Friday, December 30, 2011

Tanzia - John Ngahyoma

Nimepokea  kwa majonzi makubwa habari za kifo cha mwandishi wa habari, John Ngahyoma.  Niliwahi kufanya kazi naye Daily News.  Rest in Eternal Peace. Amen.

Mnaweza kuona picha za mazaishi ya Marehemu John Ngahyoma kwa KUBOFYA HAPA:
****************************************************
The Late John Ngahyoma
Habari za leo Wakuu,

Tumepata taarifa kwamba Mwandishi wa Habari mkongwe nchini ambaye alikuwa akifanya kazi na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), John Ngahyoma amefariki dunia leo asubuhi.
Msiba uko nyumbani kwa marehemu Tabata, karibu na nyumbani kwa Marehemu Danny Mwakiteleko. Mwenye taarifa zaidi atufahamishe.
 
Tunaitakia moyo wa subira na Mungu awafariji wanafamilia wa Ngahyoma katika kipindi hiki cha majonzi ya kuondokewa na mpendwa wao.
RIP John Ngahyoma, umetangulia na wengine tutafuata.

 Neville C. Meena,
Secretary General,
Tanzania Editors' Forum (TEF),
Dar es Salaam -Tanzania.
Cell: +255 - 715 -339090
         +255 - 787 - 6755

No comments: