.
Kwa vile wanasema kuwa ngono unakufanya uonekane kijana, basi huenda huyo bibi akaiishi miaka 20 zaidi. Hongera zao!
Kusoma Habari Kamili BOFYA HAPA:
Pennsylvania, USA: Kyle
Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time
and says: "I like the neck lines and wrinkles".
An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a
relationship with a 91-year-old great grandmother.
Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous
pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old
mother.
For the last five years he has been in a casual relationship with
91-year-old Marjorie McCool.
And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and
can’t keep their hands off each other.
Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is
wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like
other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Pennsylvania, USA: Kyle
Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time
and says: "I like the neck lines and wrinkles".
An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a
relationship with a 91-year-old great grandmother.
Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous
pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old
mother.
For the last five years he has been in a casual relationship with
91-year-old Marjorie McCool.
And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and
can’t keep their hands off each other.
Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is
wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like
other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Pennsylvania, USA: Kyle
Jones, 31, from Augusta, Georgia, admits seeing up to five at one time
and says: "I like the neck lines and wrinkles".
An extreme toy-boy dates women more than three times his age and is in a
relationship with a 91-year-old great grandmother.
Baby-faced Kyle Jones, 31, from Augusta, Georgia, dates numerous
pensioners at a time and even takes them home to meet his 50-year-old
mother.
For the last five years he has been in a casual relationship with
91-year-old Marjorie McCool.
And despite the 60-year age gap, the pair have an active sex life and
can’t keep their hands off each other.
Kyle, who lives in Pittsburgh, Pennsylvania, said: “Everyone’s brain is
wired differently, some guys prefer blondes, some brunettes, some like
other guys - I like old ladies.”
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/lifestyle/article/2000123813/toy-boy-31-dating-a-91-year-old-grandmother-and-they-still-have-an-active-sex-life
Sunday, June 01, 2014
Ugonjwa wa Akili Unazidi Wanaume Wakamatwa Wakifanya Mapenzi na Mbuzi!
Sijui ni nyege mwasho! Hivi inakuwaje mwanaume anafanya ngono na mnyama! Yaani mnaingiza nyeti zenu kwenye kidudu cha mnyama! Halafu baada unadiriki kufanya ngono na bindamu mwenzio! Khaa! Hamwogopi magonjwa? Ugonjwa wa Kaswende ulitokana na midume kufanya ngono na ng'amia! Na wanasema UKIMWI unatokana a wanuma kufanya ngono na nyani!
Haya mwingine huyo mwaka jana! Alipigwa kichapo kikali!
Mwingine huyo kakamatwa Dar es Salaam
![]() |
Hii ilitokea KENYA. Kwa habari zai tukio hii BOFYA HAPA |
Haya mwingine huyo mwaka jana! Alipigwa kichapo kikali!
![]() |
Kusoma habari za tukio hii BOFYA HAPA |
![]() |
Kusoma habari za tukio hii BOFYA HAPA |
![]() |
Na mwingine babati alimgeuza Mbuzi kuwa mke wake! Soma habari kamili kwa kuBOYFA HAPA: |
Wednesday, October 16, 2013
Kondomu ya Kisasa Itakuwa na Kinga Dhidi ya UKIMWI
Wadau, habari njema hasa kwa wanawake. Kuna kondomu iliyobuniwa ambayo itazuia mimba na magonjwa. Hiyo kondomu ni kwa ajili ya wanawake. Utaweza kuivaa siku kadhaa ukeni halafu inayeyeyuka enyewe. Ikiyeyuka unaweka nyingine. Mpenzi wako hataisikia! Jamani, tunaomba ije haraka hata leo hii!
*********************
In October of this year, the Bill & Melinda Gates Foundation awarded University of Washington researchers almost $1 million to pursue a new female condom made from a futuristic fabric that's electrically spun from tiny, nanometer-sized fibers. This weaving process allows the condom's fabric to do a number of things traditional latex can't, such as delivering anti-viral drugs, releasing chemical contraceptives into the bloodstream (just like the birth control patch), or even dissolving after a few days of wear. Kwa habari kamili BOFYA HAPA:
*********************
In October of this year, the Bill & Melinda Gates Foundation awarded University of Washington researchers almost $1 million to pursue a new female condom made from a futuristic fabric that's electrically spun from tiny, nanometer-sized fibers. This weaving process allows the condom's fabric to do a number of things traditional latex can't, such as delivering anti-viral drugs, releasing chemical contraceptives into the bloodstream (just like the birth control patch), or even dissolving after a few days of wear. Kwa habari kamili BOFYA HAPA:
![]() |
Female Condom Teaching Model |
Monday, October 07, 2013
Huyo Dada Anaomba Ushauri Wenu - Mazito
Nimepokea kwa E-mail:
"Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.
So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."
"Naitwa MARRY nipo chuo mwaka wa pili. Nna rafiki yangu mmoja ambaye nipo nae chuo ambaye ni family friend wetu maana parents wake na wangu wana ukaribu since muda mrefu kidogo. Huyo Baba wa best yangu aliwahi kunitokea kipindi cha nyuma na alikuwa akinipa zawadi za gharama sana ikiwemo laptop na simu ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwangu chuoni ingawa rafiki yangu hajui kuhusiana na hilo.
So ili kuzidisha ukaribu wa family zetu nikaona sikuona sababu ya kumnyima ila nilimuomba tufanye kwa siri sana ili tusije gundulika, na hadi leo tunaendeleza uhusiano wetu. Sasa juzi wakati nipo nae hotelini wakati amekwenda kuoga nikachunguza simu yake nikakuta picha za mama yangu akiwa kapiga nae faragha na jumbe nyingi za kimapenzi walizochat kupitia WhatsApp, Viber na sms. Kitendo cha Mama yangu kumsaliti baba yangu, na pia kutaka kunipokonya bwanaangu kimeniuma sana sio siri. Naomba mnishauri cha kufanya ili niweze kuwatenganisha kwa amani ili familia zetu ziendeleze ukaribu bila wengine kugundua kinachoendelea. Please I need your help on this."

Labels:
Adultery,
Mapenzi,
Ngono,
Sugar Daddy,
Wapenzi
Sunday, July 07, 2013
Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!
Nimepokea kwa E-Mail:
Na Mdau A.R.
Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoaFriday, July 05, 2013
Sunday, June 30, 2013
Kwa nini Wanaume Wanalala Baada ya Tendo la Ndoa?
Haya akina mama/dada. Nadhani wote tumekutana na hii tatizo la wanaume kulala wakimaliza shughuli yao katika tendo la ndoa! Hebu soma hii habari.
************************************************************
Na Mdau Mtambuzi wa Jamii Forum
Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu mzima kama kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao, pale wenzi wao wanapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu baada ya kumaliza tendo la kujamiiana.
Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni katika kuepuka lawama hizo, kwamba, kumbe siyo hiyari yao, bali ni maumbile.
Wanasayansi hao wamebaini kwamba, kwa sababu za kimaumbile ubongo wa wanaume unawalazimisha kulala muda mfupi baada ya kushiriki tendo la kujamiiana. Katika utafiti wao wanasayansi hao walibaini kwamba, kwa jinsi ubongo wa mwanaume ulivyotengenezwa, pale wanapomaliza tendo la kujamiiana na kufika kileleni kuna eneo linalozimika na kuwafanya kupata usingizi.
Wakati hilo likitokea kwa wanawake hali ni tofauti, kwani wao hubaki wakikodolea macho dari wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali lukuki, wakijihisi kutowaridhisha wapenzi wao.
Utafiti huo ulifanyika kwa kuhusisha kipimo cha kumulika, maarufu kama scan, ambapo kilitumika kuwamulika wanaume katika ubongo wao pale wanapofanya tendo la kujamiiana na baada ya kumaliza kujamiiana na kufika kileleni na kubaini kwamba, eneo linalojulikana kama cerebral cortex, eneo linalohusika na ‘fikra’ huzimika baada ya mwanaume kufika kileleni.
"Utafiti huu unatupa matokeo ya kile kinachotokea ndani ya ubongo pale mwanaume anapofika kileleni.” Gazeti la Mirror lilimnukuu mwanasayansi mmoja wa serikali ya Ufaransa aitwae Serge Stoleru.
“Lakini kwa wanawake inaonekana ni tofauti kabisa……” Aliongeza kusema mwanasayansi huyo.
Mwanasayansi huyo aliendelea kusema kwamba, wanawake hushangazwa sana na jambo hilo na ndio sababu hubaki wakiwashangaa wapenzi wao wanapolala baada ya kumaliza tendo il hali wao wakitaka zaidi….
Kwa hiyo hakuna sababu ya wanawake kuwalaumu tena wanaume baada ya kumaliza tendo na kulala kwa sababu hivi sasa wameshajua sababu, watuwache tupumuwe……
************************************************************
Na Mdau Mtambuzi wa Jamii Forum
Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu mzima kama kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao, pale wenzi wao wanapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu baada ya kumaliza tendo la kujamiiana.
Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni katika kuepuka lawama hizo, kwamba, kumbe siyo hiyari yao, bali ni maumbile.
Wanasayansi hao wamebaini kwamba, kwa sababu za kimaumbile ubongo wa wanaume unawalazimisha kulala muda mfupi baada ya kushiriki tendo la kujamiiana. Katika utafiti wao wanasayansi hao walibaini kwamba, kwa jinsi ubongo wa mwanaume ulivyotengenezwa, pale wanapomaliza tendo la kujamiiana na kufika kileleni kuna eneo linalozimika na kuwafanya kupata usingizi.
Wakati hilo likitokea kwa wanawake hali ni tofauti, kwani wao hubaki wakikodolea macho dari wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali lukuki, wakijihisi kutowaridhisha wapenzi wao.
Utafiti huo ulifanyika kwa kuhusisha kipimo cha kumulika, maarufu kama scan, ambapo kilitumika kuwamulika wanaume katika ubongo wao pale wanapofanya tendo la kujamiiana na baada ya kumaliza kujamiiana na kufika kileleni na kubaini kwamba, eneo linalojulikana kama cerebral cortex, eneo linalohusika na ‘fikra’ huzimika baada ya mwanaume kufika kileleni.
"Utafiti huu unatupa matokeo ya kile kinachotokea ndani ya ubongo pale mwanaume anapofika kileleni.” Gazeti la Mirror lilimnukuu mwanasayansi mmoja wa serikali ya Ufaransa aitwae Serge Stoleru.
“Lakini kwa wanawake inaonekana ni tofauti kabisa……” Aliongeza kusema mwanasayansi huyo.
Mwanasayansi huyo aliendelea kusema kwamba, wanawake hushangazwa sana na jambo hilo na ndio sababu hubaki wakiwashangaa wapenzi wao wanapolala baada ya kumaliza tendo il hali wao wakitaka zaidi….
Kwa hiyo hakuna sababu ya wanawake kuwalaumu tena wanaume baada ya kumaliza tendo na kulala kwa sababu hivi sasa wameshajua sababu, watuwache tupumuwe……
Labels:
Kulala,
Mapenzi,
Ngono,
Tendo la Ndoa,
Wapenzi
Saturday, June 22, 2013
Romeo na Juliet wa Congo Wajinyonga!
Wadau, mnajua ile hadithi ya Romeo na Juliet? Vijana wawili walioishi Uingereza mwaka 1597 waliopendana sana lakini wazazi wao walikataa wasifunge ndoa kwa vile mwanaume alitokea ukoo maskini. Romeo na Juliet walijiua kwa kunywa sumu. Sasa, huko Congo hao wapenzi wamejinyonga pamoja baada ya wazazi wao kukataa wasifunge ndoa! Rest in peace.
*********************************
KUTOKA MASAI NYOTA MBOFU BLOG
http://www.masainyotambofu.blogspot.ca/
NAOMBENI RADHI KWA PICHA HII: TUKIO LA KUHUZUNISHA! MVULANA NA MSICHANA WAJINYONGA HADI KUFA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE!!! SOMA HAPA

Mkasa huu
umetokea huko Congo.
Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukuma la
kujinyonga kwa kujininginiza kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa
mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo.
Baada ya jitihada zao
za kuwashawishi kushindikana basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya
kujinyonga....Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto
Labels:
Congo,
Hanging,
Harusi,
Kifo. Msiba,
Mapenzi,
Romeo & Juliet
Sunday, June 09, 2013
Acheni Mchezo wa Tigo Jamani!
Wadau, nasikia huko Bongo mambo ya Tigo yanashamiri. Wanasema ni kwa sababu ya video za nchi za magharibi na Asia. Nilisikia hiyo habari hata nilipokuwa Dar mwaka juzi. Wanaume walikuwa wanasema mwanamke akijamba ina maana yuko tayari kufanya Tigo (kulwiti/kufirwa).
Aathari za mchezo wa Tigo ni nyingi. Baada ya muda huko myuma pana legea, haja kubwa haikai, mimavi inatoka kila saa. Itabidi mvae nepi! Lakini midume haiogopi mavi kuingia kwenye ume zao na kuwasababishia magonjwa?
Halafu nasikia wanawake wanakubali kutoa nyuma kwa kuhofia wanaume wao hawatawapenda au watawaacha na kwenda kwa wengine. Mchezo wa Tigo ni mbaya na miili yetu haikuumbwa kwa ajili ya mchezo huo mchafu!
************************************
Mdau Hildegard Kiwasila alitoa ushauri huo kwa dada fulani ambaye alikuwa anajadili ampe mpenzi wake nyuma kwa vile alihofia atamwacha:
Tatizo ni la wanawake, mwanamke anapopenda anaingia mzima mzima anapenda kwa moyo, kichwa, tumbo, miguu, macho anakuwa haoni kingine tena na masikio-kiziwi haoni na kusikia mifano ya wenzake. Hakubali.
Ndio maana mwanamke au msichana akiachwa na boyfriend au mume-anachanganyikiwa kuliko mwanaume na anawerza kujiua au kufeli mitihani. Na ikiwa huyo ni bwana wake wa kwanza aliyemtokea-ndio haoni kabisa kipofu, hasikii na anaweza akaharibu masomo au kazi kama ataachwa ghafla. Hivyo anapata tabu kuamua aachane naye anaona kama mbingu itashuka imuangukie, bora avumilie hivyo hivyo baadae kicha kinakuja kuchanganya.
Mwenzake huyo alizoea siku nyingi ila alikuwa anamlia time tu amzoee ili amwambie. Yeye-alishindwa kugundua au kutambua alama za nyakati.
Ndio hao wanawake wasio maamuzi. Mume anabaka housegirl anatia mimba, anambaka mdogo wake anayeishi naye au mwanae wa kufikia anawazalisha wote bado mke yup radhi kuficha evidence amwache aende jela naye akasulubiwe huko eti anampenda, hataki afungwe kama amekosa amemsamehe. Hapo ndio sheria za nchi zinatakiwa zimkamate na huyo mama msicha siri akalale ndani na mume pia.
Akikataa uchafu huo eti mume analeta bibi wa nje kwa vile yeye hataki hiyo Tigo na anamlazwa chini au mke unalala na watoto chumba kingine na bado upo.
Tujifunze ujasiri na kuweka kuwa na maamuzi. Atakapokubali na kuharibika ataachwa pia atatafuta mwingine. Madhara ni mengi sana pamoja na kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuchubuka maana huko hakukuumbika kwa kazi hiyo na mengine kisaikolojia.
Zipo study nyingi sana za sexual violence, sexual abuse na extent of sodomy in Tanzania zilizofanywa na wadaktari na wengineo Muhimbili, NGOs.
Binafsi nimefanya ya sexual abuse kwa wanafunzi Kilosa, Lindi, DSM na ya Extent of Sodomy TZ sample dar, bagamoyo, ZNZ na kujumlisha na ile ya sodomy kwa wanafunzi. Sodomy ni tatizo ktk ndoa. 1% ya ndoa huathiriwa na suala hili. Wanafunzi mashuleni sexually active waliofanya sodomy tulipata ktk sampo yetu 67% wanaongoza kwa hiyo Tigo. Hufanya jambo hili kuzuia mimba. Wanaume mpaka wa umri wa 26 waliripoti kubakwa/kulawitiwa. Wanaume (2%) walitoa taarifa ya kufanyiwa mchezo huu na waajiri wao mpaka baba mwenye nyumba kwa vijana houseboys au waajiri wenye maduka anakofanya kazi (hawa umri mdogo). Wanaobakwa umri mkubwa huwa ni mpango na ushindani kibiashara, kugombania mwanamke/msichana, kufumaniwa. Unasukiwa zari ili uhame eneo la ushindani au umuache mwanamke mnayegombania baada ya kukutumia vijana bangi bangi wanakutesa na kukupiga picha na kukutishia kuziweka hadharani; au kukutangaza na ukipita watu wanakucheka au ulitendewa ukaachwa hoi ukaokotwa huna nguo na umechafuka.
Wanaume tuliowahoji ambao walitoa taarifa za kubakwa tuligundua kuwa ndio waundao magenge ya ubakaji. walipoulizwa kama wataendelea na sodomy walisema 'Yes'. why? alijibu-anapomfanyia hivyo mtu 'me' au 'ke' anapata ahuheni au nafuu kisaikolojia kuona kwamba amemuadhibu mtu kama yeye alivyoadhibiwa kwa kumfanyia hiyo Tigo. hawa wanaume hawapati ushauri nasaha na hawajitokezi kama wanawake wabakwao. Yupo baba mmoja Dodoma alibakwa akitoka kulewa pombe alifariki kutokana na depression ya kufanyiwa tendo hilo. Yupo yule aliyetolewa ktk gazeti ambaye alikuwa akibaka wake za watu (Dodoma). akawamaliza mjini eneo lake na akaanza kuwafanyia wanaume (Kiuchawi) akakamatwa nyumba ya mlokole mmoja anayesali sana uchawi ukaishia hapo. Ndipo aliposimulia yote aliyofanya. Wapo wengine wana mapepo na wapo watumiao uchawi wasionekane bali wanafanya uchafu majumbani mwa watu na mashuleni. Hawa wana laana. wapo wanafunzi wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe au kuonea wale wadogo kuwaingiza machakani, mabanda mabovu etc. Fundisha mwanao vizuri aepuke haya.
Wapo ndugu unaokaa nao na kuwalaza na watoto wako wadogo hao ndugu au mgeni aliyekuja, au kulala na houseboy, shamba boy/mfuga mifugo wako wa dairy cattle DSM-hawa tazama weka onyo kwamba ukimsikia na kupata taarifa kwa mtoto utamfunga tu. waelimishe na watoto ambao hutishiwa na kuhongwa visent, kaka anampenda sana na kumlea vizuri kumbe anamuharibu wewe hujui. kagua watoto me na ke mbele na nyuma ili nao waogope na hao waishio nao. Usichanganye watoto wakubwa na wadogo ktk malazi kutokana na uhaba wa vyumba na kuchanganya watoto wa umri tofauti-wengi wameharibika na ndio chanzo cha ushoga-anazoea.
Wapo changudoa ambao ni Toigo na Voda kwa bei tofauti hawa huharibu waume za watu. Anapozoea-inakuwa tatizo ktk ndoa. Tulipowahoji wale ambao walifanya mchezo huu mbaya kimila na maadili ya kiafrika na kidini:-wale walioanza na wasichana mambo ya Tigo-HAWAKUWAOA HAO WALIOFANYA NAO HAYO. WALIOA WENGINEO AMBAO HAWAKUENDELEA NAO HAYO. Wasichana/wanawake walioanza mambo hayo shuleni walipoolewa-hawakufanya na waume zao ambao hawakuomba suala hilo na wala mume hakujua kama huyo alishafanya hivyo. Ni wachache sana waliolazimisha wake zako kufanya tendo na kutishia talaka, moto unawaka daily na anakwenda nje anamaliza mambo yake anarudi apendavyo. kama wewe hutaki, wenzako wanataka-bye-anatoka!!
Utafiti huu tulifanya 1997 na tuliangalia kama mchezo huu mtu alianza kwa sababu ya kuwa pwani (sample, DSM, Bagamoyo, ZNZ). Utafiti haukuona uhusiano wa kuwahi kuja au kuishi Dar na kupenda upotofu huu wa Tigo. Mtu alianza akiwa Songea, Iringa, Mwanza, Mbeya. Ni pale yalipomkuta maisha na matatizo hayo akiwa dar au popote pale kwani tuliangalia alizaliwa wapi Tigo, kabila lake na Dar, Bgmoyo, ZNZ kafika lini. Mazingira ya maisha ni muhimu zio kuwa Pwani au visiwani. yupo ambaye aliweka alama ya vema kuonyesha akiwa mwanaume-ameolewa, ameoa, ametalikiwa na ametaliki. Hii ilituchanganya. Lakini alikuwa na bwana (sodomy-kama gay) akaachwa na bwana; akaoa akaona haimfai akamuacha mke -akataliki.
Utafiti tumeuendeleza kila mwaka alipopatikana mtu au kikundi cha masuala haya hadi sana. Tumeongea na bisexuals, gays, transgender na lesbians. Tumeangalia pia alianzaje akiwa wapi na circumstances, anaishije, maisha na matatizo. Tusijidanganye, matatizo ni makubwa sana na source 80% ndani ya familia kunatoka watu hawa. Sasa wale ambao ndio wateja wa gays wamebadilika sura na gays wanakotoka imebadilika sana kidini (imechanganyika) na kikabila uelekeo umebadilika na huwezi kuamini. sitoongea hapa.Aina za gays na lesbians ni nyingi pia sio moja tu. Ndani ya familia (ndoa) na mahusiano kwa sasa kuna usumbufu zaidi wa watu kupenda haya unayoongea hapa tracy pamoja na kuwepo ukimwi na elimu juu ya magonjwa ya STDs na cancer za koo kutokana na watu kufanya mila iliyokataza. sio sigara tu kuleta cancer au viroba na mengine yaingizayo virus kooni. Waafrika hatupendi kuongea ukweli-tunajidanganya lakini nyuma ya pazia-ndio wenyewe.
Tukazane na maadili ya kiafrika katika mahusiano. Kiafrika mume akitaka Tigo ilikuwa ni leseni ya ndoa kuvunjwa. wapo wanaowafundisha wasichana wasiojua kuwa hiyo ni njia ya kawaida ya mapenzi nao wajinga hawajui. watu wa race nyingine hutumia Tigo kama uonevu na kukomoa kuchezea hao masikini si unampa hela. Wanawapangia vyumba/nyumba lakini akirudi kwake unamuona kama mtu safi mheshimiwa lakini amempangia shoga hata kama home hafanyi hivyo na mkewe.
Siku mke akimfumania mumewe na shoga marafiki wakimtonya-anamvaa shoga na kumpiga mume anamuacha-analinda ndoa na penzi. Yawezekanaje kakijana kadogo kamlazimishe baba mtu mzima ambaye ni mumeo umemfumania lakini humpigi? unaleta umma kumpiga shoga? shoga wamelalamika mengi wanapokamatwa na kuwekwa korokoroni. Sitosema hapa.
Huenda kitabu kitatoka kabla mwaka kuisha ili tujione katika kioo chetu wenyewe tuavche unduma kuwili. NGO yetu imetibu kwa kujitolea watoto wanafunzi wanaobakwa majumbani na njia ndefu ya kwenda wenye STDs (kilosa) na kujaribu kufikisha mahakamani baadhi ya kesi za ubakaji-ikashindikana kutokana na rushwa; mila za kiafrika za usiri kufanya mke, ndugu kuzuia na viongozi wa kijiji kutokutoa ushirikiano.
Asiyefahamu afahamu haya ni ya ukweli si porojo. Chunga wanao na vijana wako, akizoea anakuwa anataka haya ktk ndoa.
*************************************************
Kusoma habari zaidi za jinsi vijana wanavyooza Bongo kwa mchezo wa Tigo BOFYA HAPA:
Aathari za mchezo wa Tigo ni nyingi. Baada ya muda huko myuma pana legea, haja kubwa haikai, mimavi inatoka kila saa. Itabidi mvae nepi! Lakini midume haiogopi mavi kuingia kwenye ume zao na kuwasababishia magonjwa?
Halafu nasikia wanawake wanakubali kutoa nyuma kwa kuhofia wanaume wao hawatawapenda au watawaacha na kwenda kwa wengine. Mchezo wa Tigo ni mbaya na miili yetu haikuumbwa kwa ajili ya mchezo huo mchafu!
************************************
Mdau Hildegard Kiwasila alitoa ushauri huo kwa dada fulani ambaye alikuwa anajadili ampe mpenzi wake nyuma kwa vile alihofia atamwacha:
Tatizo ni la wanawake, mwanamke anapopenda anaingia mzima mzima anapenda kwa moyo, kichwa, tumbo, miguu, macho anakuwa haoni kingine tena na masikio-kiziwi haoni na kusikia mifano ya wenzake. Hakubali.
Ndio maana mwanamke au msichana akiachwa na boyfriend au mume-anachanganyikiwa kuliko mwanaume na anawerza kujiua au kufeli mitihani. Na ikiwa huyo ni bwana wake wa kwanza aliyemtokea-ndio haoni kabisa kipofu, hasikii na anaweza akaharibu masomo au kazi kama ataachwa ghafla. Hivyo anapata tabu kuamua aachane naye anaona kama mbingu itashuka imuangukie, bora avumilie hivyo hivyo baadae kicha kinakuja kuchanganya.
Mwenzake huyo alizoea siku nyingi ila alikuwa anamlia time tu amzoee ili amwambie. Yeye-alishindwa kugundua au kutambua alama za nyakati.
Ndio hao wanawake wasio maamuzi. Mume anabaka housegirl anatia mimba, anambaka mdogo wake anayeishi naye au mwanae wa kufikia anawazalisha wote bado mke yup radhi kuficha evidence amwache aende jela naye akasulubiwe huko eti anampenda, hataki afungwe kama amekosa amemsamehe. Hapo ndio sheria za nchi zinatakiwa zimkamate na huyo mama msicha siri akalale ndani na mume pia.
Akikataa uchafu huo eti mume analeta bibi wa nje kwa vile yeye hataki hiyo Tigo na anamlazwa chini au mke unalala na watoto chumba kingine na bado upo.
Tujifunze ujasiri na kuweka kuwa na maamuzi. Atakapokubali na kuharibika ataachwa pia atatafuta mwingine. Madhara ni mengi sana pamoja na kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuchubuka maana huko hakukuumbika kwa kazi hiyo na mengine kisaikolojia.
Zipo study nyingi sana za sexual violence, sexual abuse na extent of sodomy in Tanzania zilizofanywa na wadaktari na wengineo Muhimbili, NGOs.
Binafsi nimefanya ya sexual abuse kwa wanafunzi Kilosa, Lindi, DSM na ya Extent of Sodomy TZ sample dar, bagamoyo, ZNZ na kujumlisha na ile ya sodomy kwa wanafunzi. Sodomy ni tatizo ktk ndoa. 1% ya ndoa huathiriwa na suala hili. Wanafunzi mashuleni sexually active waliofanya sodomy tulipata ktk sampo yetu 67% wanaongoza kwa hiyo Tigo. Hufanya jambo hili kuzuia mimba. Wanaume mpaka wa umri wa 26 waliripoti kubakwa/kulawitiwa. Wanaume (2%) walitoa taarifa ya kufanyiwa mchezo huu na waajiri wao mpaka baba mwenye nyumba kwa vijana houseboys au waajiri wenye maduka anakofanya kazi (hawa umri mdogo). Wanaobakwa umri mkubwa huwa ni mpango na ushindani kibiashara, kugombania mwanamke/msichana, kufumaniwa. Unasukiwa zari ili uhame eneo la ushindani au umuache mwanamke mnayegombania baada ya kukutumia vijana bangi bangi wanakutesa na kukupiga picha na kukutishia kuziweka hadharani; au kukutangaza na ukipita watu wanakucheka au ulitendewa ukaachwa hoi ukaokotwa huna nguo na umechafuka.
Wanaume tuliowahoji ambao walitoa taarifa za kubakwa tuligundua kuwa ndio waundao magenge ya ubakaji. walipoulizwa kama wataendelea na sodomy walisema 'Yes'. why? alijibu-anapomfanyia hivyo mtu 'me' au 'ke' anapata ahuheni au nafuu kisaikolojia kuona kwamba amemuadhibu mtu kama yeye alivyoadhibiwa kwa kumfanyia hiyo Tigo. hawa wanaume hawapati ushauri nasaha na hawajitokezi kama wanawake wabakwao. Yupo baba mmoja Dodoma alibakwa akitoka kulewa pombe alifariki kutokana na depression ya kufanyiwa tendo hilo. Yupo yule aliyetolewa ktk gazeti ambaye alikuwa akibaka wake za watu (Dodoma). akawamaliza mjini eneo lake na akaanza kuwafanyia wanaume (Kiuchawi) akakamatwa nyumba ya mlokole mmoja anayesali sana uchawi ukaishia hapo. Ndipo aliposimulia yote aliyofanya. Wapo wengine wana mapepo na wapo watumiao uchawi wasionekane bali wanafanya uchafu majumbani mwa watu na mashuleni. Hawa wana laana. wapo wanafunzi wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe au kuonea wale wadogo kuwaingiza machakani, mabanda mabovu etc. Fundisha mwanao vizuri aepuke haya.
Wapo ndugu unaokaa nao na kuwalaza na watoto wako wadogo hao ndugu au mgeni aliyekuja, au kulala na houseboy, shamba boy/mfuga mifugo wako wa dairy cattle DSM-hawa tazama weka onyo kwamba ukimsikia na kupata taarifa kwa mtoto utamfunga tu. waelimishe na watoto ambao hutishiwa na kuhongwa visent, kaka anampenda sana na kumlea vizuri kumbe anamuharibu wewe hujui. kagua watoto me na ke mbele na nyuma ili nao waogope na hao waishio nao. Usichanganye watoto wakubwa na wadogo ktk malazi kutokana na uhaba wa vyumba na kuchanganya watoto wa umri tofauti-wengi wameharibika na ndio chanzo cha ushoga-anazoea.
Wapo changudoa ambao ni Toigo na Voda kwa bei tofauti hawa huharibu waume za watu. Anapozoea-inakuwa tatizo ktk ndoa. Tulipowahoji wale ambao walifanya mchezo huu mbaya kimila na maadili ya kiafrika na kidini:-wale walioanza na wasichana mambo ya Tigo-HAWAKUWAOA HAO WALIOFANYA NAO HAYO. WALIOA WENGINEO AMBAO HAWAKUENDELEA NAO HAYO. Wasichana/wanawake walioanza mambo hayo shuleni walipoolewa-hawakufanya na waume zao ambao hawakuomba suala hilo na wala mume hakujua kama huyo alishafanya hivyo. Ni wachache sana waliolazimisha wake zako kufanya tendo na kutishia talaka, moto unawaka daily na anakwenda nje anamaliza mambo yake anarudi apendavyo. kama wewe hutaki, wenzako wanataka-bye-anatoka!!
Utafiti huu tulifanya 1997 na tuliangalia kama mchezo huu mtu alianza kwa sababu ya kuwa pwani (sample, DSM, Bagamoyo, ZNZ). Utafiti haukuona uhusiano wa kuwahi kuja au kuishi Dar na kupenda upotofu huu wa Tigo. Mtu alianza akiwa Songea, Iringa, Mwanza, Mbeya. Ni pale yalipomkuta maisha na matatizo hayo akiwa dar au popote pale kwani tuliangalia alizaliwa wapi Tigo, kabila lake na Dar, Bgmoyo, ZNZ kafika lini. Mazingira ya maisha ni muhimu zio kuwa Pwani au visiwani. yupo ambaye aliweka alama ya vema kuonyesha akiwa mwanaume-ameolewa, ameoa, ametalikiwa na ametaliki. Hii ilituchanganya. Lakini alikuwa na bwana (sodomy-kama gay) akaachwa na bwana; akaoa akaona haimfai akamuacha mke -akataliki.
Utafiti tumeuendeleza kila mwaka alipopatikana mtu au kikundi cha masuala haya hadi sana. Tumeongea na bisexuals, gays, transgender na lesbians. Tumeangalia pia alianzaje akiwa wapi na circumstances, anaishije, maisha na matatizo. Tusijidanganye, matatizo ni makubwa sana na source 80% ndani ya familia kunatoka watu hawa. Sasa wale ambao ndio wateja wa gays wamebadilika sura na gays wanakotoka imebadilika sana kidini (imechanganyika) na kikabila uelekeo umebadilika na huwezi kuamini. sitoongea hapa.Aina za gays na lesbians ni nyingi pia sio moja tu. Ndani ya familia (ndoa) na mahusiano kwa sasa kuna usumbufu zaidi wa watu kupenda haya unayoongea hapa tracy pamoja na kuwepo ukimwi na elimu juu ya magonjwa ya STDs na cancer za koo kutokana na watu kufanya mila iliyokataza. sio sigara tu kuleta cancer au viroba na mengine yaingizayo virus kooni. Waafrika hatupendi kuongea ukweli-tunajidanganya lakini nyuma ya pazia-ndio wenyewe.
Tukazane na maadili ya kiafrika katika mahusiano. Kiafrika mume akitaka Tigo ilikuwa ni leseni ya ndoa kuvunjwa. wapo wanaowafundisha wasichana wasiojua kuwa hiyo ni njia ya kawaida ya mapenzi nao wajinga hawajui. watu wa race nyingine hutumia Tigo kama uonevu na kukomoa kuchezea hao masikini si unampa hela. Wanawapangia vyumba/nyumba lakini akirudi kwake unamuona kama mtu safi mheshimiwa lakini amempangia shoga hata kama home hafanyi hivyo na mkewe.
Siku mke akimfumania mumewe na shoga marafiki wakimtonya-anamvaa shoga na kumpiga mume anamuacha-analinda ndoa na penzi. Yawezekanaje kakijana kadogo kamlazimishe baba mtu mzima ambaye ni mumeo umemfumania lakini humpigi? unaleta umma kumpiga shoga? shoga wamelalamika mengi wanapokamatwa na kuwekwa korokoroni. Sitosema hapa.
Huenda kitabu kitatoka kabla mwaka kuisha ili tujione katika kioo chetu wenyewe tuavche unduma kuwili. NGO yetu imetibu kwa kujitolea watoto wanafunzi wanaobakwa majumbani na njia ndefu ya kwenda wenye STDs (kilosa) na kujaribu kufikisha mahakamani baadhi ya kesi za ubakaji-ikashindikana kutokana na rushwa; mila za kiafrika za usiri kufanya mke, ndugu kuzuia na viongozi wa kijiji kutokutoa ushirikiano.
Asiyefahamu afahamu haya ni ya ukweli si porojo. Chunga wanao na vijana wako, akizoea anakuwa anataka haya ktk ndoa.
![]() |
Mkundu enye ugonjwa shauri ya mchezo wa Tigo! Lazima anapata taabu wakati wa kunya! (Samahani kwa lugha lakini ukikubali kufanyiwa vituko ndo maneno yenyewe!) |
Kusoma habari zaidi za jinsi vijana wanavyooza Bongo kwa mchezo wa Tigo BOFYA HAPA:
Wednesday, May 15, 2013
Uke Yapotea Baada Ya Kufanya Mapenzi na Mwanaume Aliyeoa Kenya
Duh! Hii kali, huyo mganga wa kienyeji Kenya ana dawa kali sana.
Kuna dada fulani kutoka Ukambani, Kenya mwenye miaka 29. Alikuwa na mazoea ya kutembea na wanaume wa watu. Mke wa jamaa fulani kamwonya huyo dada kuwa ataathirika vibaya akiendelea kutmbea na mume wake. Yule dada hakusikia na badala yake kaendelea kutembea na jamaa. Basi wiki hii baada ya kufanya kitendo na yule jamaa aliamka kwenda kukojoa (haja ndogo)....Akakuta uke/kuma yakeimezibwa kabisa! Baada ya yule dada kuomba msamaha kwa yule mama, waliondoa ile dawa.
Hii dawa inafaa sana! Mganga huyo atatajirika!
Kwa habari kamili BOFYA HAPA:
Friday, February 15, 2013
Kichaa Jike Apiga Punyeto Hadharini!!!
![]() |
Picha Kutoka Udaku Specially Blog |
Yaani badala ya watu kumpeleka huyo dada hospitalini, wanabakia kumtizama kama sinema ya bure. Ugonjwa wa akili ni kitu kibaya sana. Binadamu kupiga punteo mbele za watu ina maana zimefyatuka!
Kwa habari zaidi na picha BOFYA HAPA:
http://www.udakuspecially.com/2013/02/kichaa-cha-mpanda-na-kuanza-kupiga.html
Saturday, October 06, 2012
Sasa, Si Lazima Kumwambia Mpenzi Wako Una VVU huko Canada
Sasa huko Canada, si lazima mtu akuambie kuwa ana VVU kama mnatumia kondomu. Lakini je, kama nyie ni wapenda ulimi, kunyonyana inakuaje? Ni vizuri kutokujua? Uamuzi huo unatokana na kesi ya Msudani mwenye VVU aliyetembea na wanawake 9 huko Canada bila kuwaambia kuwa anayo. Bahati nzuri hakuna aliyeambukizwa. Alitumia kondomu.
Kuna wenye VVU waliofungwa kwa shitaka la kutaka kuua kwa vile hawakuwaambia wapenzi wao ni wagonjwa.
**************************************************
TORONTO (AP) - The Supreme Court of Canada has ruled that people with low levels of HIV who use condoms during sex do not need to disclose their condition to sexual partners.
In a 9-0 ruling Friday, the court said it was reflecting the medical advances in treating the virus that causes AIDS.
The court first ruled on the issue in 1998, saying that people with HIV must inform their sex partners of their condition or face a charge of aggravated sexual assault. That carries a maximum life sentence.
The Supreme Court ruled on two separate cases on the issue from Manitoba and Quebec.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
Saturday, April 07, 2012
Ukiwa mwaminifu wa mapenzi, wewe ni "zoba"... Kifo cha Kanumba
Da Subi anatoa maoni yake juu ya kifo cha msanii maarufu wa Tanzania, Steven Kanumba, aka. Kanumba the Great aka. Denzel Washington wa Tanzania.
****************************************************************

Ikiwa ni kweli kuwa kifo cha Steven C. Kanumba, aliyekuwa mwigizaji maarufu wa filamu na sinema, kimesababishwa na ugomvi wa mapenzi uliotokana na kukosekana uaminifu, basi kauli niliyoitoa hapo juu ambayo nimeinukuu kwenye "zilipendwa", wimbo wa "Kadiri Kasimba" una ukweli na, waliotutangulia si wehu. Waliyaona! Wakatuasa. Tunajifunza?
Juzi hapa msanii "Diamond" kwenye mahojiano na CloudsFM kuhusu Wema Sepetu, aliyatamka maneno haya, "ku-cheat katika mapenzi ni kitu cha kawaida" bofya hapa kusikiliza kiwa huamini.
Si kwamba ninaamini takwimu finyu ya mtu mmoja na kuichukulia ya jamii nzima. Hapana.
Na si kwamba siamini maneno hayo au ni jambo geni sana kwangu, hapana.
Kilichonistusha ni kusema, "ni kitu cha kawaida"... kwamba ni kawaida tu kusalitiana kwenye mapenzi. Kwa vile aliyeyatamka ni msanii kioo katika jamii, sina uhakika kama ndivyo ilivyo kwenye ulimwengu wao wa wasanii au kwa vile anaishi katikati ya jamii na anawasiliana na wanajamii wengi, basi ameyaona hayo kila pahala, kwa hivyo imezoeleka na hakuna haja ya kustuka wala kushangaa usaliti unapotokea kwenye mapenzi.
Juzi hapa msanii "Diamond" kwenye mahojiano na CloudsFM kuhusu Wema Sepetu, aliyatamka maneno haya, "ku-cheat katika mapenzi ni kitu cha kawaida" bofya hapa kusikiliza kiwa huamini.
Si kwamba ninaamini takwimu finyu ya mtu mmoja na kuichukulia ya jamii nzima. Hapana.
Na si kwamba siamini maneno hayo au ni jambo geni sana kwangu, hapana.
Kilichonistusha ni kusema, "ni kitu cha kawaida"... kwamba ni kawaida tu kusalitiana kwenye mapenzi. Kwa vile aliyeyatamka ni msanii kioo katika jamii, sina uhakika kama ndivyo ilivyo kwenye ulimwengu wao wa wasanii au kwa vile anaishi katikati ya jamii na anawasiliana na wanajamii wengi, basi ameyaona hayo kila pahala, kwa hivyo imezoeleka na hakuna haja ya kustuka wala kushangaa usaliti unapotokea kwenye mapenzi.
- Tamaa - kushindwa kuzizuia tamaa zako za hali (mwili, muonekano, wasifu n.k.) au tamaa za mali
- Vishawishi - kushindwa kuzuia vishawishi vinavyoletwa kwako na wengine kwa njia ya tamaa (tizama namba 1) zao kwako.
SOMA HABARI KAMILI KWA KUBOFYA HAPA :
Saturday, January 28, 2012
Umuhimu wa Shanga - Wakubwa Tu

Nilivyogundua umuhimu wa Ushanga
Imeandikwa na Dada Chiku
Haya Akina Dada,
Somo leo ni USHANGA. Kwanza Ushanga ni nini? Kwa kimombo, ni beads. Ukipita mitaa Kariakoo, utakuta kila rangi na design zinauzwa na akina mama wa kiMasai (Wanafanya Consultation pia). Zile ndogondogo kabisa siyo hizo kubwa za kuvaa kwenye nywele. Ni pambo muhimu mno kwenye mwili wa mwanamke. Hata kwa watoto wadogo, aliyevaa shanga, unajua ni msichana huyo.
Sasa mimi nilijfanya nime’zungu’tika, na kuaacha kuzivaa. Hasa baada ya ushanga niliyovaa kukatika na kumwagika nikiwa kwenye daladala. Uhusiano na boy-friend wangu ilikuwa kwenye Plateau…..yaani flet. Huyo boy-friend mimi nilimpenda sana. Nikaenda kwa Aunti wangu Temeke na kumwelezea shida yangu na kumwaomba Ushauri.
Aunti akanipeleka chumbani kwake. Akaniambia nivue nguo. Nilisita kwanza, lakini alisisitiza nivue. Nikavua. Akatazama mwili wangu, akasema, kweli mwili wako bado nyororo, lakini umekosa kitu kimoja muhimu….USHANGA!
Nilipigwa Butwaa… Ushanga! Aunti alisema, ndio umekosa Ushanga. Alienda akafungua sanduku yake, akanipa enye rangi ya light blue, njano, na red. Nikazivaa kiunoni Aunti akaanza kutabasamu, akaniambia, haya vaa sasa na nenda kwa boyfriend wako. Uone kama mambo ni tofauti.
Nilienda nyumbani, niloga na kuvaa nguo ya Outing. Nikapanda daladala na kwenda mjini. Nilikutana na boyfiriend wangu Posta Mpya …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafu blues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues. Miili yetu iligusana na akaana kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu. Alivyogusa ile shanga aliyonipa Aunti akawa kama mwili wake imekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa mboo yake ile kuwa ATTENTION!
Akaniuliza taratibu na kipole , "Chiku mpenzi, umevaa nini?"
"Nikamjibu kwa aibu , " Nimevaa Ushanga mpenzi".
Akasema, " Mimi najua kuwa ni ushanga ila tangu tuwe marafiki hujazivaa"
"Kweli, mpenzi. Aunti amenipa leo"
"Huyo aunti wako mjanja, anajua mambo"
Wimbo ulivyoisha tukaondoka kwenda nyumbani kwake. Siku hiyo sex ikawa nzuri kuliko siku zote ambazo nilikuwa naye. Alikuwa na furaha mno. Kesho yake kazini kwake, akawa anatabasamu mpaka wenzake wakamwuliza ‘Vipi’. Na mimi nilipanda daladala kwenda Kariakoo, nilinunua shanga nyingi za kila rangi. Baada ya hapo nilienda duka na kumnunulia Aunti Zawadi ya Khanga kama shukrani.
Niliporudi Temeke kwa Aunti, alipoona natabasamu tu alijua mambo ni OKAY!
Akina Dada, ni muhimu sana kuvaa ushanga. Ni njia moja ya kumtia ashki mpenzio.
*******************************
* Nimerudia hii posti baada ya kupata maombi kutoka kwa wasomojai kadhaa. Posti ya awali ilikuwa 7/15/09.
Imeandikwa na Dada Chiku
Haya Akina Dada,
Somo leo ni USHANGA. Kwanza Ushanga ni nini? Kwa kimombo, ni beads. Ukipita mitaa Kariakoo, utakuta kila rangi na design zinauzwa na akina mama wa kiMasai (Wanafanya Consultation pia). Zile ndogondogo kabisa siyo hizo kubwa za kuvaa kwenye nywele. Ni pambo muhimu mno kwenye mwili wa mwanamke. Hata kwa watoto wadogo, aliyevaa shanga, unajua ni msichana huyo.
Sasa mimi nilijfanya nime’zungu’tika, na kuaacha kuzivaa. Hasa baada ya ushanga niliyovaa kukatika na kumwagika nikiwa kwenye daladala. Uhusiano na boy-friend wangu ilikuwa kwenye Plateau…..yaani flet. Huyo boy-friend mimi nilimpenda sana. Nikaenda kwa Aunti wangu Temeke na kumwelezea shida yangu na kumwaomba Ushauri.
Aunti akanipeleka chumbani kwake. Akaniambia nivue nguo. Nilisita kwanza, lakini alisisitiza nivue. Nikavua. Akatazama mwili wangu, akasema, kweli mwili wako bado nyororo, lakini umekosa kitu kimoja muhimu….USHANGA!
Nilipigwa Butwaa… Ushanga! Aunti alisema, ndio umekosa Ushanga. Alienda akafungua sanduku yake, akanipa enye rangi ya light blue, njano, na red. Nikazivaa kiunoni Aunti akaanza kutabasamu, akaniambia, haya vaa sasa na nenda kwa boyfriend wako. Uone kama mambo ni tofauti.
Nilienda nyumbani, niloga na kuvaa nguo ya Outing. Nikapanda daladala na kwenda mjini. Nilikutana na boyfiriend wangu Posta Mpya …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafu blues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues. Miili yetu iligusana na akaana kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu. Alivyogusa ile shanga aliyonipa Aunti akawa kama mwili wake imekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa mboo yake ile kuwa ATTENTION!
Akaniuliza taratibu na kipole , "Chiku mpenzi, umevaa nini?"
"Nikamjibu kwa aibu , " Nimevaa Ushanga mpenzi".
Akasema, " Mimi najua kuwa ni ushanga ila tangu tuwe marafiki hujazivaa"
"Kweli, mpenzi. Aunti amenipa leo"
"Huyo aunti wako mjanja, anajua mambo"
Wimbo ulivyoisha tukaondoka kwenda nyumbani kwake. Siku hiyo sex ikawa nzuri kuliko siku zote ambazo nilikuwa naye. Alikuwa na furaha mno. Kesho yake kazini kwake, akawa anatabasamu mpaka wenzake wakamwuliza ‘Vipi’. Na mimi nilipanda daladala kwenda Kariakoo, nilinunua shanga nyingi za kila rangi. Baada ya hapo nilienda duka na kumnunulia Aunti Zawadi ya Khanga kama shukrani.
Niliporudi Temeke kwa Aunti, alipoona natabasamu tu alijua mambo ni OKAY!
Akina Dada, ni muhimu sana kuvaa ushanga. Ni njia moja ya kumtia ashki mpenzio.
*******************************
* Nimerudia hii posti baada ya kupata maombi kutoka kwa wasomojai kadhaa. Posti ya awali ilikuwa 7/15/09.
Monday, October 24, 2011
‘Rushwa ya Ngono Inatumika Kupata Ubunge’
Ni Kweli rushwa za Ngono zimezidi Tanzania!
***************************************************
Kutoka Gazeti la Habari Leo.
UTAFUTAJI wa vyeo kama ubunge na vingine vya maofisini miongoni mwa wanawake wasiojiamini, ni sababu kubwa ya kuendelea kuwepo kwa rushwa ya ngono nchini.
Aidha, imeelezwa kuwa matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na baadhi ya wanaume ni kichocheo kingine cha rushwa hiyo, inayochangia nchi kuwa na viongozi wasio na uwezo, maadili mema, kwa asilimia kubwa.
Akizungumza wakati wa mkutano wa Kamati ya Bunge ya masuala ya Ukimwi iliyokutana Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kujielimisha kuhusu unyanyasaji wa jinsia nchini, Mbunge wa Viti Maalum, Hilda Ngoye (CCM) alisema rushwa hiyo ipo na inarindima hata kwa wabunge.
Huku akiungwa mkono na Waziri Kivuli wa Afya na Ustawi wa Jamii, ambaye pia ni Mbunge wa Biharamulo Magharibi (CHADEMA), Dk.Gervas Mbassa, Ngoye alisema anachokizungumza kinafanyika si tu katika kuutafuta ubunge, bali hata katika kutafuta vyeo maofisini.
Wakati akisema hayo, Mbunge wa Viti Maalu, Margret Mkanga (CCM) alishtuka kwa mshangao ulioashiria kuisikia habari hiyo kwa mara ya kwaza na ndipo Ngoye alipomwambia, “Usishangae! It is a practical example, akimaanisha kuwa alichokizungumza ni mfano hai uliopo.
Kwa upande wake, Mbassa aliliambia gazeti hili kuwa hali hiyo ipo kweli na kwamba inatokana na kukosa utu miongoni mwa wanaoomba na wanaotoa rushwa ya ngono.
Alisema, wengi wanaojihusisha na rushwa hiyo na kushindwa kupata wanachokitaka huishia kuaibika au kupata maambukizi ya VVU huku walioigawa na kuupata uongozi wakiiharibu nchi kwa njia tofauti kutokana na kukosa maadili ya uongozi pamoja na uwezo wa kazi.
“Alichokisema Ngoye ni sahihi kabisa, rushwa ya ngono ipo hata kwa wabunge. Lakini pia ipo katika nyanja zingine ambazo si za siasa. Watu wanataka uongozi wakati wanajua hawana uwezo na matokeo yake wanaamua kutumia miili yao.
“Ufike wakati Watanzania tuikatae na kuthamini utu vinginevyo nchi itajaa viongozi watakaotusababishia matokeo mabaya,” Ndassa alisema.
Wakati huo huo, baadhi ya wabunge wanaounda kamati hiyo wamewataka wanafunzi wanaoombwa rushwa ya ngono kutoa taarifa kwa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili wahusika wakamatwe na kushitakiwa, kwa sababu kitendo hicho, licha ya kuwa kosa la jinai, kinatumiwa na wengi kusambaza VVU.
Mbunge wa Viti Maalum, Rosweeta Kasikila (CCM) na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), walisema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakitoa michango yao, kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, unaohusisha ngono nchini.
Kasikila ambaye ni Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, alisema kuwa wanafunzi ni waathirika wakubwa wa rushwa ya ngono na kwamba wanahitaji kupewa elimu zaidi juu ya athari za rushwa hiyo ya ngono kwa watu mbalimbali wanaowarubuni ili waikatae na kuwaripoti wanaowashawishi kuishiriki.
“Wapo wasichana na hata wavulana jasiri wanaowaeleza maofisa wa Takukuru kuhusu kuombwa rushwa ya ngono na hivyo kuandaa mitego inayowezesha kunaswa kwa wengi wao na kushitakiwa.
Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kusaidia kupunguza kuenea kwa maambukizi ya VVU ambayo wengi wao huyapata wanaposhiriki kujamiiana huko”, Kasikila alisema.
Naye Shelukindo alisema kuwa wanafunzi wanastahili kujengewa ujasiri wa kuwaeleza wakubwa wao na taasisi zinazoshughulikia masuala ya haki zao ili kukomesha vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao, kama vile kuhisishwa katika masuala ya kujamiiana kwa kurubuniwa kupata wanachokihitaji.
Alisema, rushwa ya ngono haistahili kuwepo mahali popote pale kwa kuwa ni njia mojawapo inayochochea maambukizi kutokana na ukweli kuwa mara nyingi wahusika wanaoishiriki hawapati muda au kukumbuka
CHANZO: Gazeti la Habari Leo
***************************************************
Kutoka Gazeti la Habari Leo.
UTAFUTAJI wa vyeo kama ubunge na vingine vya maofisini miongoni mwa wanawake wasiojiamini, ni sababu kubwa ya kuendelea kuwepo kwa rushwa ya ngono nchini.
Aidha, imeelezwa kuwa matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na baadhi ya wanaume ni kichocheo kingine cha rushwa hiyo, inayochangia nchi kuwa na viongozi wasio na uwezo, maadili mema, kwa asilimia kubwa.
Akizungumza wakati wa mkutano wa Kamati ya Bunge ya masuala ya Ukimwi iliyokutana Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kujielimisha kuhusu unyanyasaji wa jinsia nchini, Mbunge wa Viti Maalum, Hilda Ngoye (CCM) alisema rushwa hiyo ipo na inarindima hata kwa wabunge.
Huku akiungwa mkono na Waziri Kivuli wa Afya na Ustawi wa Jamii, ambaye pia ni Mbunge wa Biharamulo Magharibi (CHADEMA), Dk.Gervas Mbassa, Ngoye alisema anachokizungumza kinafanyika si tu katika kuutafuta ubunge, bali hata katika kutafuta vyeo maofisini.
Wakati akisema hayo, Mbunge wa Viti Maalu, Margret Mkanga (CCM) alishtuka kwa mshangao ulioashiria kuisikia habari hiyo kwa mara ya kwaza na ndipo Ngoye alipomwambia, “Usishangae! It is a practical example, akimaanisha kuwa alichokizungumza ni mfano hai uliopo.
Kwa upande wake, Mbassa aliliambia gazeti hili kuwa hali hiyo ipo kweli na kwamba inatokana na kukosa utu miongoni mwa wanaoomba na wanaotoa rushwa ya ngono.
Alisema, wengi wanaojihusisha na rushwa hiyo na kushindwa kupata wanachokitaka huishia kuaibika au kupata maambukizi ya VVU huku walioigawa na kuupata uongozi wakiiharibu nchi kwa njia tofauti kutokana na kukosa maadili ya uongozi pamoja na uwezo wa kazi.
“Alichokisema Ngoye ni sahihi kabisa, rushwa ya ngono ipo hata kwa wabunge. Lakini pia ipo katika nyanja zingine ambazo si za siasa. Watu wanataka uongozi wakati wanajua hawana uwezo na matokeo yake wanaamua kutumia miili yao.
“Ufike wakati Watanzania tuikatae na kuthamini utu vinginevyo nchi itajaa viongozi watakaotusababishia matokeo mabaya,” Ndassa alisema.
Wakati huo huo, baadhi ya wabunge wanaounda kamati hiyo wamewataka wanafunzi wanaoombwa rushwa ya ngono kutoa taarifa kwa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili wahusika wakamatwe na kushitakiwa, kwa sababu kitendo hicho, licha ya kuwa kosa la jinai, kinatumiwa na wengi kusambaza VVU.
Mbunge wa Viti Maalum, Rosweeta Kasikila (CCM) na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), walisema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakitoa michango yao, kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, unaohusisha ngono nchini.
Kasikila ambaye ni Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, alisema kuwa wanafunzi ni waathirika wakubwa wa rushwa ya ngono na kwamba wanahitaji kupewa elimu zaidi juu ya athari za rushwa hiyo ya ngono kwa watu mbalimbali wanaowarubuni ili waikatae na kuwaripoti wanaowashawishi kuishiriki.
“Wapo wasichana na hata wavulana jasiri wanaowaeleza maofisa wa Takukuru kuhusu kuombwa rushwa ya ngono na hivyo kuandaa mitego inayowezesha kunaswa kwa wengi wao na kushitakiwa.
Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kusaidia kupunguza kuenea kwa maambukizi ya VVU ambayo wengi wao huyapata wanaposhiriki kujamiiana huko”, Kasikila alisema.
Naye Shelukindo alisema kuwa wanafunzi wanastahili kujengewa ujasiri wa kuwaeleza wakubwa wao na taasisi zinazoshughulikia masuala ya haki zao ili kukomesha vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao, kama vile kuhisishwa katika masuala ya kujamiiana kwa kurubuniwa kupata wanachokihitaji.
Alisema, rushwa ya ngono haistahili kuwepo mahali popote pale kwa kuwa ni njia mojawapo inayochochea maambukizi kutokana na ukweli kuwa mara nyingi wahusika wanaoishiriki hawapati muda au kukumbuka
CHANZO: Gazeti la Habari Leo
Friday, March 06, 2009
Steven Kanumba na Wema Sepetu


Wadau, wengi wetu tunaelewa mapenzi yanavyoenda. Leo unampenda mtu kupita kiasi, kesho unamchukia, huna hamu naye. Unaweza kumwona mtu na kumpenda mpaka unaona unachangayikiwa huwezi kufikiria kitu kingine. Na pia tunaelewa kuwa kuna yale mapenzi ambayo si mapenzi ila kutaka raha ya kimwili tu. Mtu akitosheka anaanza kwenda pengine. Unaweza kumpenda mtu mapaka ukaona wengine wana sura mbaya kama Chakubanga. Yaani mapenzi ni kitu cha aina yake. Lakini yakifa....mhhhh!!!


http://worldhotstars.blogspot.com/2008/11/mapenzi-ya-wema-sepetu-na-kanumba.html
Saturday, August 23, 2008
Ukweli Kuhsu Wanaume

Imeandikwa na Kaka Lazarus Mbilinyi
Wanaume viumbe wa ajabu sana, atakupa raha zote na ahadi kedekede, muhimu kutambua je, ni tamaa au upendo wa kweli?
Ni vizuri wanawake wote wakajua kwamba:Kufanya mapenzi kabla ya kuoana (premarital sex) na mwanaume haiwezi kukusaidia yeye ku – fall in love na au wewe kuwa mtu special kwake au kukuhakikisha mahusiano yanayoyumba yasimame vizuri au hata kusaidia mwanaume aji-commit kwako.
Mwanaume akiwa serious na mwanamke anayemtaka kumuoa ataweza kuvumilia sex kwa muda wowote mliokubaliana hadi ndoa.Mwanaume anapokujia kuna mambo mawili kutoka kwake jambo la kwanza inaweza kuwa ni tamaa zake na jambo la pili ni upendo wa kweli.
Pia usichanganye hayo mambo mawili.Kama mwanaume anakutaka kwa ajili ya tamaa zake, kitu cha maana anachokitaka kwako ni kutimiza malengo yake ya kukuchezea kwa ajili ya raha zake (sex). He is just for fun, hata kama atakuahidi mambo makubwa bado anakuwa lengo ni kukuchezea tu.
Kama mwanaume anakutaka kwa ajili ya upendo wa kweli, atakuwa tayari kuvumilia kukusubiri kwa sababu upendo wake ni zaidi ya sex, kwake maisha kwanza na yupo tayari kuvumilia.
Pia mwanamke kuwa bikira au mtakatifu (untouched) ni vitu ambavyo wanaume wanapenda sana, sababu ya msingi ni kwamba mwanaume akimpata mwanamke ambaye hajawahi kuwa na mwanaume mwingine hujisikia vizuri sana, anamwona ni mwanamke special na pia anampa feelings zaidi.
Hii ni kumaanisha kwamba jinsi mwanamke anavyokuwa na wanaume wengi kabla ya kuolewa hupunguza nafasi ya wanaume kujisikia vizuri kumuoa.
Njia nzuri ya kujua mwanaume anakupenda kwa upendo wa kweli uwezo wake wa kuwa serious na wewe ni jinsi anavyovumilia kuhakikisha mnaepuka sex kabla ya ndoa.
Mnaweza kusoma mada zingine za Kaka Mbilinyi kuhusu mapenzi bora huko The Hill of Wealth Blog:
Subscribe to:
Posts (Atom)