Showing posts with label Ugonjwa. Show all posts
Showing posts with label Ugonjwa. Show all posts

Saturday, April 13, 2019

Ugonjwa wa Homa ya Dengue Umerudi!

(AP) - Tanzanian authorities have announced an outbreak of the mosquito-borne dengue fever in the commercial capital Dar es Salaam and Tanga region along the coast.

   Deputy health minister Faustine Ndugulile said Thursday that 252 people have been hospitalized in Dar es Salaam while 55 others have been admitted at health facilities in the Tanga region.

   Dengue fever causes severe headache along with muscle and joint pain. There is no cure.

   The Tanzanian government attributes the outbreak to heavy rainfall.

Saturday, April 29, 2017

Kenyan Doctor Discovers Hepatitis C Treatment

AJABU LIVE VIDEO INTERVIEW: How Kenya’s Dr. Njoroge Discovered HEP C Treatment Drug

(AJABU AFRICA NEWS, APRIL 27, 2017) BOSTON--By leading a team that discovered Victrelis, the first ever effective Hepatitis C treatment drug , in addition to being the first African ever to be granted over 100 patents in the USA, Kenyan born Dr. George Njoroge has continued to be a trail blazer in the bio chemistry arena. 
He has therefore become a great role model for many Kenyans and Africans everywhere who now see living proof that they have what it takes to be competitive on the global arena and rise to the top.

According to the Centers for Disease Control and Prevention (CDC)Hepatitis C kills more Americans every year more than any other infection diseases, with about 19,659 deaths reported in 2014 alone, mainly attributed to low levels of diagnosis and treatment as most patients do not even know they are suffering.

In addition, about 3.5 million Americans are currently living with the disease, with nearly half of them unaware since hepatitis C has no obvious symptoms.

The numbers of deaths and those living with the disease are much higher if the entire world population is taken into account. READ MORE & WATCH VIDEO HERE >>>

Tuesday, February 07, 2017

Rais Mstaafu George H.W. Bush ni Mzima!

Wadau, siku Rais Donald Trump anaapishwa tulidhani kuwa Rais Mstaafu George H. W. Bush, yuko mahututi atakufa dakika yoyote. Mke wa Barbara naye alikuwa hoi hospitalini. Ajabu juzi tuliwaona kwenye mchezo wa Super Bowl, wakitabasamu,kupungia watu na hata kufanya coin toss, kujua nani atarusha mpira kwanza. Wataishi maisha mrefu hao. Sasa watu wanafanya matani !😂😂😂
j

Saturday, February 13, 2016

Fahamu Jinsi Radiotherapy Inavyoweza kuokoa Maisha

Dk. Mahadev, mshauri mwandamizi wa radiotherapia kutoka Hospitali za Apollo.


Na Mwandishi wetu,
Matibabu ya kawaida ya saratani huwa yanahusisha upasuaji, radiotherapia na kemotherapia. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa kwenye tiba kwa njia hizo mbili. Katika hatua za mwanzo, saratani huwa ni ugonjwa unaotibika kwa dozi moja mahususi lakini saratani iliyosambaa au kukomaa inahitaji dozi zaidi ya moja katika kuitibu. Radiotherapia, ni tiba iliyopo katika mfumo maalumu unaoleta matokeo katika mwili mzima.
Dk. Mahadev , mshauri mwandamizi wa tiba ya uvimbe kwa mionzi kutoka hospitali za Apollo anaeleza kwamba radiotherapia inahusisha chembe chembe ndogo za mionzi ya gamma au X-rays katika kutibu saratani na hata matatizo ambayo sio ya saratani pia. Mionzi hii imegawanyika katika ile mionzi ya mbali (external radiotherapy) ambayo chanzo cha mionzi kinakuwa mbali na mwili na ile mionzi ya karibu ambayo mionzi inawekwa karibu ili kuchoma sehemu yenye uvimbe peke yake.

Mionzi ya karibu ni aina nzuri ya kutibu saratani ila kwa uvimbe unaoonekana kirahisi na unaofikika. Hivyo saratani iliyopo mdomoni, saratani ya tezi dume, saratani ya kizazi zote zinaweza kutibiwa kwa mionzi ya karibu peke yake. Faida kubwa ya mionzi ya karibu ukilinganisha na mionzi ya mbali ni kwamba mionzi ya karibu inahusisha uponyaji ndani ya muda mfupi (siku 3-5) wakati mionzi ya mbali inachukua hadi wiki 7 hadi 8. Uvimbe wowote uliokomaa unahitaji mionzi ya mbali.

Lengo kubwa la matumizi ya radiotherapia ni kuchoma sehemu pekee yenye uvimbe na kuepuka kuchoma sehemu nyingine za pembeni katika mwili. Mionzi ya mbali inahistoria ndefu kutoka enzi za cobalt kwenda kwenye hali ya teknolojia ya juu ya kutoa tiba ya mionzi kwa moduli ya hali ya juu (IMRT), mionzi kwa kuongozwa na picha (IGRT), upasuaji kwa njia ya sterio (SRS) na njia ya sterio kwa mionzi mwilini (SBRT). Mashine yenye program maalumu kwa ajili ya upasuaji (Cyberknife robotic radiosurgery ) ni njia bora zaidi katika kufanya SRS na SBRT, aliongeza Dk. Mahadev  kuwa teknolojia hizi zinapatikana katika hospitali za Apollo.

Umuhimu pekee wa kutumia mashine yenye program maalumu kwa ajili ya upasuaji ni kukata milimeta sahihi na uponyaji katika siku chache. Ni tiba ya mgonjwa bila kulazwa na hahihitaji nusu kaputi katika kufanyika. Hivyo saratani ya mapafu na tezi dume inaweza kutibika ndani ya siku 3 hadi 5, wakati muda wake kawaida huchukua wiki 7-8 kwa uangalizi wa karibu. Mashine yenye program maalumu kwa ajili ya upasuaji ni muhimu katika kutibu uvimbe, ambao hauwezekani kufanyiwa operesheni kwa sababu ya eneo ilipo aidha katika ubongo au uti wa mgongo. Inatumika kutibu magonjwa kama meningiomas, uvimbe katika pituitary, mishipa ya ateri iliyodhofika (AVM) na madhara kutokana na saratani katika ubongo, mapafu na ini.

Dk. Mahadev  anaelezea njia bora ya kutumia radiotherapia ni kwa protoni. Faida kubwa ya protoni ukilinganisha na njia ya kawaida ni katika kutoa mionzi kwa umakini zaidi hasa kuchoma sehemu yenye uvimbe peke yake. Hiyo inapelekea matokeo mazuri na madhaifu machache. Kutokana na kutokuwa na dozi zaidi katika kutibu uvimbe, ni vyema kudhibiti uvimbe ukiwa katika hatua za mwanzo ambapo huwa tunaogopaga madhara ya kutumia mionzi. Matumizi ya protoni ni mapinduzi katika tiba ya saratani. Saratani ya kichwa na shingo, mapafu na tezi dume huwa zinatibika kirahisi kabisa kwa mionzi hii ya protoni.

Baadhi ya saratani zinazotibika kwa upasuaji, inaweza kutibika kirahisi kwa radiotherapia tu. Ikiwa hatua ya mwanzo, saratani ya mdomoni, mfumo wa chakula, tezi dume, zaweza tibiwa kwa mionzi peke yake. Faida katika kutibu aina hizi za saratani ni kuwa zipo sehemu zinazofikika. Mgonjwa anaweza kuwa na ogani inayofanya kazi vizuri hivyo kuona ubora wa maisha. Saratani nyingi zilizokomaa huwa zinahitaji kwa pamoja upasuaji, radiotherapia na kemotherapia katika kuitibu ambazo zote zinapatikana katika teknolojia ya juu kutoka hospitali za Apollo.

Tumetoka kwenye enzi za kufanya operesheni kubwa na kuingia kwenye utunzaji wa ogani zetu kwa msaada wa teknolojia ya mionzi bora na dawa mpya na bora za tiba kwa kemotherapia. Kwa mfano saratani ya matiti ndio saratani inayoongoza kwa wanawake duniani. Hapo kabla, titi lote lilikuwa linakatwa. Ila kwa sasa wagonjwa wengi wanabaki na matiti yao salama kwa upasuaji mdogo tu unaofanywa.

Tiba hiyo ndogo katika tiba inawasaidia wanawake kuwa na saikolojia chanya inayowafanya wapone haraka pia. Kichwa na shingo, mfumo wa chakula, saratani ya tezi dume na sehemu nyingine ambazo huwa kutokuondoa ogani ni kitu cha muhimu katika tiba.
Radiotherapia ni mbadaka zuri kuepuka upasuaji au kemotherapia katika kupambana na saratani. Mabadiliko makubwa katika teknolojia na matumizi ya kompyuta yamewezesha utoaji bora wa huduma ya tiba ya mionzi kwa madhara kidogo sana.



Kuhusu Hospitali ya Apollo

Hospitali za Apollo ni za kwanza katika eneo Asia Pacific kutoa huduma za upasuaji kwa kutumia mfumo huu wa Robot, ambayo ni aina ya upasuaji isiyokuwa na madhara. Taasisi ya upasuaji kutumia Robot iliyopo hospitalini hapo wamejitoa kipekee katika kutoa huduma bora kwa wagonjwa.

Taasisi ina wataalamu waliobobea kwenye mafunzo ya upasuaji, upendo katika utoaji wa huduma vifaa vya matibabu vya kisasa vinavyolenga kutoa uzoefu bora kwa mgonjwa. Vifaa hivyo ni pamoja na vifaa Robot ya Da Vinci inayotumika katika upasuaji.

Mfumo huu wa upasuaji hutumika katika teknolojia ya upasuaji wa magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo (Urology), magonjwa ya wanawake (Gynaecology), moyo, utumbo, na magonjwa ya watoto na matatizo ya uti wa mgongo.
--

Sunday, December 06, 2015

Kesi ya Rufaa ya Talaka ya Thadei Mtembei Imeahirishwa

wooden gavel and books on wooden table,on brown background

Na Mwandishi wetu

KESI ya rufaa ya madai ya talaka dhidi ya mfanyabiashara na Mkurugenzi wa shule ya sekondari ya St Mathew, Thadei Mtembei imeahirishwa baada ya wakili wa Mtembei, Mussa Kyoboya kudai mrufaniwa yuko India kwa matibabu.

Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Tarimo.

Katika kesi hiyo, mpeleka rufaa, Magreth Mwangu anawakilishwa na wakili Chacha Mrungu. Kesi hiyo ilikuja mahakamani juzi ambapo mrufaniwa alitakiwa kupeleka majibu ya rufaa.

Hata hivyo, wakili wake alisema majibu hayako tayari kwani kuna vipengele ambavyo alitakiwa kusaini, lakini ilishindikana kutokana na kuwa nchini India kwa matibabu. Kesi hiyo imepangwa kuendelea Desemba 16 mwaka huu.

Awali, kesi hiyo ilisikilizwa katika Mahakama ya Mwanzo Kizuiani mbele ya hakimu Rajab Tamaambele, ambapo Mwangu na watoto wake walionekana hawana haki, kwa madai sio mke halali na watoto hao ni wa zinaa kutokana na kuzaliwa nje ya ndoa.

Katika madai ya msingi, Mwangu anataka talaka, mgawanyo wa mali na matunzo ya watoto.

Katika sababu za rufaa, mrufani alieleza kusikitishwa na maamuzi yaliyotolewa na Mahakama ya Mwanzo Kizuiani Septemba Mosi mwaka huu, kwa hakimu kukosea kisheria kwa kutosaini nakala ya hukumu ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa saini za wazee wa baraza.

Sababu nyingine ni Mahakama kukosea kisheria kwa kunyang’anya haki ya watoto kwa kutotoa matunzo ya watoto kwa mama, ambaye anaishi na mrufaniwa kwa miaka 20 na kuvunja Sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009. Maamuzi ya Mahakama ya Kizuiani yalishindwa kufuata sheria kwa wazee wa baraza kushindwa kutoa maoni yao.

Saturday, July 26, 2014

Ugonjwa wa Chikugunya Marekani

 Ugonjwa wa Chikugunya unayosambaza na Mbu sasa uko Marekani!  Mbu wanaosambaza wanaitwa Andes na wanauma watu mchana.  Wana sayansi wanasema kuwa asili ya Ugonjwa wa Chikungunya ni Tanzania.

******************************************************

Aedes Mosquito

By Maggie Fox

Chikungunya has been reported in a Florida man and woman who had not recently traveled, health officials said Thursday — the first indication that the painful virus has taken up residence in the United States.

Health experts had said it was only a matter of time before the virus, carried by mosquitoes, made its way to the U.S. It’s been spreading rapidly in the Caribbean and Central America. It's infected 350,000 and killed 21.

Sign up for top health news direct to your inbox.

There have been other U.S. cases but all have been among people who had recently traveled to affected regions.

“Seven months after the mosquito-borne virus chikungunya was recognized in the Western Hemisphere, the first locally acquired case of the disease has surfaced in the continental United States,” the Centers for Disease Control and Prevention said in a statement.

"The first locally acquired case of the disease has surfaced in the continental United States.”

Florida health officials later said there were two cases: a 41-year-old woman in Miami-Dade County and a 50-year-old man in Palm Beach County.

“Since 2006, the United States has averaged 28 imported cases of chikungunya (chik-un-GUHN-ya) per year in travelers returning from countries where the virus is common. To date this year, 243 travel-associated cases have been reported in 31 states and two territories,” CDC said.

“However, the newly reported case represents the first time that mosquitoes in the continental United States are thought to have spread the virus to a non-traveler. This year, Puerto Rico and the U.S. Virgin Islands reported 121 and two cases of locally acquired chikungunya respectively.”

Chikungunya is not usually deadly, but it can cause a very bad headache, joint pain, rash and fever. Its name in the Makonde language, spoken in Tanzania and Mozambique in Africa, means “that which bends up,” because patients are often contorted with pain. They can spend weeks in bed, racked with pain.
The virus only arrived in the Western Hemisphere in December, on St. Martin.

The Aedes aegypti and Aedes albopictus mosquitoes that spread chikungunya are found across the southern United States and as far north as New York. A. albopictus is commonly known as the Asian tiger mosquito and itself only came to the United States in recent decades.

So what’s the difference between a traveler carrying it and a locally transmitted case? The virus grows in human blood and when a mosquito bites an infected person, it can spread it to others. So an infected person can carry the virus to new places and it spreads that way. Officials have been cautioning that the virus could become established in the U.S. , much as West Nile virus did starting in 1999.

There's no vaccine against chikungunya and the only treatment is rest and pain relief.

“The arrival of chikungunya virus, first in the tropical Americas and now in the United States, underscores the risks posed by this and other exotic pathogens,” said Roger Nasci, who heads CDC’s Arboviral Diseases Branch. “This emphasizes the importance of CDC’s health security initiatives designed to maintain effective surveillance networks, diagnostic laboratories and mosquito control programs both in the United States and around the world.”

CDC and the Florida Department of Health said they are looking for other locally acquired cases.

"More chikungunya-infected travelers coming into the United States increases the likelihood that local chikungunya transmission will occur."

“It is not known what course chikungunya will take now in the United States. CDC officials believe chikungunya will behave like dengue virus in the United States, where imported cases have resulted in sporadic local transmission but have not caused widespread outbreaks,” CDC said. Dengue has been seen in Florida and South Texas.

“None of the more than 200 imported chikungunya cases between 2006 and 2013 have triggered a local outbreak. However, more chikungunya-infected travelers coming into the United States increases the likelihood that local chikungunya transmission will occur."

The good news is people are immune after one infection.

And a recent study suggests the United States has a bit of time on its side. The strain of chikungunya circulating in the Caribbean is the Asian strain, and it’s only adapted to be carried by the Aedes aegypti mosquito, says Scott Weaver of the University of Texas Medical Branch, who’s been studying the virus for years. And so far, that mosquito can only be found in the far southern U.S.

Thursday, June 26, 2014

GARANI MW1 - Eti ni Dawa ya Kutibu UKIMWI Kutoka Malawi

Eti, kuna dawa ya kutibu UKIMWI huko Malawi.  Hii dawa ni unga ambao unaweza kuchanganya na chakula chako.  Waliotengeneza wanadai kuwa pamoja na kutibu, muathirika atakuwa na hamu ya kula chakula kingi na atakuwa na kiu mara kwa mara.

 Lakini watu wamejitokeza na kusema hiyo dawa ni feki na haitibu ugonjwa wowote!

Wadau, watu wanaotaka kupona watakuwa na hamu ya kutumia kitu chochote ambacho kinaweza kuwatibu! Mnakumbuka Kikombe cha Babu?  Mnakumbuka waliozuka na vilombe baada ya hapo?  Nakumbuka miaka ya 90 kuna mtau alidai ana dawa Nairobi! Wagonjwa walimiminika kule! Watu wanachezea tumaini ya wagonjwa!  Ni dhambi!

Mnaweza kusoma habari ya  wanaodai GARANI MW1 ni feki kwa KUBOFYA HAPA:


******************************************************

GARANI MW1 - Herbal AIDS MEDICINE



GARANI MW1 is a herbal preparation that is being used to treat people that have HIV and AIDS. It has strong antiviral properties and therefore also positively affects immune system. The medicine improves the immune system by increasing ones CD4 cell count because viral replication is reduced/halted. The body is then able to fight opportunistic infections that come due to the compromised immunity.  The viral load is reduced to undetectable levels and people have tested non reactive to the HIV tests using both anti body and HIV DNA/ PCR tests. 
 As Garanimw1 is available in powder form, it is taken through porridge made from maize flour with no sugar or salt, one tea teaspoon per day, once a day for three consecutive days, repeated after a period of two weeks from the same pack. Some have become totally cured after taking only one pack while others may need to repeat the dose at 1 month intervals.  
DISEASES

Frequent and nonstop headaches, chest pains and breathlessness, chronic undefined coughs, skin rashes, other skin conditions, cancer, hair loss, swollen lymph nodes, painful legs, asthma, unexplained weight loss, numbness in the legs and other body parts, hormonal imbalances, general body weaknesses and pains, chronic wounds, diabetes, high blood pressure, loss of memory, cancerous growths, anaemia, skin discolorations and many others. 
 
 There are many people that have taken the medicine but did not have the HIV virus and have reported success stories on diseases and conditions such as diabetes, high blood pressure, asthma, stomach ulcers, sickle cell, and other abdominal swellings in the body, amenorrhea and others. Some people who had lost their shape due to the effects of ARVs (lipodystrophy) have regained it even while taking the drugs.  
INSTRUCTIONS

1.The full course of the medicine is three teaspoons of the powder taken over a period of three days, one teaspoon per day for three days – put in porridge with no sugar or salt. The remaining powder should be taken after two weeks in the same manner until it is finished. One should choose time when to take the medcine
 2. The porridge should be put in a bowl or cup before adding the medicine and not in a pot.
3.For couples, both should take the medicine and abstain from sex or use condoms correctly and consistently until they go for the HIV test when time is due  
4.One can go for test after 12 months. This is the HIV antibody test in which a small amount of blood from a finger prick is tested since antibodies may persist in the blood for several months even after when the disease causing organism has disappeared from the blood stream.  
5.HIV DNA PCR test can be done after 10 months which looks into the presence of the actual virus.  
6.If one is on ARVs or any other medication they should continue taking the medicine and one will be advised to stop taking the ARVs by a qualified physician when all the above tests are done and are negative 
 7.The known effects of the medicine is that others may develop increased appetite and thirst therefore food and water should be taken as required.
 NOTE: For better and faster results, the dosage should be repeated at 1 month interval for two or more times with condom use at all times although one dose

Thursday, May 29, 2014

Mtoto Shigella Afariki Dunia - Alizaliwa na VVU (HIV)

10342004_1886404071498512_8618777191309208307_n

Marehemu Shigela ezni za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu.

Mtoto Shigela amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania .

Bado msaada wako unahitajika kukamilisha mipango ya mazishi kwa mtoto wetu mpendwa Shigela.

Namba ya simu ya dadake Shigela 0758343178.

Bwana ametoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe.

Taarifa hii imetoka kwenye Akaunti ya Facebook ya Hoyce Temu.

10342503_1886404114831841_5868107759100328651_n

Mtangazaji wa kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akifurahi na Marehemu Shigela enzi za uhai wake.

Saturday, June 22, 2013

Kaka michuzi Aishukuru Hospitali ya KiLutheri ya Haydom

 Wadau, hivi karibuni mtoto wa Kaka Michuzi, ally aliugua vibaya malaria.  Hospitalia y a Kilutheri ya Haydom waliokoa maisha yake. Kaka Michuzi anatoa shukurani kwa Hospitali hiyo na wafanyakazi wake:

***********************************************

ANKAL AISHUKURU HOSPITALI YA KILUTHERI YA HAYDOM KWA KUMHUDUMIA VYEMA MWANAE

Nachukua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kutoka katika kilindi cha moyo wangu kwa Hospitali  ya Kilutheri ya Hydom iliyoko mkoani Manyara kwa matibabu waliyompatia mwanangu Ally Hassan (16) aliyelazwa hospitalini hapo tokea siku ya Alhamisi Juni 13, 2013 akiwa hajitambui  (in a coma) kwa muda wa siku nne mfululizo baada kuugua malaria.

Shukurani maalum ziwaendee madaktari na wauguzi wote wa wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) ambao kwa siku hizo nne tulikesha nao kumuuguza Ally ambaye aliletwa hapo toka Katesh alikoenda kumtembelea mama yake wakati huu wa likizo akiwa hana fahamu. Kwa upendo, weledi na utaalamu wenu hatimaye mlifaniklwa kupambana na malaria hiyo kwa ukamilifu. Hivi sasa Ally hajambo na anaendelea kupata nafuu kila dakika.

Mama mzazi, Baba mlezi, mjomba, shangazi, mamdogo na mamkubwa mliojitoa kumsaidia Ally nawashukuru sana sana kwa upendo wenu.

 Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Kilutheri ya Haydom sina cha kuwalipa zaidi ya kutoa ahsante kwa wote mliomshughulikia Ally pamoja na wagonjwa wengine waliolazwa hapo (nilishuhudia kwa macho yangu jinsi mlivyokuwa mkiwashughulikia wagonjwa wote kwa upendo na weledi kila dakika walipohitaji uangalizi) na kupata nafuu.

Kwa niaba ya wagonjwa wengine waliopata huduma na kupata nafuu, natoa pia ahsante kwa kazi njema, ya weledi na upendo mnaoonesha kwa kila mgonjwa anayefika kutibiwa hapo Hydom. Ninyi ni mfano wa kuigwa katika mahospitali yetu yote hapa nchini.

 NAOMBA MOLA AWALIPE KWA  KUWAZIDISHIA.PALE MLIPOPUNGUKIWA. MBARIKWE SANA.


Kaka Michuzi na Mwanae Ally




Saturday, June 08, 2013

Mzee Mh. Nelson Mandela Amelazwa Tena

Wadau, tumwombee Mzee wetu, Mh. Nelson Mandela (Mzee Madiba) wa Afrika Kusini. Amelazwa tena jijini Johanses burg kutokana na uginjwa wa mapafu.  Mzee Mandela ana miaka 94 na pia anasumbuliwa na matatizo ya uzee.

*****************************************


Former South African President, Nelson Mandela
Kutoka CNN.Com

Johannesburg (CNN) -- Former South African leader Nelson Mandela is in "serious but stable condition" at a Pretoria hospital with a recurring lung infection, the presidential spokesman said Saturday.
Mandela was hospitalized early Saturday after the state of his health deteriorated in the last few days, according to spokesman Mac Maharaj.

"He's receiving the best possible care," he said. "Everything is being done to ensure that he is comfortable and that he is getting better."

Maharaj said that the anti-apartheid icon is breathing on his own.

Mandela's wife, Graca Machel, is at the hospital with him, sources told CNN. She canceled her plans to attend the Hunger Summit meeting in London on Saturday.

South Africa's first black president gets round-the-clock care, and his house is retrofitted with medical equipment that mirrors that of an intensive care unit.
 
Mandela, 94, has become increasingly frail over the years and has not appeared in public since South Africa hosted the World Cup in 2010.
Despite his rare public appearances, news of his ailment spark concerns worldwide.

Kusoma habri kamili BOFYA HAPA:

Wednesday, November 28, 2012

HIV/AIDS Facts

Tumienni Kondomu!

 14 HIV/AIDS Beliefs--Which Ones Are True?

As if waging war against an incurable virus that plagues 33 million people globally weren't enough, researchers, doctors, and public health officials continue to battle yet another elusive problem as World Aids Day approaches Saturday: misinformation.

"It really does obstruct the fight," says Rowena Johnston, vice president and director of research at amfAR, a nonprofit that funds HIV/AIDS research. Broaching topics like sex and drug use--the major vehicles for transmission--is "taboo" for many, she says, "so a challenge certainly is getting people to talk openly and honestly about what HIV is and isn't." And part of a candid conversation should be devoted to debunking the myths many have come to believe, including the following:

1. If I had HIV, I would know. Not the case, says Kimberley Hagen, assistant director for the Center for AIDS Research at Emory University in Atlanta. About 1.1 million people in the United States are HIV-positive, and as many as 1 in 5 don't know it, estimates the Centers for Disease Control and Prevention. Many of them feel perfectly healthy. And those who have symptoms may confuse them with run-of-the-mill flu. Denial also plays a role, say experts. "There is a universal tendency with HIV," says Hagen, to try to say, " 'This is something that will affect someone else and not me.' And so you say that you can't get it doing the things that you do--you can only get it doing the things that other people do. That may be the biggest myth."

2. HIV and AIDS are the same. False: HIV is the virus that leads to AIDS. You could have HIV for years without having AIDS.

3. I don't have to worry because I'm not in a high-risk group. While prostitutes, men who have sex with men, and needle sharers are considered at high risk by the CDC, the virus is an equal-opportunity bug. "Many people don't perceive themselves to be at risk and so don't understand why testing is important," says Joel Gallant, associate director of the AIDS Service at Johns Hopkins Hospital in Baltimore. One example: Heterosexuals account for a third of new HIV transmissions each year, the CDC reports, and a woman might not know her male partner has slept with men in the past or has shared needles with an infected user. Monogamous relationships don't guarantee absolute safety unless you've both been tested and are HIV-negative. In rare instances, women who have sex with women can pass on the virus. And the number of people 50 and older living with HIV/AIDS is on the rise, partly due to newly diagnosed infections, says Paul Weidle, an epidemiologist with the CDC. There are no hallmark characteristics to watch out for, no physical attribute that will "set off an alarm in your head saying 'this person has HIV,' " says Hagen.

4. We're both HIV-positive. We don't need to practice safe sex. Wrong, says Weidle. Superinfection--where someone gets infected with a different strain of the virus--is possible. This new strain could be drug-resistant and even stimulate the transition to full-blown AIDS. Not to mention that shunning condoms leaves the body open to other sexually transmitted diseases that an already weakened immune system can't fight off. Birth control also doesn't protect against HIV.

5. HIV transmission by someone on antiretroviral drugs is impossible. While the drugs can lower the amount of virus--the "viral load"--in the blood to an undetectable level, it could still register in semen or vaginal fluid and be passed on, says Gallant. Doctors usually test viral load every three to six months, and while chances are "pretty slim" that an undetectable level would suddenly rise, says Gallant, it is possible.


6. I'm sure my doctor has tested me and would have told me if the results were positive. Healthcare professionals will not test you without first talking about it, says Hagen. The CDC recommends at least one test for everyone between the ages of 13 and 64, and those considered high risk should be tested multiple times. Ask your primary-care physician or find a testing center by Zip code here.

7. I won't get HIV through oral sex. Transmission is less common than through anal or vaginal sex, but it is still possible whether performing or receiving oral sex, says Weidle.

8. I can get HIV through casual contact or kissing. This belief has persisted from the dawn of the epidemic in the early 1980s. HIV is transmitted through blood, semen, vaginal fluid, and breast milk. You cannot get HIV by shaking hands or hugging, nor can you get it from a toilet seat, drinking fountain, or drinking glasses, says Weidle. HIV does not travel through air or food and cannot live long outside the body. Closed-mouth kissing is also safe, but Weidle notes there have been "extremely rare cases of HIV being transmitted via deep French kissing." In these cases, bleeding gums or sores in the mouth were the conduits.

9. I'm HIV-positive but feel fine. I don't need antiretroviral drugs. "That's very old-fashioned thinking," says Gallant. "Nowadays there's really pretty good evidence that everybody with HIV, or just about everybody, would benefit from treatment in some way." And the point of treatment is to prevent an infected person from getting sick.

10. HIV-positive mothers pass the virus on to their babies. While the CDC estimates that mothers who aren't on antiretroviral treatment have a 25 percent chance of passing the infection on to a newborn, faithful drug therapy during the pregnancy can drop that to 2 percent or less. Women with HIV and AIDS can still have children.

11. I can't get HIV through tattoos or body piercing. If a tattoo parlor or piercing place doesn't sterilize its equipment properly, the virus could inadvertently be transmitted. Tools that cut the skin should be used only once and then either thrown away or sterilized, the CDC recommends, and a new needle should be used on each client. Before getting a tattoo or piercing, ask what steps the shop takes to prevent HIV and other infections, such as hepatitis B or C.

12. I'm too young to get HIV. Au contraire, young adults ages 13 to 24 account for more than a quarter of all new HIV infections, according to a CDC report published this month. About 60 percent of those infected either don't know it or aren't being treated, which means they may be transmitting the virus to others.
13. HIV isn't that serious anymore. Many people think that since it doesn't flash across the front pages as much it's no longer a big deal, says Hagen. "It absolutely is. It's still here, it's still serious, and we don't have a cure for it."

14. Eliminating AIDS is a futile mission. Yes, the outlook sometimes appears grim. But a recent report from the Joint United Nations Programme on HIV/AIDS (UNAIDS) shows a promising development: New HIV infections have dropped 50 percent across 25 countries, and worldwide, AIDS-related deaths fell by more than 25 percent between 2005 and 2011.

Monday, August 06, 2012

Ebola Virus Umeingia Tanzania - Taarifa Maalum!

Wahudumu Maalum wa Mortuary Uganda wakienda kumzika mtu aliyekufa kwa ugonjwa wa Ebola

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWEPO KWA MGONJWA WA EBOLA, WILAYA YA KARAGWE MKOA WA KAGERA, TANZANIA 

Utangulizi

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa umma, kuhusu tetesi zilizokuwa zimeenea hapa nchini kutoka kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuhusu kuwepo kwa mgonjwa wa Ebola,wilayani Karagwe mkoa wa  Kagera.

Mnamo tarehe 3 Agosti 2012, Wizara ya Afya na Ustawi Wa Jamii ilipokea taarifa kutoka kwa mganga mkuu wa wilaya ya Karagwe ya kuwepo kwa mgonjwa aliyekuwa anahisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa Ebola, katika hospitali ya  Wilaya ya Nyakahanga.

Aidha,taarifa hiyo ilibainisha kuwa mgonjwa huyo alikuwa ni mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka (6|)  kutoka katika kijiji cha Nyakatundu wilayani Karagwe. Mgonjwa huyu alikuwa na dalili za homa kali, kulegea, kutokwa damu puani, kutapika damu,  na kukojoa damu.

Maelezo kutoka kwa mama mzazi zilieleza kuwa mtoto huyu alianza kuugua kuanzia tarehe 30 Agosti 2012, ambapo alipatiwa dawa ya Septrin baada ya hospitali binafsi kuonyesha kuwa ana  ugonjwa wa“Typhoid”.

Uchunguzi wa awali katika hospitali ya Nyakahanga ulionyesha kuwa mtoto huyu  alikuwa anasumbuliwa na uambukizo kwenye haja ndogo (Urinary Tract Infection).Vile vile alifanyiwa uchunguzi wa kimaabara na Vipimo vya malaria, Hepatitis na Typhoid havikuonyesha kuwepo  kwa magonjwa haya. Hospitali inaendelea kumpatia matibabu mtoto huyu na imewaweka mgonjwa na mama yake anayemtunza kwenye chumba maalum (Isolatiom room) kwa ajili ya uangalizi zaidi.

Aidha mnamo tarehe 4 Agosti 2012, timu za wataalamu kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na timu ya mkoa wa Kagera imeweza kufika na kumfanyia uchunguzi wa kina pamoja na kuchukua sampuli za damu kwa ajili ya uchunguzi zaidi katika maabara ya Taifa ya uchunguzi wa magonjwa na Maabara za nje ya nchi, ili kubaini kama ameathirika na ugonjwa wa Ebola.

Timu hiyo ya wataalamu imetoa taarifa kuwa hali ya mgonjwa huyu kwa sasa imeimarika ikiwa pamoja na kutokuwa na homa, kutapika na kukojoa damu kumekoma pia, uchunguzi uliofanywa kwa mama wa mtoto umeonyesha kuwa hana dalili zozote za ugonjwa wa Ebola.Vile vile hakuna taarifa ya mtu mwingine yeyote kwenye familia hiyo au kwenye maeneo ya kijiji hicho au cha jirani kuwa na dalili za ugonjwa huo.

Kufuatia taarifa hii, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Mkoa wa Kagera imechukua hatua zifuatazo;

  • Imepeleka timu ya wataalamu mbali mbali kutoka Wizarani na mkoa  kwa lengo la kwenda kufuatilia na kutoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa huo. 
  • Imetoa elimu ya Afya kuhusu njia za kuzuia kuenea ugonjwa wa Ebola  pamoja na dalili za ugonjwa huu, kwa wananchi na watumishi wa afya katika hospitali ya Nyakahanga
  • Kupeleka vifaa kinga katika hospitali ya Nyakahanga pamoja na maeneo ya mipakani
  • Kutoa matangazo kwa jamii kwa kutumia vipaaza sauti na kupitia  radioni (Radio Karagwe) kuhusu ugonjwa huu.  Aidha, vipeperushi pia vimetolewa.

Hitimisho

Wizara inapenda kuufahamisha umma kuwa mpaka sasa hakuna mgonjwa yeyote aliyethibitishwa kuwa na ugonjwa wa Ebola hapa nchini.Aidha, Wizara ya Afya imejiaanda kikamilifu kukabiliana na ugonjwa huu iwapo utatokea hapa nchini.

Kwa sasa timu za wataalum  zipo katika mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Kigoma, Kilimanjaro na Arusha, kutoa elimu juu ya ugonjwa huu kwa wataalamu na kwa wananchi na vilevile kufuatilia ugonjwa huu sehemu za mipakani.

Wizara inaendelea kutoa wito kwa wananchi kutoa taarifa haraka kwenye kituo chochote cha kutolea huduma za afya, mara wanapoona dalili za ugonjwa huu.

Imetolewa na:

Kitengo cha Mawasiliano,
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,

Tarehe 6 Agosti, 2012.

Wednesday, August 01, 2012

PM Zenawi Wa Ethiopia Anapata Nafuu

Duh! Wengine wanasema Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi amefariki kweli ila wanaficha. Wengine wanasema yuko hospitalini kwa ajili ya matibabu na hali yake inaendelea vizuri, ingawa hawasemi yuko wapi!

******************************************************

PM Meles Zenawi  of Ethiopia in a Hospital in Belgium

Kutoka BBC.com


Meles Zenawi: Ethiopian leader 'getting better'


Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi is in "a good condition and recuperating", a government spokesman has told the BBC, dismissing reports he is critically ill.

However, Bereket Simon declined to give any details about Mr Meles' whereabouts or what he is suffering from.

Mr Bereket had earlier been quoted as saying the prime minister, 57, was on holiday.

Speculation began when he missed last month's African Union summit.

There were reports that Mr Meles was in hospital in Belgium, suffering from a stomach complaint.

But Mr Bereket was quoted as saying by The Reporter newspaper that opposition forces were trying to "create confusion" by talking about the prime minister's health.

He told the BBC Focus on Africa programme it was "not useful" to provide more details.

When asked who was in charge while Mr Meles was being treated, he replied: "The status quo is maintained - there is no change and there will be no change in the near future."

It is believed that Mr Meles' last public appearance was at the G20 talks in Mexico in June.

He took power as the leader of a rebel movement which ousted the communist government of Mengistu Haile Mariam in 1991.

He has won several elections since then, but his political opponents have accused him of using repression to retain power.

Saturday, July 28, 2012

Mama Kanumba Alazwa!!

Ugua pole Mama Kanumba!
 




 KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS:

Na Shakoor Jongo
MAMA mzazi wa marehemu Steven Charles Kanumba, Flora Mtegoa juzi alilazwa katika Zahanati ya Kilimani, Manzese jijini Dar kwa kile kilichodaiwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu pamoja na Malaria.
Chanzo chetu kilichopo hospitalini hapo kilisema kuwa, mama huyo alifikishwa katika zahanati hiyo usiku wa Julai 9, mwaka huu huku akiwa hoi.
“Mama Kanumba hakutaka kwenda kwenye hospitali nyingine yoyote zaidi ya kwenda kwa daktari aliyekuwa akimtibia mwanaye maarufu kwa jina la Kidume ambaye anafanya kazi katika zahanati ya Kilimani,” kiliendelea kusema chanzo hicho.
Baada ya kupata taarifa hizo, paparazi wetu alitinga katika zahanati hiyo ili kuhakikisha kama kweli mama huyo alikuwa amelazwa, alipofika nje aliliona gari la marehemu Kanumba na alipoingia ndani alimuona mama huyo.
Hata hivyo, jitahada za kupata picha yake akiwa kitandani zilishindikana kutokana na mazingira kutoruhusu.
Aidha, Ijumaa liliongea na mdogo wa marehemu Kanumba, Seth Bosco ambaye alikiri mama yake kulazwa katika zahanati hiyo.
“Ni kweli mama amelazwa na anasumbuliwa na malaria pamoja na presha, anaendelea kupata matibabu,” alisema Seth.Chanzo:www.globalpublishers.info ************************* MAMA KANUMBA AMVAA MAMA LULU!!! Na Hamida Hassan na Gladness Mallya CHOKOCHOKO zimeanza! Huku kesi ya kifo cha mwanaye ikiendelea na Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ akisota nyuma ya nondo za mahabusu ya Segerea, mama mzazi wa marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Flora Mtegoa amemvaa mama Lulu, Lucresia Karugila, Ijumaa linafunguka. MANENO MAZITO YA AIBU Kwenye mahojiano maalum na gazeti hili nyumbani kwake Kimara-Temboni, Dar es Salaam, mapema Jumanne wiki hii, mama Kanumba alimtolea mama Lulu maneno mazito huku akimshangaa kwa kushindwa kumpa pole na kumfariji tangu mwanaye afikwe na umauti Aprili 7, mwaka huu. Mama Kanumba alisema anaongea kwa uchungu kwani hakutegemea kama mama Lulu anaweza kuwa kimya mpaka leo hii bila hata kumpa pole wakati matatizo yamewakuta watoto wao wote. TUPATE SAUTI YA MAMA KANUMBA Ijumaa: Ili kupata kile alichokisema mzazi huyo mbele ya gazeti hili, tujiunge naye akiwa nyumbani kwake Kimara-Temboni. Kwako mama Kanumba: Namshangaa sana mama Lulu kwani namuona kama siyo mzazi mwenzangu. Huwezi amini mpaka leo hii hajawahi hata kunipa pole wala kunitumia ujumbe wa watu kunifariji, hivi anategemea mimi nimfuate? Yeye mwanaye yupo hai wangu ndiyo ametangulia. Nimeona niseme kabisa nimpe habari yake. Ijumaa: Kwani wewe uliwahi kufanya jitihada za kukutana na kufarijiana naye akakataa? Mama Kanumba: Mama Lulu siyo kabisa. Aliwahi kufuatwa na kuombwa ushirikiano wakati kesi imefunguliwa akakataa. Ijumaa: Mbona kuna madai kuwa baada ya kifo cha Kanumba upande wa Lulu ulikufuata ukakataa kutoa ushirikiano? Mama Kanumba: Sijawahi kuongea na mtu yeyote wa upande wa Lulu. Huyo anayedai alikuja kuniomba ushirikiano nikamfukuza ananisingizia kwani simfahamu Lulu na mama yake zaidi ya kuwaona kwenye vyombo vya habari na filamu (Lulu). Ijumaa: Je, akikufuata utamkubalia aje kukufariji? Mama Kanumba: Mimi sina nia mbaya na mama Lulu, kibinadamu namuona kakosea kwani kama yeye alikuwa akiogopa, angetuma watu waje kwa niaba yake. Nilidhani alikuwa akiogopa kuja Sinza (Vatican kwa Kanumba) kwa sababu ya waandishi lakini hata nilipohamia huku (Temboni) hajaja. Ukweli ni kwamba akija nitampokea tu ila sidhani kama ipo siku atakuja, nawashangaa hata washauri wake. Ijumaa: Unaizungumziaje filamu ya Foolish Age ya Lulu ambayo Kanumba aliipeleka Steps? Mama Kanumba: Ni kweli filamu hiyo ipo Steps, Kanumba ndiye aliipeleka kwa nia ya kumuinua Lulu lakini kabla haijalipwa mauti yakamkuta. Ingekuwa ya Kanumba ningefuatilia. Baada ya mahojiano hayo, Ijumaa lilitafuta mzani upande wa pili wa mama Lulu ambapo mahojiano yalikuwa hivi: TUJIUNGE NA MAMA LULU AKIWA TABATA Ijumaa: Mama Lulu gazeti la Ijumaa limezungumza na mama Kanumba anakulaumu kwa kushindwa kumfariji baada ya kifo cha mwanaye Kanumba aliyekutwa na umauti akiwa na Lulu. Je, unalizungumziaje suala hili? Mama Lulu: Eehee unasemaje? Wewe ni nani? Mwandishi? Nimeshawaambia mniache kabisa kwani bila habari ya Lulu na Kanumba hamuuzi? Ijumaa: Katika maadili ya kazi yetu mtu mmoja akiongea lolote juu ya mwenzake lazima pande zote zisikilizwe hivyo hii ndiyo nafasi yako. Unalizungumziaje suala hilo la mama Kanumba? Mama Lulu: Sitaki kushauriwa na wewe mwandishi, nina washauri wazuri tu tena ni watu wazima, tafadhali naomba mniache nipumzike. KIFUATACHO Bado kesi ya Lulu ni mbichi ambapo itaendelea kuunguruma baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kumaliza utata wa umri na jina la Lulu Julai 23, mwaka huu. KALAMU YA IJUMAA Wazazi hawa wanapaswa kuwa na staha kwa sababu kila upande una machungu. Kanumba hatunaye na Lulu yupo nyuma ya nondo. Ni vyema wakakaa chini bila kukorogana ili kupunguza machungu waliyonayo.Chanzo:www.globalpublishers.info

Friday, July 06, 2012

Ugonjwa wa Ajabu Yaua Watoto Cambodia!

Kuna habari kutoka World Health Organization (WHO) kuwa watoto wengi nchini Cambodia wamekufa kwa ugonjwa wa ajabu. Ugonjwa huo unaathiri mishipa ya fahamu na mapafu. Wadau, tuombe huo ugonjwa wa ajabu usiingie barani Afrika. Watoto wetu watakwisha!

*********************************************************************
Kutoka CNN.com

http://www.cnn.com/2012/07/06/world/asia/cambodia-children-disease/index.html?hpt=hp_t2

Hong Kong (CNN) -- The World Health Organization (WHO) and Cambodian health officials are investigating why at least 61 children in the country have died mysteriously after suffering severe neurological and respiratory complications.


Dr. Beat Richner, of the Kantha Bopha Children's Hospitals who first alerted Cambodia's health authorities about the unknown disease said as of Friday, he knew of 64 cases, in which only two children have survived.

Countries surrounding Cambodia were informed of a deadly disease that killed dozens of children earlier this week, through the International Health Regulations event information system, which provides public health communications.

In Hong Kong, a major air hub in the region, health officials responded by alerting doctors to be watchful for patients returning from Cambodia who have respiratory symptoms. Travelers who have been to Cambodia were told to visit their doctors if they developed respiratory symptoms.

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

Wednesday, June 06, 2012

Kisonono Kisichotibika Unasambaa Duniani

Wadau,  kuna taarifa kuwa kuna aina mpya ya Kisonono kisichotibika unayoambaa duniani.  Zamani ilikuwa ukiambukizwa unachoma sindano ya PPF (Penicillin) gonjwa kwisha!  Sasa hizo sindano wala antibiotics za aina yotote hazitibu! 

Si itakuwa balaa ugonjwa huo ukiingia barani Afrika.  Kwanza waafrika wengi hawapendi kutumia kondomu. Wanataka mavituuz  (ngono) yao kavu au nyama kwa nyama!  Halafu wanaume wengine Afrika hawawezi kulala bila kupata vituuz! Ume ukisimama ubongo unahamia hapo.

Wadau fanyeni ngono kwa usalamaili tuepuke ugonjwa huo balaa.

********************************************

WHO: Sexually-transmitted superbug could be major crisis


A major public health crisis is emerging, in the form of a sexually-transmitted disease that doesn't respond to antibiotics, World Health Organization officials said Wednesday.

Gonorrhea is one of the most common sexually-transmitted infections. It is spread through oral, vaginal and anal sex. About 106 million people worldwide become infected every year.

"Once this organism develops full resistance to this last antibiotic that we have, we have nothing else to offer to these patients," says Dr. Manjula Lusti-Narasimhan, scientist at the Department of Reproductive Health and Research at WHO.

The organization has just released a global action plan encouraging greater awareness and advocacy, research, increased prevention efforts and monitoring of gonorrhea treatment failure. The same sorts of prevention messages apply for gonorrhea as for HIV/AIDS: Practice safe sex - correct and consistent use of condoms - and limit the number of sexual partners.

Australia, France, Japan, Norway, Sweden and the United Kingdom are among the countries reporting cases of gonorrhea that does not respond to cephalosporin antibiotics, which is the last treatment option against gonorrhea. These are developed countries with good health care systems, meaning countries less well off may be even more at risk for a crisis.

KUSOMA TAARIFA KAMILI BOFYA HAPA:

Thursday, March 22, 2012

Dr. Mbele Asifia Tiba Aliyopata Dar

Wadau, Prof. Mbele yuko safarini Tanzania.  Ameugua na kwenda hospitalini. Anasema kuwa ameridhika na tiba aliyopata, hakuwa na haja ya kukimbilia nchi za nje kam India kutibiwa.

****************************************

Kutoka  Hapa Kwetu  Blog



Thursday, March 22, 2012

Nimeugua Dar es Salaam; Natibiwa Hapa Hapa, Sio India

Nimeugua Dar kuanzia siku chache zilizopita. Nimejikuta nikiwashwa hasa mikononi, miguuni, na mgongoni. Kwa siku mbili sikuweza kulala usiku. Katika kuulizia watu, nikaambiwa ni "allergy." Na mhudumu mmoja kwenye duka la madawa maeneo ya Sinza aliniambia niende Magomeni, kwenye hospitali ya Dr. Ole.

Nilienda hapo. Wakati wa kuchukuliwa damu ili ipimwe, mpimaji alinipiga mchapo kuwa isije ikawa nimewekewa sumu ya unga. Akazidi kutonya, huku akijifanya ananyunyizia unga mezani, kuwa kaunga kidogo tu kanatosha. Nami nilijibu kuwa mtu huwezi kujua, kwani Bongo haina dogo. Tukawa tunachkea.

Ni kweli daktari alipochunguza ripoti ya upimaji amegundua nina "allergy," na akanielezea sababu zake. Aliniandikia sindano na vidonge vya aina mbali mbali. Alisema kuwa hiyo dozi itafuta kabisa hili tatizo. Nimedundwa sindano jana na vidonge nikaanza. Tayari nimeshaanza kujisikia nafuu. Naendelea vizuri kabisa.

Nimeleta habari hii binafsi kwa sababu maalum. Kwanza, mimi kama m-Tanzania nina imani na madaktari wetu. Ninafundisha Marekani, na ninapougua kule natibiwa kule. Ninapougua Tanzania natibiwa hapa. Tena, miaka yote ya maisha yangu, kabla sijaenda Marekani nilikuwa natibiwa hapa Tanzania, bila matatizo.

Sioni kama kuna tofauti kati ya madaktari wa Marekani na wa kwetu. Kilichopo tu ni kuwa madaktari wa kwetu wapewe mahitaji yanayopasika katika kumshughulikia mgonjwa. Na hilo ni jukumu la serikali, wala isijaribu kukwepa, kwani Tanzania si nchi maskini. Nakerwa ninapowasikia viongozi wa nchi hii wakidai kuwa sisi ni nchi maskini. Juzi hapo nimemsikia waziri kwenye kipindi cha televisheni akitoa huo upupu kwamba Tanzania ni nchi maskini.

Nawashangaa wa-Tanzania waoendelea kuwapigia kura mbumbumbu wa aina hiyo, wasio na upeo kiuongozi, hawana fikra za kuijengea jamii ari ya maendeleo, badala yake wana upeo wa kudumaza na kukatisha tamaa. Nawashauri wajifunze kutoka kwa Rais Obama, ambaye katika mazingira yoyote yale, hawakatishi tamaa raia wake, bali anawahakikishai kuwa Taifa litapambana na litashinda, litafanikiwa. Lakini viongozi wa kwetu, kila kukicha ni vilio kuwa sisi ni nchi maskini!

Uwezo wa kuimarisha hali ya mahospitali yetu tunao, tukizingatia rasilimali nyingi tulizo nazo katika nchi hii. Pia, magonjwa mengi tunayopata hayahitaji daktari bingwa. Yanatibiwa vizuri, iwe ni Marekani au Tanzania. Tena yako magonjwa ambayo ni ya nchi kama zetu, ambayo wataalam wake ni hao madaktari wentu. Mifano ni malaria. Usidhani kuwa ukipata malaria, ukimbilie Marekani. Unaweza ukafia kule, kwa sababu sio madaktari wengi wanaijua malaria na namna ya kupambana nayo kama wanavyojua madaktari wa nchi kama Bongo. Hao madaktari wetu wanasomea magonjwa ya hapa kwetu. Ninavyofahamu, wanapoenda kusomea Ulaya, utakuwa wanasomea "tropical medicine" ambayo ndio uwanja wa mapambano katika nchi kama yetu.

Madaktari wetu wana ujuzi wa hali ya juu, utawakuta wako katika nchi mbali mbali. Ninawafahmu baadhi ambao wako Marekani, katika hospitali mbali mbali, kama vile Mayo Clinic, ambayo ni maarufu sana duniani. Yaani inashangaza kuwa ukienda hizo hospitali, unawakuta madaktari wengi wa kutoka Afrika, yaani madaktari kama hao wanaonyanyasika Tanzania kwa sababu ya viongozi wetu kutokuwa na upeo upasao.

Kwa hiyo, serikali yetu inachopaswa kufanya ni kuwekeza katika huduma za mahospitali yetu hapa hapa nchini. Iweke vifaa na miundombinu, ili madaktari wetu waweze kutumia ujuzi wao ipasavyo. Wakipata vifaa na miundombinu, na wakilipwa ipasavyo, watafanya yale yale ambayo baadhi ya watu nchini wanayatafuta India au ughaibuni. Tunapowapeleka watu nje eti kuchekiwa afya, wakati hizi ni taaluma za madaktari wetu pia, au tunawapeleka watu kutibiwa ugonjwa kama niliopata mimi wiki hii, ambao madaktari wetu wanajua namna ya kuutibu, ni kuwadhalilisha madaktari wetu, na mimi sitalilazia damu suala hilo.

Miezi michache iliyopita, nilipata fursa ya kumsikiliza Dr. Mark Jakobson, ambaye ni mwendeshaji wa hospitali ya Selian, Arusha. Alikuwa akitoa mhadhara Minnesota, kuhusu shughuli za hospitali hiyo. Siku moja nitaelezea katika hii blogu yangu. Jambo mmoja ninalokumbuka ni jinsi alivyowapigia debe madaktari wa ki-Tanzania wanaofanya naye kazi. Anatamani tu angekuwa na uwezo wa kulipa vizuri zaidi, ili wasipate vishawishi vya kwenda sehemu zingine.

Makala hii nimeiandika pia kwa sababu juzi hapo niliandika makala kuhusu mgomo wa madaktari nikaishutumu serikali kwa kudiriki kugombana na madaktari. Kwa hivi, nimejichukulia fursa hii kuelezea zaidi hisia zangu. Kati ya mambo niliyosema ni kuwa kisaikolojia, daktari anapaswa awe kazini akiwa amefurahi na moyo mkunjufu.

Huyu jamaa aliyenipima damu alitoa mchapo na tukacheka. Muuguzi au daktari anapokuwa na moyo mkunjufu na ucheshi, anapokuwa hana msongo wa mawazo, ni baraka kwa wagonjwa. Watafiti wa masuala ya saikolojia ya wagonjwa na matibabu wanathibitisha hilo. Ndio maana niliishutumu serikali kwa kutotambua umuhimu wa kuwaridhisha madaktari.

Monday, March 19, 2012

Kifua Kikuu Kinarudi Kwa Kasi - Safari Hii Haitibiki!!!

Wadau, ugonjwa wa kifua kikuu kinarudi kwa kasi duniani.  Huko London, Uingereza watu wanaambukizwa ile mbaya.  Ile tiba ya kawaida ya antibiotics za miezi sita ni kazi bure. Hii ya sasa ni kali na haitibiki, imekuwa sugu kwa dawa.  Ugonjwa wa Kifua Kikuu haichagui maskini wala tajiri. Mungu atunusuru!

Mnaweza kusoma habari kamili hapaa: http://news.yahoo.com/drug-resistant-white-plague-lurks-among-rich-poor-113851688.html