Tuesday, December 20, 2011

Matokeo ya Uchaguzi wa Viongozi wa TASA

Taarifa imeletwa na Mdau Emmauel Manase

WALIOCHAGULIWA KWENYE UCHAGUZI NGAZI YA TAIFA WA CHAMA CHA WAANDISHI WA FILAMU/TANZANIA SCREEPTWRITER ASSOCIATION-TASA


1. Abdul Maisala -Mwenyekiti

2. Kimela Billa -Makamu Mwenyekiti

3. Samwel Kitang’ala -Katibu

4. Subira O.Nassor Chuu -Mweka Hazina

5. Mike Sangu -Mjumbe

6. Dimo Debwe -Mjumbe

7. Ramadhani King’aru -Mjumbe

8. Badru Soud -Mjumbe

9. Amos Banzi -Mjumbe

10. Nasir Mohamed -Mjumbe

11. Christian Kauzeni -Mjumbe

12. Pirre Mwinuka Mwakalukwa -Mjumbe

13. Erick Chrispin -Mjumbe

Kwa mujibu wa sharia ya TASA,TASA itakuwa na mikutano mikuu minne kwa mwaka,Mweyekiti ,Makamu Mwenyekiti na Katibu wa TASA Taifa wanapiga kura kwenye uchaguzi w a kuchagua viongozi wa Taifa wa Shirikisho la Filamu/Tanzania Film Federation-TAFF

Tunawapongeza wote waliochaguliwa kama wajumbe na nafasi nyingine za kiutendaji,Tunatarajia kuwa kuchaguliwa kwao kutaleta changamoto za kiutendaji na kusukuma mbele maendeleo ya TASA naTAFF.

No comments: