Friday, June 29, 2007

Mazishi ya Marehemu Mheshimiwa Amina Chifupa

Vibaka hawana dogo. Wanamwibia mfiwa simu kwenye mazishi! Simu ya Mpakanjia ya bei mbaya imeibiwa kwenye mazishi huko Njombe. Photo from Michuzi Blog.


Marehemu Mhsehimwa Amina Chifupa amezikwa kwao Njombe. Photo from Michuzi Jr. Jiachie Blog.





Katika uhai wake Amina Chifupa alionyesho upendo kwa watu wote. Hapa anatoa zawadi kwa wagonjwa wodini, Amana Hospital, Ilala Dar es Salaam mwanzoni mwa mwaka huu. Photo from Michuzi Jr. (Jiachie) Blog.

1 comment:

Anonymous said...

Da! massikini we Amina jamani!!!!!
uwiiiiiiiiiiiiiiiii, mie nalia we acha tu.