Saturday, April 03, 2010

Asante kwa Salamu za Birthday!

Pichani- Mimi mwaka 1965 nikiwa na miezi 14

Wadau, asanteni sana kwa walionitumia salamu za birthday. Tangu juzi napokea simu, text message, kadi na e-mails kutoka kwa watu mbalimbali na nchi kadhaa. Birthday yangu ni leo, April 3rd.

Asante sana kwa moyo huo wa upendo. Sikutegemea! Mungu awabariki nyote.

11 comments:

Anonymous said...

wow what a beautiful baby girl mwaaaaaaaaaaaaaaaa

Simon Kitururu said...

Happy Birthday Da Chemi!

Anonymous said...

Ya kuzaliwa!!!!!HONGERA!

Born Again Pagan

Faustine said...

....Happy Birthday.....Enjoy the moment...

Faustine

Anonymous said...

Happy Birthday Da Chemi! You still got the same eyes.

Faith S Hilary said...

aaaaaaaaaw the pic is soooo adorable!!! Happy belated birthday :-)

chesi said...

...SSSooooo Cute, SSSOOooo Angelic,SSoooooo Innocent!!! No wonder Lady JD Sings 'Natamani kuwa Mtoto'.....!

Anonymous said...

Happy Belated Birthday! May you see many, many, many more!

John Mwaipopo said...

you haven't changed dada. 'ongela', ingawa kwa kuchelewa.

mzee wa mshitu said...

Happy Birthday Da Chemi! waaawwww

Anonymous said...

Happy birthday dada. God bless u.