Monday, April 19, 2010

Sinema ya Aina Yake kutoka Kenya




Wadau,

Kuna sinema inayotoka Kenya ambayo ni tofauti na sinema zingine. Hadithi yake ni aina ya Science Fiction (Sci-Fi). Ni ya kwanza kutoka Kenya. Inaitwa PUMZI na inahusu miaka baada ya Vita Kuu ya dunia ya Tatu (World War III). Dada fulani kutaka Afrika Mashariki anakuwa mkombozi wa dunia. Iliononyeshwa kwenye Sundance Film Festival. Hii trailer safi sana.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.wired.com/underwire/2010/01/pumzi/

No comments: