❗DEATH ANNOUNCEMENT
**ANDREW SANGA***
---With our deep sorrow, we are sad to let you all know that Andrew's heart suddenly stopped.05.45pm Leading to his death.
---We thank you all for all the prayers, and we should please continue praying for his and our peace as family, friend's, employer's, co-workers, Houston community and All his friend's and family from all over the world are acknowledged as well.
From Andrew's Family
--Daudi Mayocha
THC President
(Tanzania Houston Community)
*******"***************
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa!
Hii ni siku nyingine ya pili ya wiki Jumatano, siku tuliyopewa na Bwana wetu ni siku yenye baraka. Hii siku tumeichagua maalum kufunga na kuiombea faraja familia ya Andrew Sanga ambaye ametutoka jioni hii.
Karibu sana kwenye maombi yetu yanayoanza sasa. Tafadhali, jiunge pamoja nasi kwa kupiga simu namba 218-339-8459 ikifuatiwa na Pass code 256445#.
Kwa wale walio nje ya USA anza na '+1'.
Mbarikiwe sana 🙏🙏
Showing posts with label Texas. Show all posts
Showing posts with label Texas. Show all posts
Wednesday, April 20, 2016
Saturday, March 28, 2015
Afariiki Baada ya Kuchomwa Sindano ya Kuongeza Saizi ya Matako
Wadau, huko Texas mwanamke Mmarekani mweusi amepoteza maisha yake kwa kupenda kuchoma sindano za kuongeza saizi ya makalio. Huyo dada alichoma sindano kadhaa na kweli matako yake yaliongezeka. Lakini alitaka zaidi! Hatimaye sindano hizo zikamwua! Sindano zenyewe zina Super glue na fixa fleti ya matairi! Mpende mungu alivyowaumba. Na hao madaktari feki waliokuwa wanamchoma wamekimbia. Wakaikamatwa watashitakiwa kwa mauaji.
**************************
Wykesha Reid went to the Deep Ellum salon for the same reason many others did: She wanted to add curves.
“Everybody else got big booties,” Patricia Kelley, 70, who had raised Reid since she was a baby, said Reid told her. “So she wanted a big booty.”
Reid, 34, a nursing home staffer, joined a growing number of people who are turning to black-market buttocks injections — which are much cheaper and riskier than plastic surgery — to get their bodies closer to pop-culture idols such as Beyoncé and Kim Kardashian.
Reid went to the salon in the 3800 block of East Side Avenue three times for the injections with no problems.
“Your butt’s getting too big,” Kelley recalled telling her. “But she got hooked on them booty shots.”
On Feb. 18, Reid returned to the salon for a fourth visit, Kelley said Thursday. But something went wrong. Police found her body inside the business at 7 the next morning. The building had been cleaned out and her purse and cellphone were missing, Kelley said.
Now Reid’s family hopes someone will be brought to justice in her death.
Police issued arrest warrants late Wednesday on charges of practicing medicine without a license for Denise Ross, 43, and Jimmy Clarke, 31, who also is known as Alicia.
Ross and Clarke are wanted in connection with a case in which a woman who received butt injections suffered pain, soreness and psychological problems but survived.
Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:
Labels:
Big Butt,
Butt Implants,
Matako,
Matako Makubwa,
Murder,
Texas
Wednesday, April 06, 2011
Krystaal Watakuwa Texas Jumapili 4/10/11

The Award-Winning and International Acclaimed Trio will be performing LIVE at the Umoja Church Auditorium Sunday
April 10th 2011 Evening from 5:30PM through 8:00PM
This is a FREE concert, All are Welcome!
6411 LBJ FREEWAY DALLAS TEXAS,75240
Mawasiliano ni;Pastor Absalom Nasuwa; 214 554 7381, Nicholus Chove 682 552 6402, Matthew Mille 469 279 1762,
Labels:
International Gospel Church,
Krystaal,
Texas,
Umoja Church
Wednesday, July 21, 2010
Tanzanian Community Picnic in Dallas!
This sounds like a lot of fun! Enjoy!


Family Picnic!
Association of Tanzanian Natives in Dallas invites you to a Family Picnic on Saturday, July 24, 2010 starting at 4:00 pm to 10:00 pm.
Location: - Cottonwood Park, 1400 W. Belt Line Rd, Richardson, TX 75080
Picnic Format: “Bouncer” for kids, soccer, basketball, barbeque “nyama choma”, soft drinks, African traditional music, auction – “harambee” of some items such as vitenge, mashati, vinyago, tea, coffee, African food. Association of Tanzanian Natives in Dallas will make arrangements for grills, ice boxes, paper/plastic plates, etc. Please bring few dollars to purchase BBQ, food, drinks and some items.
Bring friends and families and let us have an afternoon of fun as we support our community and family event!
For directions or any other information, please call:
Prosper Kiswaga: 214-830-9906
Gloria Padmore: 940-735-1027
Peter Kihwili: 214-395-0303
http://www.tanzaniadallas.com/
Association of Tanzanian Natives in Dallas invites you to a Family Picnic on Saturday, July 24, 2010 starting at 4:00 pm to 10:00 pm.
Location: - Cottonwood Park, 1400 W. Belt Line Rd, Richardson, TX 75080
Picnic Format: “Bouncer” for kids, soccer, basketball, barbeque “nyama choma”, soft drinks, African traditional music, auction – “harambee” of some items such as vitenge, mashati, vinyago, tea, coffee, African food. Association of Tanzanian Natives in Dallas will make arrangements for grills, ice boxes, paper/plastic plates, etc. Please bring few dollars to purchase BBQ, food, drinks and some items.
Bring friends and families and let us have an afternoon of fun as we support our community and family event!
For directions or any other information, please call:
Prosper Kiswaga: 214-830-9906
Gloria Padmore: 940-735-1027
Peter Kihwili: 214-395-0303
http://www.tanzaniadallas.com/
Saturday, July 17, 2010
PASTOR ABIUD & CATHERINE Watakuwa Texas

Kwa heshima na unyenyekevu, ninapenda kuwatangazia watanzania na watu wote wanaoishi katika katika jiji hili la Dallas -Texas kwamba kutakuwa na SEMINA ya siku mbili ya neno la Mungu katika jiji letu la Dallas-Texas. Semina hii itaendeshwa na watumishi wa Mungu PASTOR ABIUD & CATHERINE PAMOJA NA EV.LENATA KUTOKA TANZANIA. Watumishi wa Mungu Mr&Mrs Abiud wanaheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kutokana na wito wao wa kumtumikia Mungu kwa upendo na unyenyekevu mkubwa.
Kwa sasa hawa watumishi wameweka maskani yao katika jiji la Kansas -Missour (USA).Ninaomba kwa kila mtu atakaesoma tangazo hili amkaribishe mwenzake.Pamoja na semina ya Mungu, watumishi hawa watapata nafasi ya kutoa ushauri kwa watu wanye matatizo binafsi na kuwaombea.Kama unahitaji ushauri wa ndoa,uchumba, mahusiano na mambo kama hayo usisite kutujulisha ili utengewe muda wa kukutana nao ana kwa ana..
Kwa sasa hawa watumishi wameweka maskani yao katika jiji la Kansas -Missour (USA).Ninaomba kwa kila mtu atakaesoma tangazo hili amkaribishe mwenzake.Pamoja na semina ya Mungu, watumishi hawa watapata nafasi ya kutoa ushauri kwa watu wanye matatizo binafsi na kuwaombea.Kama unahitaji ushauri wa ndoa,uchumba, mahusiano na mambo kama hayo usisite kutujulisha ili utengewe muda wa kukutana nao ana kwa ana..
Kumbuka tarehe ni 17-18/7/2010-Jumamosi na Jumapili ya wiki hii.
Mahali ni-Umoja Church,127217 Hillcrest Rd,Dallas Texas 75230
Muda ni:Saa kumi na moja mpaka saa mbili usiku (11-2 usiku) 5pm 8Pm.
Maelezo zaidi;214 554 7381,682 552 6402,214 773 6697.
NB:Kutakuwa na chakula maalumu pamoja na vinywaji kila baada ya semina ili kufahamiana zaidi.
Karibuni wote
Uongozi wa kanisa la Umoja Dallas Texas.
Wednesday, July 29, 2009
Amwua na Kumla Mwanae huko Texas!
Jamani! Sasa tunajua kweli mwisho wa dunia uko karibu! Mtu unakula mtoto wako uliyemzaa!
Huko Texas kuna habari kuwa Otty Sanchez (33), alimwue mtoto wake mchanga wa wiki tatu. Alimkata kichwa na viungo, halafu alikula ubongo wa mtoto na miguu yake. Ndugu zake na polisi walimkuta akimla, la sivyo angemaliza kula mwili mzima! LOH!
Sanchez alivyoulizwa kwa nini alifanya hivyo alisema ati, Shetani alimwambia amwue na kumla!
*************************************************
Police: Woman accused of killing newborn ate brain
Jul 27
By PAUL J. WEBER Associated Press Writer
SAN ANTONIO (AP) - A woman charged with murdering her 3 1/2-week-old son used a knife and two swords to dismember the child and ate parts of his body, including his brain, before stabbing herself in the torso and slicing her own throat, police said Monday.
Otty Sanchez, 33, is charged with capital murder in the death of her infant son, Scott Wesley Buchholtz-Sanchez. She was recovering from her wounds at a hospital, and was being held on $1 million bail.
Police Chief William McManus said the early Sunday morning attack occurred a week after the child's father moved out. The child's aunt and two cousins, ages 5 and 7, were in the house, but none were harmed.
McManus, who appeared uncomfortable as he addressed reporters, said Sanchez apparently ate the child's brain and some other body parts. She also tore his face off, chewed off three of his toes and decapitated the infant before stabbing herself.
"It's too heinous for me to describe it any further," McManus said.
Officers called to Sanchez's house at about 5 a.m. Sunday found her sitting on the couch "screaming that she killed her baby," police spokesman Joe Rios said. They found the boy's body in a bedroom.
Police said Sanchez said the devil told her to kill her son.
"It was a spontaneous utterance," McManus said. "She said she was hearing voices."
Sanchez does not yet have a lawyer, police said, and was hospitalized in San Antonio. The police declined to identify other family members.
No one answered the door Monday at Sanchez's home, where the blinds were shut. A hopscotch pattern and red hearts were drawn on the walk leading up to the house.
Neighbor Luis Yanez said everyone on the street was appalled by the news.
"Why would you do that to your baby?" said Yanez, 23, a tire technician. "It brings chills to you. They can't defend themselves."
Kwa habari zaidi someni:
http://www.newser.com/story/65485/cannibal-mom-diagnosed-with-schizophrenia-depression.html
Huko Texas kuna habari kuwa Otty Sanchez (33), alimwue mtoto wake mchanga wa wiki tatu. Alimkata kichwa na viungo, halafu alikula ubongo wa mtoto na miguu yake. Ndugu zake na polisi walimkuta akimla, la sivyo angemaliza kula mwili mzima! LOH!
Sanchez alivyoulizwa kwa nini alifanya hivyo alisema ati, Shetani alimwambia amwue na kumla!
*************************************************
Police: Woman accused of killing newborn ate brain
Jul 27
By PAUL J. WEBER Associated Press Writer
SAN ANTONIO (AP) - A woman charged with murdering her 3 1/2-week-old son used a knife and two swords to dismember the child and ate parts of his body, including his brain, before stabbing herself in the torso and slicing her own throat, police said Monday.
Otty Sanchez, 33, is charged with capital murder in the death of her infant son, Scott Wesley Buchholtz-Sanchez. She was recovering from her wounds at a hospital, and was being held on $1 million bail.
Police Chief William McManus said the early Sunday morning attack occurred a week after the child's father moved out. The child's aunt and two cousins, ages 5 and 7, were in the house, but none were harmed.
McManus, who appeared uncomfortable as he addressed reporters, said Sanchez apparently ate the child's brain and some other body parts. She also tore his face off, chewed off three of his toes and decapitated the infant before stabbing herself.
"It's too heinous for me to describe it any further," McManus said.
Officers called to Sanchez's house at about 5 a.m. Sunday found her sitting on the couch "screaming that she killed her baby," police spokesman Joe Rios said. They found the boy's body in a bedroom.
Police said Sanchez said the devil told her to kill her son.
"It was a spontaneous utterance," McManus said. "She said she was hearing voices."
Sanchez does not yet have a lawyer, police said, and was hospitalized in San Antonio. The police declined to identify other family members.
No one answered the door Monday at Sanchez's home, where the blinds were shut. A hopscotch pattern and red hearts were drawn on the walk leading up to the house.
Neighbor Luis Yanez said everyone on the street was appalled by the news.
"Why would you do that to your baby?" said Yanez, 23, a tire technician. "It brings chills to you. They can't defend themselves."
Kwa habari zaidi someni:
http://www.newser.com/story/65485/cannibal-mom-diagnosed-with-schizophrenia-depression.html
Monday, February 23, 2009
Mkutano Dallas
Jumuia ya Watanzania Dallas
Ndugu Wajumuia,
Kwa niaba ya mwenyekiti wa muda ndugu Simon Nkanda, napenda kuchukua fursa hii kuwakumbusha kuwepo kwa mkutano mkuu utakaofanyika Jumamosi ya tarehe 28, Februari 2009, kwenye ukumbi wa 12727 Hillcrest Dallas TX 75230. Mkutano huu utaanza saa kumi na moja jioni mpaka saa nne usiku. Tukio hili kubwa na la kihistoria lina nia na madhumuni ya kuimarisha jumuia ya Watanzania waishio jijini Dallas na vitongoji vyake. Katika harakati zake za kuunda jumuia hii mwenyekiti, katibu, na viongozi wa kamati mbalimbali wa muda walichaguliwa. Vilevile hatua nyingine ya kihistoria iliyochukuliwa ni kuundwa kwa katiba ambayo jumuia hii itafuata mwenendo, taratibu na muelekeo wa kimaendeleo. Mkutano huu utachukua fursa ya kutambulisha jumuia ya Watanzania hapa Dallas na vitongoji vyake umuhimu wa kuwa na amani, upendo, ushirikiano, umoja na kufuata tararatibu ambazo zitaimarisha jumuia hii. Katika mkutano huu, mwenyekiti, katibu, na viongozi wa kamati mbalimbali watatambulishwa. Vile vile katika jitihada za kuimarisha jumuia hii, hatua zimechukuliwa za kusajili jumuia hii, kuanzishwa mfuko wa dharura, kuanzishwa mtandao mpya, kutumia njia ya teknohama ili kuimarisha mawasiliano na kuutaarifu ubalozi wa Tanzania hapa Marekani tukio hili la kihistoria. Kiongozi wa ubalozi wa Tanzania huko Washington D.C. , Dr Mkama atahudhuria mkutano huu. Kijiweni restaurant wanafadhili mkutano huu na watatoa huduma ya chakula.. Kutakuwa na wageni kuoma miji mingine hapa Marekani ambao watahudhuria mkutano huu. Tunaomba Watanzania wote mliopo Dallas na vitongoji vyake mjitokeze kwa wingi ili tukamilishe jitihada hizi. Tukumbuke tena, “Our real values are expressed in our actions, in what we do and how we do it”.
Kwa maelezo zaidi tunaomba muwasiliane na:
Ndugu Simon Nkanda Ndugu Abdul Amiri
Phone: 469-585-8476 Phone: 214-535-6329
(Mwenyekiti wa muda) ( Katibu wa muda)
Friday, September 12, 2008
Wadau wa Texas - Mpo Salama?
Friday, August 08, 2008
Tanzia - Mama Ethro Yohane Gadau

Taarifa ya msiba
Habari za leo ndugu wanajumuiya,
Alfajiri ya leo tumepokea taarifa ya msiba wa mama yetu mpendwa Ethro Yohane Gadau. Mama Ethro amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 7 August 2008 katika hospitali ya West Houston Medical Center iliyopo hapa Houston kutokana na “shinikizo la damu” lililompata tarehe 5 August 2008.
Marehemu Ethro alizaliwa tarehe 12 Decemba mwaka 1956. Marehemu, alikuja Houston miezi miwili iliyopita kumtunza mwanae, Jane Wella, na mjukuu wake mchanga, Naomi Mbuyah.. Ameacha mume (Eleutherius J. Wella), watoto wanne (Pamella, Andrew, Jane, na Clara), na wajukuu wawili – Labron Wella, na Naomi Mbuyah.Kikao cha awali cha maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu mama yetu kwenda Dar-es-Salaam, Tanzania kimefanyika leo jioni 7 August 2008 nyumbani kwa Jonas Mbuya.
Kikao hiki kilichoongozwa na Mzee Leonard Tenende kimechagua viongozi wa msiba huu kama ifuatavyo:M/Kiti: Mathew Mohono 281 804 6478M/Hazina: Jonas Mbuya 832 428 5621Wasemaji wa msiba huu: Ephraim Mpendaamani na DominoWanakamati: Nuru Mazola,Lilian Maliti,Toni Makinda, Margareth Jenga, Mami Kasomi na Mariam Janguo.
Pia kikao hiki kwa pamoja kimeamua kuwa na harambee siku ya Jumamosi tarehe 9 August 2008 kuanzia saa kumi kamili jioni (4pm) (ukumbi bado unashughulikiwa na tutawajulisha mara tu tukipata taarifa). Mipango ya sehemu ya kuhifadhia mwili wa marehemu bado inashughulikiwa na Bw. Juma Maswanya.
Juhudi zinafanyika ili hiyo sehemu tuweze kuitumia kuaga mwili wa marehemu siku ya Jumapili(August 10).Makadirio ya usafirishaji wa mwili ni dola elfu kumi na nane ($18,000.00). Makadirio haya yanahusisha gharama zote za kuufikisha mwili wa mama yetu mpendwa nyumbani Tanzania.
Kwa sababu hiyo basi, kwa niaba ya familia ya Mzee Wella wanajumuiya tunaombwa tujitolee kwa kadri ya uwezo wetu ili tuweze kufanikisha lengo letu la $18000. Wanajumuiya tunaombwa tuwe na kiwango cha chini cha dola mia($100) kama rambirambi. Pia kama una chochote ambacho ungependa kutoa kwa ajili ya mnada tafadhali wasiliana na yeyote hapo juu.
Pia kwa kurahisisha shughuli hii akaunti imefunguliwa kwa ajili ya wale walio nje ya jiji la Houston. Benki ni WACHOVIA. Routing Number: 111015159 Akaunti namba ni: 1010199794410.
Waliopo kwenye akaunti hii ni JONAS MBUYA na ANDREW WELLATumfariji Jane – mwanajumuia mwenzetu – pamoja na familia yake katika kipindi hiki kigumu sana cha kumpoteza mama yetu mpenzi.
Anwani ya nyumbani kwake ni:
2751 Wallingford Dr. #2912
Houston, TX 77042….. Gate code 2369
Tunaomba akina mama/dada walete vyakula na akina kaka/baba walete vinywaji wanapokuja msibani na siku ya harambee.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina
EPHRAIM MPENDAAMANI
Msemaji wa Msiba (kwa niaba)
Habari za leo ndugu wanajumuiya,
Alfajiri ya leo tumepokea taarifa ya msiba wa mama yetu mpendwa Ethro Yohane Gadau. Mama Ethro amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 7 August 2008 katika hospitali ya West Houston Medical Center iliyopo hapa Houston kutokana na “shinikizo la damu” lililompata tarehe 5 August 2008.
Marehemu Ethro alizaliwa tarehe 12 Decemba mwaka 1956. Marehemu, alikuja Houston miezi miwili iliyopita kumtunza mwanae, Jane Wella, na mjukuu wake mchanga, Naomi Mbuyah.. Ameacha mume (Eleutherius J. Wella), watoto wanne (Pamella, Andrew, Jane, na Clara), na wajukuu wawili – Labron Wella, na Naomi Mbuyah.Kikao cha awali cha maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu mama yetu kwenda Dar-es-Salaam, Tanzania kimefanyika leo jioni 7 August 2008 nyumbani kwa Jonas Mbuya.
Kikao hiki kilichoongozwa na Mzee Leonard Tenende kimechagua viongozi wa msiba huu kama ifuatavyo:M/Kiti: Mathew Mohono 281 804 6478M/Hazina: Jonas Mbuya 832 428 5621Wasemaji wa msiba huu: Ephraim Mpendaamani na DominoWanakamati: Nuru Mazola,Lilian Maliti,Toni Makinda, Margareth Jenga, Mami Kasomi na Mariam Janguo.
Pia kikao hiki kwa pamoja kimeamua kuwa na harambee siku ya Jumamosi tarehe 9 August 2008 kuanzia saa kumi kamili jioni (4pm) (ukumbi bado unashughulikiwa na tutawajulisha mara tu tukipata taarifa). Mipango ya sehemu ya kuhifadhia mwili wa marehemu bado inashughulikiwa na Bw. Juma Maswanya.
Juhudi zinafanyika ili hiyo sehemu tuweze kuitumia kuaga mwili wa marehemu siku ya Jumapili(August 10).Makadirio ya usafirishaji wa mwili ni dola elfu kumi na nane ($18,000.00). Makadirio haya yanahusisha gharama zote za kuufikisha mwili wa mama yetu mpendwa nyumbani Tanzania.
Kwa sababu hiyo basi, kwa niaba ya familia ya Mzee Wella wanajumuiya tunaombwa tujitolee kwa kadri ya uwezo wetu ili tuweze kufanikisha lengo letu la $18000. Wanajumuiya tunaombwa tuwe na kiwango cha chini cha dola mia($100) kama rambirambi. Pia kama una chochote ambacho ungependa kutoa kwa ajili ya mnada tafadhali wasiliana na yeyote hapo juu.
Pia kwa kurahisisha shughuli hii akaunti imefunguliwa kwa ajili ya wale walio nje ya jiji la Houston. Benki ni WACHOVIA. Routing Number: 111015159 Akaunti namba ni: 1010199794410.
Waliopo kwenye akaunti hii ni JONAS MBUYA na ANDREW WELLATumfariji Jane – mwanajumuia mwenzetu – pamoja na familia yake katika kipindi hiki kigumu sana cha kumpoteza mama yetu mpenzi.
Anwani ya nyumbani kwake ni:
2751 Wallingford Dr. #2912
Houston, TX 77042….. Gate code 2369
Tunaomba akina mama/dada walete vyakula na akina kaka/baba walete vinywaji wanapokuja msibani na siku ya harambee.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina
EPHRAIM MPENDAAMANI
Msemaji wa Msiba (kwa niaba)
Wednesday, March 05, 2008
Senator Hillary Clinton Afufuliwa! - Uchaguzi 2008

Majuzi watu walikuwa wansema kuwa ni bora Senator Hillary Clinton, ajitoe katika mashindano ya kugombania urais wa Marekani. Hiyo ni baada ya Senator Barack Obama, kushinda katika states 12 mfululizo.
Jana Senator Clinton alishinda states za Ohio na Texas ambazo zina wajumbe wengi watakao piga kura katika mkutano mkuu wa Democrats mwezi Agosti. Hao ndo wanampitisha mgombea. Pamoja na ushindi wake Obama bado ana kura nyingi.
Kwa kweli sijafurahi hizi wiki mbili zilizopita kuona jinsi Mama Clinton alivyochafua jina la Obama. Mara aseme hawezi kuwa na uhakika kuwa si mwislamu. Na alifanya hivyo maksudi kwa vile alijua waMarekani ni waoga na waislamu baada ya mashambulizi ya 9/11. Halafu walifufua ile picha aliyopiga Kenya amevaa nguo za kiSomali mwaka 2006. Na kuna maovu mengine ambayo kampeni yake ilifanya.
Naomba mjue kuwa ubaguzi bado upo hapa Marekani. Hasa katika hizi states za Kaskazini. Sijui kama mlisikia yaliyotokea jana huko Ohio kwenye maeneo ya weusi. Weusi walijitokeza kwa wingi kupiga kura lakini walishindwa. Mfano, sehemu moja walikuwa na kura 50 na watu 300 walijitokeza. Hivyo watu wengi walishindwa kupiga kura. Ilibidi watu wa Obama wamwombe jaji aamuru shemu za kupiga kura zikae wazi kwa saa moja zaidi ili watu wapate nafasi ya kupiga kura. Matatizo kama hayo yalitokea hapa Massachusetts kwenye maeno ya weusi wakati Gavana wetu, Deval Patrick, alivyogombania.
Pia huko Ohio kulikuwa na matatizo kibao, hitilafu za mashine, matishio ya mabomu na mengine.
Halafu washenzi kama Rush Limbaugh, waliomba marepublicans wampigie Senator Clinton kusudi Obama asishinde. Alisema Clinton akishinda basi atazidi kumpaka matope Obama. Siasa bwana!
Leo, Hillary anadokeza kuwa kama atachuguliwa kuwa mgombea wa Democrats atamchagua Obama kuwa running mate, yaani makamu wake. Sijui kama mimi ningekuwa Obama ningekubali maana huyo Mama Clinton ameonyesha ana ukatili ndani yake. Yuko tayari kufanya chochote ili ashinde.
Pia Bush akiondoka January 2009, ataacha nchi na hali mbaya sana ya kiuchumi na kila kitu. Ambaye atashinda atakuwa na kazi kubwa mbele yake. Mungu ambariki atakayeshinda.
Jana Senator Clinton alishinda states za Ohio na Texas ambazo zina wajumbe wengi watakao piga kura katika mkutano mkuu wa Democrats mwezi Agosti. Hao ndo wanampitisha mgombea. Pamoja na ushindi wake Obama bado ana kura nyingi.
Kwa kweli sijafurahi hizi wiki mbili zilizopita kuona jinsi Mama Clinton alivyochafua jina la Obama. Mara aseme hawezi kuwa na uhakika kuwa si mwislamu. Na alifanya hivyo maksudi kwa vile alijua waMarekani ni waoga na waislamu baada ya mashambulizi ya 9/11. Halafu walifufua ile picha aliyopiga Kenya amevaa nguo za kiSomali mwaka 2006. Na kuna maovu mengine ambayo kampeni yake ilifanya.
Naomba mjue kuwa ubaguzi bado upo hapa Marekani. Hasa katika hizi states za Kaskazini. Sijui kama mlisikia yaliyotokea jana huko Ohio kwenye maeneo ya weusi. Weusi walijitokeza kwa wingi kupiga kura lakini walishindwa. Mfano, sehemu moja walikuwa na kura 50 na watu 300 walijitokeza. Hivyo watu wengi walishindwa kupiga kura. Ilibidi watu wa Obama wamwombe jaji aamuru shemu za kupiga kura zikae wazi kwa saa moja zaidi ili watu wapate nafasi ya kupiga kura. Matatizo kama hayo yalitokea hapa Massachusetts kwenye maeno ya weusi wakati Gavana wetu, Deval Patrick, alivyogombania.
Pia huko Ohio kulikuwa na matatizo kibao, hitilafu za mashine, matishio ya mabomu na mengine.
Halafu washenzi kama Rush Limbaugh, waliomba marepublicans wampigie Senator Clinton kusudi Obama asishinde. Alisema Clinton akishinda basi atazidi kumpaka matope Obama. Siasa bwana!
Leo, Hillary anadokeza kuwa kama atachuguliwa kuwa mgombea wa Democrats atamchagua Obama kuwa running mate, yaani makamu wake. Sijui kama mimi ningekuwa Obama ningekubali maana huyo Mama Clinton ameonyesha ana ukatili ndani yake. Yuko tayari kufanya chochote ili ashinde.
Pia Bush akiondoka January 2009, ataacha nchi na hali mbaya sana ya kiuchumi na kila kitu. Ambaye atashinda atakuwa na kazi kubwa mbele yake. Mungu ambariki atakayeshinda.
Kwa habari zaidi someni:
Labels:
Barack Obama,
Hillary Clinton,
Ohio,
Rush Limbaugh,
Texas
Monday, January 07, 2008
Amwua na Kumpika Mpenzi wake

Kuna nini ndani ya maji ya Texas inayofanya watu wanaoiinya kufanya vituko?
Leo kuna habari kuwa huko Tyler, Texas, jamaa fulani tena mmarekani mweusi, kamwua mpenzi wake, Jana Shearaer (21). Baada ya kumwua kamkatakata vipande, kachemsha vipande hivyo, na kuweka mezani pamoja na uma na kisu tayari kwa kula.
Polisi wanasema walivyofika nyumbani kwa, Christopher Lee McCuin (25), walikuta sufuria ya supu inachemka jikoni, juu ilikuwa inaelea sikio la bindamu. Mezani kulikuwa na kipande cha nyama ya binadamu iliyopikwa na uma ilikuwa ndani tayari kwa kula! DUH! Mauji na vituko vilivyofuata alifanya nyumbani kwa mama yake.
Christopher alimwita mama yake kuja kushuhudia alivyofanya, ndo mama yake alikimbia kwenda kuita polisi.
Polisi hawajui kama alimla sehemu au la. Itabidi kinyesi chake kipimwe.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema mbinguni. Amen.
Kwa vile hayo mauji yalitokea Texas, huyo Christopher atahukumiwa adhabu ya kifo.
Kwa habari zaidi someni:
Subscribe to:
Posts (Atom)